Ujio wa MIEZI 2 ( 2 MOONS) 27 August.....

De Javu

JF-Expert Member
May 5, 2010
264
33
Leo kuna mdau ameniletea email kuhusu ujio wa "miezi 2". Nimeona nishee hizi nyuzi na wapenzi wa kuangalia anga wakati wa usiku, labda watachangia ni muda gani kwa maeneo kama Tz na sehemu mbali mbali duniani itawezekana kuona ujio huu.
Taarifa yenyewe ipo hivi, siku ya tarehe 27 August saa 6:30 za usiku (huyu mdau yupo Marekani ya juu); sayari ya Mars itakua karibu sana na dunia yetu umbali wa maili 34.65 milioni. Sayari ya Mars itaweza kuonekana wazi wazi kwa kung'aa zaidi kama mwezi, hali ambayo kwa baadhi ya maeneo utaweza kuona mwezi na hii sayari kama vile kuna miezi 2 (2 moons) imekaribiana. Hali kama hii itatokea tena mwaka 2187. Kumbuka si kila sehemu ya dunia utaweza kubahatika kuona, ni kama vile kupatwa kwa jua au mwezi.
 
Leo kuna mdau ameniletea email kuhusu ujio wa "miezi 2". Nimeona nishee hizi nyuzi na wapenzi wa kuangalia anga wakati wa usiku, labda watachangia ni muda gani kwa maeneo kama Tz na sehemu mbali mbali duniani itawezekana kuona ujio huu.
Taarifa yenyewe ipo hivi, siku ya tarehe 27 August saa 6:30 za usiku (huyu mdau yupo Marekani ya juu); sayari ya Mars itakua karibu sana na dunia yetu umbali wa maili 34.65 milioni. Sayari ya Mars itaweza kuonekana wazi wazi kwa kung'aa zaidi kama mwezi, hali ambayo kwa baadhi ya maeneo utaweza kuona mwezi na hii sayari kama vile kuna miezi 2 (2 moons) imekaribiana. Hali kama hii itatokea tena mwaka 2187. Kumbuka si kila sehemu ya dunia utaweza kubahatika kuona, ni kama vile kupatwa kwa jua au mwezi.

I will wait for the next occurrence! 2187???
 
Sinahakika ila nimeisearch in vai naletewa mengine tofauti. Labda ni nyepesi nyepesi!
 
Two Moons On August 27 - The Latest 'Old' Hoax!

Hata mimi niliwahi kuletewa message yenye kufanana na hiyo... Email ilikuwa na ujumbe huu hapa chini:

HOAX said:
Dear All,
Don't miss to see - TWO MOON ON 27 AUGUST*

*27th Aug the Whole World is waiting for.............*
Planet Mars will be the brightest in the night sky starting August.
It will look as large as the full moon to the naked eye. This will cultivate on Aug. 27 when Mars comes within 34.65M miles of earth. Be sure to watch the sky on Aug. 27 12:30 am. It will look like the earth has 2 moons. The next time Mars may come this close is in 2287.
Share this with your friends as NO ONE ALIVE TODAY will ever see it again]"
Kitu kama hichi kiliwahi kutokea kwanza katika Julai 2003, na kisha tena 2005 na 2006. Nina hakika watu wengi duniani walisubiri.

Na sasa tena email inakuja kuwa ili tukio litatokea tarehe 27 Agosti, 2010, wakati si kweli. huu ni uongo unao sambazwa kwenye email ili kuwakeshesha watu bila sababu ya msingi. Huu ujumbe ni wa kuhupuuza tu.
 
Sio mara ya kwanza nasikia hiki kitu. Na lst time nilikesha siajona miezi miwili wala nini!
 
Back
Top Bottom