Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,630
- 15,955
Tuwekee hapa hilo tangazo tulioneKama una ndugu anafanya bandari za Mtwara na Tanga uliza nao wamepewa Tangazo ; sasa kama ni dar lot tatu tu kwanini kuwatangazia hadi wa mikoani ?
Tuwekee hapa hilo tangazo tulioneKama una ndugu anafanya bandari za Mtwara na Tanga uliza nao wamepewa Tangazo ; sasa kama ni dar lot tatu tu kwanini kuwatangazia hadi wa mikoani ?
Unajisikia Kama ulipuke fulani ivi kwa kumeza bomu.Hakika mikafiri ina chuki kali aisee, hili nilikuwa sijalifikiria kamwe. Yaani ina hila za kila namna ili mradi tu wamchafue wasiyempenda. Ni miongo kupitiliza!!!
tutajie jina la huyo mwanadiplomasia wa ulaya mashariki aliyesema Tanzania ni sehemu ya Uarabuni tumjue.Hili sitaki mtu aamini au Aiamini Lakini kuna siku tulikua Quatar mwanadiplomasia mmoja wa moja ya nchi za Ulaya Mashariki akatuambia “ nchi yenu ina mahusiano maalum na UAE “ … akasema wana Ukoo wa ufalme walimuambia Tanzania ni kama moja ya mataifa yanayounda UAE … sasa nikajiuliza ni kwa ajili ya uwepo wao Loliondo au ni sehemu ya mkakati wa muda mrefu …?!?!??
Si mpaka wapate ajira DPW.......sio wote watapata bahati hiyo. Gati kuanzaia 0 mpaka 7 zimekwenda DPW.Ni sawa kuhoji, Huenda DPW ikakosa wafanyakazi wazoefu iwapo wengi wataamua kubaki serikalini hivyo wakaamua kutanua wigo wa wafanyakazi wa bandari walio tayari kuamia DPW
uongo wa nini?Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World
Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati
Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DpW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi … ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana
Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea ??!?!
Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
Kwanza nianze kumshukuru Rais Samia kwa kuleta DPWKuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World
Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati
Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DpW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi … ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana
Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea ??!?!
Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
Hata zikiwemo Tanga na Mtwara si pwani yote.Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World
Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati
Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DpW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi … ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana
Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea ??!?!
Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
Ukiachana na nafasi za juu ambazo si zote DPW watazichukua kuna hizi za kati na za chini. Naamini zipo.Si mpaka wapate ajira DPW.......sio wote watapata bahati hiyo. Gati kuanzaia 0 mpaka 7 zimekwenda DPW.
Wabaki Serikalini kufanya kazi gani Mkuu??? Maeneo yao ya kazi sindiyo hayo yaliyobinafsishwa kwa DPW?Ni sawa kuhoji, Huenda DPW ikakosa wafanyakazi wazoefu iwapo wengi wataamua kubaki serikalini hivyo wakaamua kutanua wigo wa wafanyakazi wa bandari walio tayari kuamia DPW
Nani kakudanganya? Yani DpW akose wafanyakazi watu walivyo jaa mtaani hivi!Ni sawa kuhoji, Huenda DPW ikakosa wafanyakazi wazoefu iwapo wengi wataamua kubaki serikalini hivyo wakaamua kutanua wigo wa wafanyakazi wa bandari walio tayari kuamia DPW
Boss, Serikali haikosi pa kupeleka watumishi, Mtumishi wa serikali ataenda popote serikali inapotaka. Hata halmashauri huko kama hakuna bandari tena. Ukikaa vibaya unaweza pangiwa shule ukawe mhasibu.Wabaki Serikalini kufanya kazi gani Mkuu??? Maeneo yao ya kazi sindiyo hayo yaliyobinafsishwa kwa DPW?
Kama priority ni walio na uzoefu bandarini ili kuepusha gharama ya usaili na training program za fresh from mtaani inawezekana kabisa wakakosa iwapo wengi wataopt kubaki serikalini.Nani kakudanganya? Yani DpW akose wafanyakazi watu walivyo jaa mtaani hivi!
🙏🏼🙏🏼👊Hao waarabu wamewafundisha kutukana ndugu zenu, mjinga wewe. Mna akili ndogo sana kuamini mwarabu ni ndugu yako ila mweusi mwenye imani tofauti na wewe ni kafiri.
Acha akili finyu wewe,chuki hazikusaidii chochotetotal islamization of tanzagiza …
Mtu ambaye akilala akiamka, akitemvea, akikaa, akiongea, yaaan kila kitu ni udini udini tu ndo huongoza kwa ulimbuken wakufikir. Hana hoja wala kujitetea asiiguse dini na hawa ndo shetan anawataka. Amesahau haki za binadam wenzake yeye amekalia kiti cha dini dini dini sawa mwana dini makafir ngoja tutulieHakika mikafiri ina chuki kali aisee, hili nilikuwa sijalifikiria kamwe. Yaani ina hila za kila namna ili mradi tu wamchafue wasiyempenda. Ni miongo kupitiliza!!!
Hapo kwenye perfomance review ndio sehemu sahihi ya wao kubaki serikalini kwa kweliUkiachana na nafasi za juu ambazo si zote DPW watazichukua kuna hizi za kati na za chini. Naamini zipo.
Tatizo ni pale afisa wa serikali ushazoea kuwa boss kwenye kitengo ukiwa na kazi with target ambayo usipoitimiza haina madhara makali ya moja kwa moja.
Sasa unaambiwa nenda DPW kupewa boss ambaye anataka ripoti kila siku na anakufanyia perfomance review kila mwezi. Nani atataka kwenda? Huenda wengi wameopt kubaki serikalini.
Private kuna reviews za kutosha.Hapo kwenye perfomance review ndio sehemu sahihi ya wao kubaki serikalini kwa kweli