Tecno walianza kama utani ambapo watu walianza kuwaelewa walipotoa tecno n3 ....baadaye wakaja na tecno p3 amabapo mpk sasa bado ipo vizuri sokoni... ila nimeanza mimi binafsi kuwakubali kwenye tecno l3 ambapo kusema kweli simu imesimama sana hasa suala la chaji .. pia bei yake iko poaa ...ina space ya kutosha ..imekuja na games yani ilove that phone... tecno m3 iko poa ila kwenye chaji kidogo sijawa kubali ... p3 wako poa kwenye muonekano ila ndani hawajabamba sanaa.... nawtakia mda mwema ..kamata tecno l3 furahia SMART PHONE