Ujue mkoa wa Mbeya kwa ufupi

Ujue mkoa wa Mbeya kwa ufupi

1613112584413.png
 
Huko ndio nyumban kwa MAKANTA (maskini katika nchi tajiri)

soko matola ndio sehem nayoikubali sana
imechangamka changamka,

watoto wa chuo cha utumishi wa umma
wanauza sana mechi pale matola
halaf ni wazuri balaaa.
 
Huku Ituha na Mwakibete tumetulia, hakuna Corona huku
 
Niliishi makongolosi,chunya mjini,mbalizi,mama john na uyole.

Mbeya patamu sana,pana bata flan cheap hivi
 
Asante mkuu kwa historia nzuri! Hakika mkoa wa Mbeya unastahili heshima maana ni mama wa mikoa karibu 4, mkoa wa Rukwa ulimegwa kutoka mkoa wa Mbeaya na Tabora, Eneo lililokuwa la mkoa wa Tabora sasa limezaa Katavi, Ikaja tena mkoa wa Njombe umegwa kati ya mkoa wa Mbeya na Iringa na sasa mkoa Songwe nao umemegwa kati ya mkoa wa Mbeya na Rukwa, humo mote Mbeya ndiye mzazi mkuu!
Napapenda Mbeya ila kinachonifukuzaga pale kibaridi, Yaani ukizoea hali ya joto ukienda kule ni shida tupu!
 
Back
Top Bottom