Ujue Mti chonganishi

Mshana Jr....ungefunguka kidogo kama unayo historia ya mti huu...!

Je....? Ni moja ya miti ya kupandikizwa maabara kisha ikatengenezwa Mbegu.

Ama ni moja ya miti ya kale yenye historia ya kujitosheleza...?
 
We mganga umenifanya nifikiri sana juu ya huu mti..mana nikiikumbuka family ya anko wangu kabla na baada ya kuupanda huu mti..sichelewi kusema huu mti una mabalaa..hebu tueleze na miti mingine yenye shida kama huu tuitambue mapema..
 
Ningependa kujua kuhusu muashoki
 
Mshana Jr....kuna aina nyingine ya Miti ni kweli inatoa Matunda ila sio ya kuliwa na Wanaadamu...!!

Vipi kwa Miti ya aina hii...?
The best panda ambayo matunda yake ni edible
 
Huu mti ninao nyumbani, niliupanda kama alama enzi nanunua kiwanja. Nina mwaka mmoja sasa kila nikifikiria kuukata, najikuta kubadili mawazo!
 
Hizi stori Zipo Africa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…