Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 33,795
- 55,573
Hahahahha kwani na wenyewe ni sukari??Hukubahatika kuonja Mmalila?
Hahahahha kwani na wenyewe ni sukari??Hukubahatika kuonja Mmalila?
Blot t sahv vp syo ushuwani tenaUmesomeka kamanda. Mbeya inabadilika kwa kasi, mie mwenyewe nilishaishi kidogo kule pande za Sae. Kwa sasa mji unakua sana. Eti ushuani ni Isyesye na Forest mpya, wakati zamani ushuani ilikua ni Uzunguni na Block T.
Umesomeka kamanda. Mbeya inabadilika kwa kasi, mie mwenyewe nilishaishi kidogo kule pande za Sae. Kwa sasa mji unakua sana. Eti ushuani ni Isyesye na Forest mpya, wakati zamani ushuani ilikua ni Uzunguni na Block T.
Loleza kulikuwa na videm vzr
Ova
... ha ha ha! Kipindi hicho Safina na Comfort ndio the best coaches Mbeya - Dar! Lazima uwe umesahau sio siri.Hahaaa nishausahau mtaa maana ni long sana hadi naondoka daladala kutoka itende hadi town ilikuwa Tsh 100.....Ila meneo ya Loleza.
Umesahau fresh ya shamba pia... ha ha ha! Kipindi hicho Safina na Comfort ndio the best coaches Mbeya - Dar! Lazima uwe umesahau sio siri.
... fresh ya shamba ya juzi Mkuu. Nazungumzia wakongwe wa 80's huko; carrier iko juu! Leyland Albion na DAF walioachiwa kijiti na TTBS. Wewe unazungumzia Scania; tena mizigo inawekwa chini?Umesahau fresh ya shamba pia
Ova
Usinikumbushe enzi za kina Winnie Baraka, Viva Masebo, Koku, Rehema Noah, Rehema Mwailubi na wengine wengiLoleza kulikuwa na videm vzr
Ova
Mwanawitu ghanonile nkani.iponzo.na.mangaguView attachment 1698231
Kande na kijiko chake Cha mgomba, ndundu
Mbeya.....ni sehemu flani hiv ambayo ...ukishindwa maisha ............basi huwez Kusurvive sehemu nyngine bongo .......maisha simpo sana .....
Anyway npo mtaa flani hivi wanaita. Forest......
View attachment 1698233
Lami ya Mteremko wa Meta/ Mabatini. Mlima unaoonekana kwenye background ni Mlima Loleza
Mbeya.....ni sehemu flani hiv ambayo ...ukishindwa maisha ............basi huwez Kusurvive sehemu nyngine bongo .......maisha simpo sana .....
Anyway npo mtaa flani hivi wanaita. Forest......
Hivi Kona hapo kulikuwa na Hospitali bado ipo?
Halafu mchele super, ukienda Mwiboma unakula wanakupa na nyonyezaNi kweli Mkuu , Sahani ya Wali tulikuwa tunanua Tsh 100 ,Chips Tsh 50.
Siyo Mbeya yote, hujaishi Chunya wewe! Gharama za maisha ya wilaya ya Chunya yanaelekeana na Arusha.Mbeya.....ni sehemu flani hiv ambayo ...ukishindwa maisha ............basi huwez Kusurvive sehemu nyngine bongo .......maisha simpo sana .....
Anyway npo mtaa flani hivi wanaita. Forest......
........sure mkuu ...kuu kidg hapo kuna kituo wanaita ....kadegeView attachment 1698233
Lami ya Mteremko wa Meta/ Mabatini. Mlima unaoonekana kwenye background ni Mlima Loleza
Yes, hospitali ya Rufaa ya WAZAZI
Chunya hawategemei kilimo, zaidi ni wachimbaji wa dhahabu na wafugajiSiyo Mbeya yote, hujaishi Chunya wewe! Gharama za maisha ya wilaya ya Chunya yanaelekeana na Arusha.