Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,792
- 1,748
Hii ni ngumu kumeza kwangu.How?? Eneo gani la east Africa?? Ni wapi unapatia confidence ya kusema East Africa ni mwanzo wa maisha ya Mwarabu???wakushi na wamisri wametokea east africa...
Hii ni ngumu kumeza kwangu.How?? Eneo gani la east Africa?? Ni wapi unapatia confidence ya kusema East Africa ni mwanzo wa maisha ya Mwarabu???wakushi na wamisri wametokea east africa...
kwanza nikuweke sawa,ancient egypt(kemet) ilikuwa ya watu weusi,mafarao waliojenga mapiramidi ya kwanza(step pyramid by imhotep,great pyramids at giza)...misri ilivamiwa na wagiriki,wakafata warumi na mwisho waarabu ambao wapo hadi sasa(story yake hapa ni ndefu kidogo).Hii ni ngumu kumeza kwangu.How?? Eneo gani la east Africa?? Ni wapi unapatia confidence ya kusema East Africa ni mwanzo wa maisha ya Mwarabu???
Kuna tusi hapo? mbona hata hayo maneno ni tafsida pia?......hao uliowataja ni wazushi tu.matusi ya nini mkuu hujafundishwa tafsida shuleni?Mungu akusamahe na akuonyeshe haki.
kama quran taurati injili zaburi ni maneno ya binadamu
mbona hajatokea binadamu mwingine kutunga vitabu mfano wa hivyo vinavyoelezea ghaibu na yeye akaanzisha dini yake ?otherwise you have to accept Muhammad and Jesus were not ordinary people
Kuna watu gani hawafanyi kazi wapo tu nyumbani wakiamini maendeleo yanaletwa na mungu? kwa sababu ili hii imani ilete athari ibabidi wawepo watu ambao hawafanyi kazi na kusubiri tu maendeleo kutoka kwa mungu,lakini kama bado watu wanafanya kazi kama kawaida lakini bado wanaamini hivyo je,hapo utaonaje athari ya dini katika maendeleo?Mkuu, imani inakutaka uamini kitu flani na unakuwa na uhakika kwamba kitakuwa. ukiwa ndani ya dini unaamini kuwa maendeleo na mambo mengi ya kukupa maisha mazuri yanaletwa na Mungu lakini wasiokuwa na dini hawaamini hivyo wanaamini katika jitihada na ugunduzi wa vitu mbali mbali ambavyo vinatoa majibu kwa mahitaji yao.
Ina maana waafrika tulikuwa na dini yetu? kwa maana hiyo na mataifa mengine pia nao walikuwa na dini zao?kuna kitu hukielewi,hayo yalikuwa mambo ya makabila na sio mambo ya mungu,elimu kwako wewe unaitafsiri vipi?kuwa na degree au diploma ya uhasibu?katika kitabu cha going back and forth day and night(book of the dead) ndio msingi wa dini ya watu weusi waafrika,hakuna sehemu zinatajwa hizo imani za kafara....na biblia yako ndio inayotoa kafara,kasome stori ya abraham kumchinja mwanae isaka eti kutoa sadaka kwa yehova..get your facts right!
mkuu wazungu hawakuwa na dini,walipovamia misri(ambayo ilikuwa na watu weusi) wakaiga the way of worship ya black people,na waafrika walikuwa wanapractise imani yao miaka zidi ya elfu tano kabla ya uzushi wa yesu,biblia,yahwe/yehova...wazungu walikuwa mapangoni kipindi wakushi(waethipoia na wamisri,weusi sio hawa wavamizi wa kiarabu unaowaona leo) wakiwa na uttatu mtakakatifu (isis,osiris na horus) ambao leo mnadanganywa eti anayeitwa maria mzungu aliyepata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu...upuuzi huu usiuamini sababu wamisri(weusi)walikuwa wa kwanza kuwa na story hii na wazungu waliingia chaka na kuitafsiri ndivyo sivyo!!!Ina maana waafrika tulikuwa na dini yetu? kwa maana hiyo na mataifa mengine pia nao walikuwa na dini zao?
Hii inaleta maana gani?
Na kwanini imani za haya makabila ndiyo zijulikane na zengine kuwepo hadi leo lakini hili suala la dini ya afrika limekuwa tata sana?
Mkuu hujanitendea haki,kwa maswali yote hayo niliyouliza halafu umerudia tu kueleza yaleyale ya wazungu na huko misri!!!mkuu wazungu hawakuwa na dini,walipovamia misri(ambayo ilikuwa na watu weusi) wakaiga the way of worship ya black people,na waafrika walikuwa wanapractise imani yao miaka zidi ya elfu tano kabla ya uzushi wa yesu,biblia,yahwe/yehova...wazungu walikuwa mapangoni kipindi wakushi(waethipoia na wamisri,weusi sio hawa wavamizi wa kiarabu unaowaona leo) wakiwa na uttatu mtakakatifu (isis,osiris na horus) ambao leo mnadanganywa eti anayeitwa maria mzungu aliyepata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu...upuuzi huu usiuamini sababu wamisri(weusi)walikuwa wa kwanza kuwa na story hii na wazungu waliingia chaka na kuitafsiri ndivyo sivyo!!!
Mkuu,ww unaamin nini baada ya kifo cha mwanadamu?hakuna ujinga kama huu,hakujawahi kuwepo yesu,ni utunzi mwanana wa warumi na wamefanikiwa kuwapumbaza watu wengi sana!!!
Mleta post mmoja juu alikupa mfano wa watu kushinda makanisani sasa waweza kujiuliza muda wa kufanya kazi wanatoa wapi? Wapo wengi ambao maisha yakiwapiga hukimbilia kanisani kuombewa wakiamini ndo msaadawa maendeleo uliobaki badala ya kutafuta vyanzo vingine vya mapatoKuna watu gani hawafanyi kazi wapo tu nyumbani wakiamini maendeleo yanaletwa na mungu? kwa sababu ili hii imani ilete athari ibabidi wawepo watu ambao hawafanyi kazi na kusubiri tu maendeleo kutoka kwa mungu,lakini kama bado watu wanafanya kazi kama kawaida lakini bado wanaamini hivyo je,hapo utaonaje athari ya dini katika maendeleo?
Na hata hivyo kuna watu wangapi ambao hujituma sana katika kazi ila hawana maendeleo? kuna watu toka niko mdogo nawajua kwa jitihada na bidii zao za kazi ila hakuna kinachobadilika,lakini pia kuna watu hawana bidii ila wamefanikiwa.
sijuiMkuu,ww unaamin nini baada ya kifo cha mwanadamu?
Mkuu hujanitendea haki,kwa maswali yote hayo niliyouliza halafu umerudia tu kueleza yaleyale ya wazungu na huko misri!!!
Hoja ni kwamba kama waafrika walikuwa na dini yao basi ni kwa waafrika pekee na hivyo jamii zengine pia zitakuwa ama zilikuwa na dini zao pia.
Na ndipo nikauliza je hii inaleta maana gani kama kila jamii kuwa na dini take?
Kuna sehemu bibilia inasema"Baada ya adam kula tunda akajikuta yupo uchi akakimbia na kujificha"Mungu akaanza kumtafuta Adam na kuuliza Adam upo wapi?Yaani Mungu muweza wa yote alikuwa hamuoni Adam pale Garden?Nadataga sana.
Amen Ramkuu wazungu hawakuwa na dini,walipovamia misri(ambayo ilikuwa na watu weusi) wakaiga the way of worship ya black people,na waafrika walikuwa wanapractise imani yao miaka zidi ya elfu tano kabla ya uzushi wa yesu,biblia,yahwe/yehova...wazungu walikuwa mapangoni kipindi wakushi(waethipoia na wamisri,weusi sio hawa wavamizi wa kiarabu unaowaona leo) wakiwa na uttatu mtakakatifu (isis,osiris na horus) ambao leo mnadanganywa eti anayeitwa maria mzungu aliyepata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu...upuuzi huu usiuamini sababu wamisri(weusi)walikuwa wa kwanza kuwa na story hii na wazungu waliingia chaka na kuitafsiri ndivyo sivyo!!!
sun godAmen Ra
Hakina machozi, halafu machozi yanakwenda na maji. Hii tunaita double standard.Kilio cha samaki hakina machozi, machozi yanakwenda na maji![]()