fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,688
- 24,011
Wengi bado wanajishugurisha na kilimo cha mahindi, viazi na maaragwe, wengine ni wafugaji wadogo wadogo wanasambaza maziwa mjiniHivi huko sehemu za bado wasafwa wapole,waoga,wanaushamba?
Ova
Wengi bado wanajishugurisha na kilimo cha mahindi, viazi na maaragwe, wengine ni wafugaji wadogo wadogo wanasambaza maziwa mjiniHivi huko sehemu za bado wasafwa wapole,waoga,wanaushamba?
Ova
Yeah that's true nigga.....Mitaa ya kwenu mzee wa chataaa
Mimi nimekuelewa, isyesye imechafuka kwa mijumba ya kisasa na hili eneo la bondeni hapa wanapaita Olambia.Kama n kuishi yani kujenga nyumba yako nakuchagulia
Forest mpya- miaka ya 2015 kurud nyuma walikuwa wanajenga wastaafu na wenye mikwanja yao but ujio wa magufuli ukapiga marufuku ya matabaka hayo. Siku hiz sheria ukinunua uwanja bc jenga no kuukalisha bila kujenga. Akishindwa hapo bc aende Isyesye, kule majumba makubwa ni ya vijana wadogo tu, yani ukimwona lazima ujiulizie hivi hizo zote n mali zake? Hutaweza kupata majib na hutajua anafanyia kazi wapi, but inasadikika walio wengi kule wamebeba mali za mikataba. Wakubwa tu watanielewa hapa.🤣🤣
Hakika ukienda kule kijana kama mm unaweza kuhisi ulikuja kusindikiza wenzako hapa duniani🤣🤣🤣🤣Mimi nimekuelewa, isyesye imechafuka kwa mijumba ya kisasa na hili eneo la bondeni hapa wanapaita Olambia.
Sure MkuuHaya ndio maeneo ya kishua Mbeya + Veta Ikulu mpaka Olambia, watu wanajenga mijumba ya kisasa kabisa.
Harage bichi, hindi bichiView attachment 1698231
Kande na kijiko chake Cha mgomba, ndundu
Aiseee!!Kama n kuishi yani kujenga nyumba yako nakuchagulia
Forest mpya- miaka ya 2015 kurud nyuma walikuwa wanajenga wastaafu na wenye mikwanja yao but ujio wa magufuli ukapiga marufuku ya matabaka hayo. Siku hiz sheria ukinunua uwanja bc jenga no kuukalisha bila kujenga. Akishindwa hapo bc aende Isyesye, kule majumba makubwa ni ya vijana wadogo tu, yani ukimwona lazima ujiulizie hivi hizo zote n mali zake? Hutaweza kupata majib na hutajua anafanyia kazi wapi, but inasadikika walio wengi kule wamebeba mali za mikataba. Wakubwa tu watanielewa hapa.![]()
Weka picha mkuu maana wengine tupo mbaliMimi nimekuelewa, isyesye imechafuka kwa mijumba ya kisasa na hili eneo la bondeni hapa wanapaita Olambia.
Nipo kitandani naumwa mkuu, nikipona nitajitahidi kuweka maana ndipo ninapoishi.Weka picha mkuu maana wengine tupo mbali
Nilizikuta man. Kumbe ndo wewe? 🤣 🤣 🤣 🤣Yeah that's true nigga.....
chata za rass jeff kapita nilizipiga mji wote hahaa....
Winnie nipo hapaUsinikumbushe enzi za kina Winnie Baraka, Viva Masebo, Koku, Rehema Noah, Rehema Mwailubi na wengine wengi
Pole sana mkuu, Mungu ni mwema utapona.Nipo kitandani naumwa mkuu, nikipona nitajitahidi kuweka maana ndipo ninapoishi.
Asante sana na Mungu akubariki katika shuguri zako za kila siku.Pole sana mkuu, Mungu ni mwema utapona.
Mm uyole,sai,ilomba,isyesye nimekaa sanaSafi Sana, Mimi nilikaa sana Iyunga,Itende na Soko Matola.
Maanyi wewe mwana wa peepaManyiiiii
Hata airport ya zamaniUzunguni, Forest Mpya, Isyesye.
Wamalila niliwala kule isangati,JoJo,ilembo,santilya na shizuvyaHukubahatika kuonja Mmalila?
Nmetoka huko Mara ya mwisho 2014 wapo vile vileHivi huko sehemu za bado wasafwa wapole,waoga,wanaushamba?
Ova
Kwa manyanya au essoMbeya.....ni sehemu flani hiv ambayo ...ukishindwa maisha ............basi huwez Kusurvive sehemu nyngine bongo .......maisha simpo sana .....
Anyway npo mtaa flani hivi wanaita. Forest......
Mwagona mwagona sahala ,zimbomboMwanawitu ghanonile nkani.iponzo.na.mangagu