Ujumbe wangu kwenu mapolisi: kama hamlipwi mishahara inayokidhi hiyo sio sababu ya kulazimisha rushwa. Badala yake muende mkaandamane!
Hivi kwa sheria za hapa Tanzania, kuna mahali imekatazwa ku-rekodi mazungumzo yangu na Polisi, mfano kwa kutumia simu? Je, kuna haja ya mimi kumfahamisha kwanza kwamba nina-rekodi hayo mazungumzo?
Ushahidi wa namna hii utakubalika mahakamani?
.
Siku nyingine pale pale omba kuongea na mkuu wa kituo, na unaenda ukiwa na namba ya askari....
In Tanzania it is not that simple my friend. Nimeshuhudia mkuu wa kituo akishirikiana na subordinate wake. Tena kawapa gari lake kusaka 'wavunjaji' wa sheria. Mtaani pia watu wanakiri hivyo.
.
Mimi ni mmoja wao. Hata hivyo sidhani kwamba tunatakiwa kuacha kutii mamlaka au kuamini maelekezo wanayotoa.
.
Ukiwa mgumu wote wananywea, mimi siku moja niliibiwa kwenye foleni nilienda front kwa wakati ule alikuwa Maji... nilikomaa mpaka nikamuona... niliongea sana siku hiyo na wakati huohuo aliitisha kikao cha wakuu wa vituo... cha dharura....
unapodai haki yako komaaaaa.... jilipue..... (usivunje sheria) wote watakaa pembeni kukusikiliza....
na siku nyingine nilikuwa nakimbia (najog) kwenye saa moja hivi usiku nilisimamishwa na hao maaskari wakaniambia si sheria kukimbia eneo lile (jangwani) nilipomuliza sbb akaniambia kaambiwa na mkuu wake, nikamwambia kuwa huo ujumbe ulikuwa ni wake na kama alikuwa amenikusudia mimi kama mwananchi nilimwambia akamweleze bosi wake kuwa sheria zote hupitia bungeni.... anakiomba msamaha... nikaondoka zangu