De Javu
JF-Expert Member
- May 5, 2010
- 264
- 33
Leo kuna mdau ameniletea email kuhusu ujio wa "miezi 2". Nimeona nishee hizi nyuzi na wapenzi wa kuangalia anga wakati wa usiku, labda watachangia ni muda gani kwa maeneo kama Tz na sehemu mbali mbali duniani itawezekana kuona ujio huu.
Taarifa yenyewe ipo hivi, siku ya tarehe 27 August saa 6:30 za usiku (huyu mdau yupo Marekani ya juu); sayari ya Mars itakua karibu sana na dunia yetu umbali wa maili 34.65 milioni. Sayari ya Mars itaweza kuonekana wazi wazi kwa kung'aa zaidi kama mwezi, hali ambayo kwa baadhi ya maeneo utaweza kuona mwezi na hii sayari kama vile kuna miezi 2 (2 moons) imekaribiana. Hali kama hii itatokea tena mwaka 2187. Kumbuka si kila sehemu ya dunia utaweza kubahatika kuona, ni kama vile kupatwa kwa jua au mwezi.
Taarifa yenyewe ipo hivi, siku ya tarehe 27 August saa 6:30 za usiku (huyu mdau yupo Marekani ya juu); sayari ya Mars itakua karibu sana na dunia yetu umbali wa maili 34.65 milioni. Sayari ya Mars itaweza kuonekana wazi wazi kwa kung'aa zaidi kama mwezi, hali ambayo kwa baadhi ya maeneo utaweza kuona mwezi na hii sayari kama vile kuna miezi 2 (2 moons) imekaribiana. Hali kama hii itatokea tena mwaka 2187. Kumbuka si kila sehemu ya dunia utaweza kubahatika kuona, ni kama vile kupatwa kwa jua au mwezi.