Ujue mkoa wa Mbeya kwa ufupi

Ujue mkoa wa Mbeya kwa ufupi

Mlima Rungwe haupo kwenye top ten highest mountains in Tanzania
Endelea kugoogle.
Milima uliyoinyesh ina elevation mingine 2400masl na 2500masl.

Ukiondoa Kilimanjaro(na Mawenzi) 5 , Meru, Hanang na Oldonyo Lengai, Rungwe ni force to reckon with at 2981masl(wengine wanasema 2960masl).
 
Misosi ya mbeya imewekwa Amira Sana kuwa makini
emoji1.png
Huo ni uzoefu wako sehemu za njaa njaa.
Mbeya unakula mpaka unatupa chakula.
 
Endelea kugoogle.
Milima uliyoinyesh ina elevation mingine 2400masl na 2500masl.

Ukiondoa Kilimanjaro(na Mawenzi) 5 , Meru, Hanang na Oldonyo Lengai, Rungwe ni force to reckon with at 2981masl(wengine wanasema 2960masl).
Tanzania kuna milima mingi sana mirefu. Crater highlands kule kwenye Ngorongoro kuna milima mingi sana imepita 3000m.
 
Hata nyanda za juu kusini ni wa pili kwa urefu. Kuna milima mingi haijulikani bongo. Mlima kama Hanang na Loolmalasin.
Mount Loolmalasin (sometimes spelled "Loolmalassin")[1] is a mountain in Tanzania with a peak elevation of 3,682 metres (12,080 ft)[1] above sea level. Loolmalasin is in the Ngorongoro District of the Arusha Region. It is, after Mount Kilimanjaro and Mount Meru, the third-highest mountain in Tanzania if Kilimanjaro's three peaks are considered to be one mountain.[2]


Huu mlima ndio leo nausikia!
 
Nimeenda Mara tatu mbeya peak... kuna baridi ya kuua mtu..
Mbeya milima ipo karibu tu mjini. Ikipendeza kungekuwa na Trekkers& hikers club. Siku moja nilipanda ile milima ipo kule Swaya. Juu kule kuzuri sana. Kuna bonge la msitu.
 
Mbeya milima ipo karibu tu mjini. Ikipendeza kungekuwa na Trekkers& hikers club. Siku moja nilipanda ile milima ipo kule Swaya. Juu kule kuzuri sana. Kuna bonge la msitu.
Ushafika Tukuyu maeneo ya mwakaleli mpaka Lifilyio? Kapande Ile milima ya Livingston's uustaajabu uzuri wa Mbeya mkuu.
 
Back
Top Bottom