Mto_Ngono
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 686
- 589
- Thread starter
- #21
Hujajibu swali mkuu ndiyo kwanza unazidi kunichanganya kwa kuniambia dini zimeundwa kwa ajiri ya watu weusi na masikini maana utanifanya nianze kuuliza maswali mengi mengine ili nipate uhalisia usemacho.
Nimeuliza kuacha kuamini katika dini na kuamini katika sayansi ndiyo nini? ina maana mwanzoni wazungu walikuwa wakiumwa wanaenda kwenye nyumba za ibada na si hospitali kwa sababu hawakuamini sayansi?
Namaanisha wazungu wengi huamini sayansi mfano ni uwepo wa dunia hata namna ya uendeshaji wa maisha kama nilivyotangulia kusema katika mojawapo ya post juu.