Mto_Ngono
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 686
- 589
- Thread starter
- #121
Hawezi kufufuka... Dunia ipo na itaendelea kuwepo Mkuu you come and go but the world stand stillSasa hapo ushahidi wa kuwa hakuna kinachoendelea ni upi?
Halafu vitu vingine ni vya ajabu,leo hatushangai habari ya ya manii kwa sababu tunajua taratibu zake hadi anapokuja kupatikana kiumbe na hadi kuzaliwa ila unasema haiwezekani binadamu huyo huyo aliyepatikana kwa manii kuwa hawezi kufufuka!!!