Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
Mkuu sasa hizi zinapatikana hapa bongo mfano hii yenye picha?
maana nimeona kweli tunaibiwa maana vi RAM vya ki.se.nge
Mkuu chief-mkwawa kuna cmu nimeiona Star N9599 ina range $199-$229 + free shiping.Je hii cmu inaweza patikana bongo?
zipo mkuu, mimi sifahamu sana mlolongo wa dar unavyokwenda ila najua kila siku ya mungu watu wanaenda kufungasha china. tafuta sehemu wanapouza clone clone (wale wanaozifata china) then waulize au toa order yako wakienda wakuletee.