Full moon katika mwezi huu wa March

Mzawa_G

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
667
1,467
Kama utakuwa unaangalia angani upande ule wa Mashariki utaweza kuuona mwezi ukiwa na umbo kubwa au tuseme mwezi mkubwa ambao huwa unaitwa 'Full moon'.

Ipo wazi kuwa full moon hutokea kila baada ya mwezi kumaliza nusu ya mzunguko wake katika dunia yetu ambapo huwa ni kama masiku 14 tu basi huweza kuona hali kama hiyo katika mwezi wetu.

Mwezi huwa unapokea mwanga wa Jua katika eneo lake karibu robo tatu ya mwanga wa Jua hufika katika mwezi na hupelekea mwezi kuonekana ukiwangaza kwa mwanga mkali sana huku duniani.

Kwenye tarehe 22-23 mwezi utaweza kumaliza mzunguko wake mzima katika kuzunguka dunia yetu.

Kwa wale wenye Imani zao mbalimbali huwa wanautumia au wanatumia kipindi kama hichi cha mwezi kuomba ili mikosi nuksi na kukaribisha baraka katika Maisha yao kulingana na Imani zao.

Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahili
FB_IMG_1678218545706.jpg
 
Mkuu usije ukawa uko corner bar Africa-sana unaimbisha wafanya biashara unajiona una bahati
Full moon maana yake mwezi upo kamili hivyo ukioomba jambo kwa wiki hii ni rahisi kufanikiwa sana sana ktk mapenzi mtafute yule aliyekuwa ana kukataaa mfate wiki hii kwa upole lazima atakubali japo kwa siku moja kuwa na ww 😁😁
 
Tena watu walio bahati ya wiki hii ya full moon ni watu waliozaliwa kati ya july 21 hadi august 21 maana mwezi unapita katika group la nyota ya leo constellation na walozaliwa august 21 mpk sept 21 ambapo mwezi ukiwa full moon unapita ktk group la nyita la virgo sana sana leo na kesho
 
Dah Africa Mungu atusaidie
Full moon maana yake mwezi upo kamili hivyo ukioomba jambo kwa wiki hii ni rahisi kufanikiwa sana sana ktk mapenzi mtafute yule aliyekuwa ana kukataaa mfate wiki hii kwa upole lazima atakubali japo kwa siku moja kuwa na ww
 
Mungu hawezi kukusaidia kama ww mweneywe unashindwa kujisaidia yaan unapita ktk msitu kuna simba halafu unaomba mungu akusaidie utaliwa tu jisaidie kwanza ndio usaidiwe
Kwan hakuna watu waliokutana na Simba na Mungu akawasaidia
 
Back
Top Bottom