Nadhan Chief unaweza ukanisaidia, Naitafuta sana LENOVO A830, Em nijuze ntaipata wap na ni kwa Tsh ngap..
Sijui kama hii sim ina utata wowote, mana kwenye Review zake nimeona minor complain tu.
Thanx
mdahavyose@hotmail.com
mkuu mi nimeshashika tecno karibia zote zipo cheap kama michina mengine ila tu ni overpriced kila siku nawambia
mnaibiwa
mnaibiwa
mnaibiwa
mnaibiwa
mnaibiwa
amkeni wabongo kama unaamua kwenda njia ya kichina kuna simu nzuri za kichina zina specs ya kufa mtu kwa bei cheeee..
mfano mzuri ni galaxy s4 clone unaipata as cheap as 270,000 ila ina specs kubwa kuliko phantom inayouzwa 450,000 na kitu.
kuna simu kama xiami red rice quadcore na hd screen as cheap as 130 usd(kama laki 2 na 20) japo haifanyi kazi bongo ila natoa tu mfano jinsi mchina anavyotakiwa awe.
sasa bongo unauziwa mchina sawa na original halafu unakomaa kabisa kuwa zinafanana na galaxy. yes sawa zinafanana na galaxy sababu zote ni android lakini hardware je? ukidondosha inapona? ukiwa na tatizo unapata suport toka kwa manufacture? nyengine hata kuingia recovery mode haiwezi siku ikijilock unahaha huwezi kuireset.
amkeni amkeni amkeni wabongo
tatizo ni lenovo huku africa hana matawi na wafanyabiashara wetu hawazifungashi
mkuu mi nimeshashika tecno karibia zote zipo cheap kama michina mengine ila tu ni overpriced kila siku nawambia
mnaibiwa
mnaibiwa
mnaibiwa
mnaibiwa
mnaibiwa
amkeni wabongo kama unaamua kwenda njia ya kichina kuna simu nzuri za kichina zina specs ya kufa mtu kwa bei cheeee..
mfano mzuri ni galaxy s4 clone unaipata as cheap as 270,000 ila ina specs kubwa kuliko phantom inayouzwa 450,000 na kitu.
kuna simu kama xiami red rice quadcore na hd screen as cheap as 130 usd(kama laki 2 na 20) japo haifanyi kazi bongo ila natoa tu mfano jinsi mchina anavyotakiwa awe.
sasa bongo unauziwa mchina sawa na original halafu unakomaa kabisa kuwa zinafanana na galaxy. yes sawa zinafanana na galaxy sababu zote ni android lakini hardware je? ukidondosha inapona? ukiwa na tatizo unapata suport toka kwa manufacture? nyengine hata kuingia recovery mode haiwezi siku ikijilock unahaha huwezi kuireset.
amkeni amkeni amkeni wabongo
mkuu mbona tecno wana app ya callcare unapata namba za support center za agents wao hapa bongo na nchi nyingine au wewe ulishika ipi?
Hardware iko poa nimedodosha si chini ya mara 7 Na ni ikiwa inachajiwa na cable kwenye meza ya pc.
Hizo facts za kuibiwa ulizotoa not yet convincing to me... nikiangalia ndo cheapest smartphones i.e p3,n3,l3,d3,b3 etc nisijue wanaonunua n7 na f7 lkn sisi wa category tajwa za 3 series wala hatuibiwi.
mkuu mbona tecno wana app ya callcare unapata namba za support center za agents wao hapa bongo na nchi nyingine au wewe ulishika ipi?
Hardware iko poa nimedodosha si chini ya mara 7 Na ni ikiwa inachajiwa na cable kwenye meza ya pc.
Hizo facts za kuibiwa ulizotoa not yet convincing to me... nikiangalia ndo cheapest smartphones i.e p3,n3,l3,d3,b3 etc nisijue wanaonunua n7 na f7 lkn sisi wa category tajwa za 3 series wala hatuibiwi.
mimi sijawahi kushawishika na tecno hata kidogo
mkuu mchina wa ram 256mb anauzwa laki naa hata ingekua laki kamili still ni ghali.
tablet ya inch 7 ya kichina double line na battery 3 (2 ni hot swapable zinatoka) inauzwa dola 45, processor dualcore na ram 512. convert mwenyewe nambie kama huibiwi.
ona daxian wana quadcore dola 99 (around laki na stini)
simu ina ram 1gb, processor quadcore arm 7, camera ya nyuma 8 megapixel na ya mbele 2mp ina gpu ya sgx544 na kioo cha 4.7. sasa nambie mwenyewe specs hizo na za tecno nani anaibiwa
![]()
yani hata ukitaka nilist simu 10 za kichina nalist na zote zitakua quad/dual core za chini ya laki 2.
yote 9, 10 nambie kiwanda cha tecno kiko wapi? nipe hata reference ya wikipedia
Mkuu tecno ram zake zote n 512
Mfano mzuri mkuu ni huawei y300, nlikuwa naifanyia test nikilinganisha na samsung galaxy S, na ilikuwa better, kuna huawei g700 au g610s zenye bei ya almost 400000 kwa 350000 na ni better kuliko tecno, pia kuna faea f1 yenye nfc
Order online
mkuu mchina wa ram 256mb anauzwa laki naa hata ingekua laki kamili still ni ghali.
tablet ya inch 7 ya kichina double line na battery 3 (2 ni hot swapable zinatoka) inauzwa dola 45, processor dualcore na ram 512. convert mwenyewe nambie kama huibiwi.
ona daxian wana quadcore dola 99 (around laki na stini)
simu ina ram 1gb, processor quadcore arm 7, camera ya nyuma 8 megapixel na ya mbele 2mp ina gpu ya sgx544 na kioo cha 4.7. sasa nambie mwenyewe specs hizo na za tecno nani anaibiwa
![]()
yani hata ukitaka nilist simu 10 za kichina nalist na zote zitakua quad/dual core za chini ya laki 2.
yote 9, 10 nambie kiwanda cha tecno kiko wapi? nipe hata reference ya wikipedia
Co watu wote wanawexa kuafford kununua cm ya laki 3 na kuendelea so waachen tecno nao wawatoe wstu ushamba kwa kushusha bei ata kama atakaa nayo mwaka inatosha kabisa