Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu

Bandari katu hazina dini na wala hazihitaji; wenye bandari zao ndo wenye dini na hapo ndo tatizo linapoanzia.
Prof.Anna Tibaijuka katika kupinga Hoja ya Kuuzwa kwa Bandari kwa kampuni ya DPW aliwahi kusema kwamba:

"Tunapinga suala la kuuzwa kwa bandari kwa DPW siyo kwa sababu ya dini za Viongozi, Bali ni kutokana na KASORO ZILIZOPO KWENYE MKATABA."

Nafikiri sasa umeelewa point iliyopo kwenye hoja hii.
 
Kuna siri kubwa kwenye huo mkataba. Ila kwa sababu Tanganyika wajinga ni wengi, tumeshindwa kushikamana dhidi ya umafya uliopangwa kwa umakini mkubwal na Wazanzibari.

Mkakati wa muda mrefu ni kwamba Wazanzibari wanasema pwani yote toka Mtwara hadi Pangani, kilometer 20 toka baharini kwenda bara, pamoja na kisiwa cha Kilwa, ni mali ya Zanzibar, kwa vile eneo hilo kabla ya utawala wa Wajerumani, lilitawaliwa na sultani.

Kwa hiyo kinachofanyika sasa, ni taratibu kulikabidhi eneo hilo kupitia uwekezaji uchwara wa Waarabu, (ndiyo maana IGA inasema kuwa eneo lolote ambalo DPW itataka, serikali itatakiwa kuwalipa fidia wahusika na kuwakabidhi DPW). Mkakati huo wa kuchukua ardhi kupitia IGA utaenda sambamba na ununuzi wa ardhi wa hao wageni kwenye maeneo mengine ya pwani. Hilo likikamilika, Zanzibar itajitenga na Muungano, na kudai eneo lote la pwani. Lakini pia sultani wa Oman alitamka wazi kuwa ndoto yake ni siku moja lazima makao yake yarudi kwenye eneo lake la kale, yaani Zanzibar.
Tanzania inaanzia Zanzibar kwenda Bara na sio Kuanzia Bara kwenda Visiwani Zanzibar. Anayejua udongo mdogo walitoa wapi kwenda kuchanganya sehemu yenye udongo mwingi (location waliposimama) atusaidie. Official Union Signing location.
 
Kuna siri kubwa kwenye huo mkataba. Ila kwa sababu Tanganyika wajinga ni wengi, tumeshindwa kushikamana dhidi ya umafya uliopangwa kwa umakini mkubwal na Wazanzibari.

Mkakati wa muda mrefu ni kwamba Wazanzibari wanasema pwani yote toka Mtwara hadi Pangani, kilometer 20 toka baharini kwenda bara, pamoja na kisiwa cha Kilwa, ni mali ya Zanzibar, kwa vile eneo hilo kabla ya utawala wa Wajerumani, lilitawaliwa na sultani.

Kwa hiyo kinachofanyika sasa, ni taratibu kulikabidhi eneo hilo kupitia uwekezaji uchwara wa Waarabu, (ndiyo maana IGA inasema kuwa eneo lolote ambalo DPW itataka, serikali itatakiwa kuwalipa fidia wahusika na kuwakabidhi DPW). Mkakati huo wa kuchukua ardhi kupitia IGA utaenda sambamba na ununuzi wa ardhi wa hao wageni kwenye maeneo mengine ya pwani. Hilo likikamilika, Zanzibar itajitenga na Muungano, na kudai eneo lote la pwani. Lakini pia sultani wa Oman alitamka wazi kuwa ndoto yake ni siku moja lazima makao yake yarudi kwenye eneo lake la kale, yaani Zanzibar.
Hili sitaki mtu aamini au Aiamini Lakini kuna siku tulikua Quatar mwanadiplomasia mmoja wa moja ya nchi za Ulaya Mashariki akatuambia “ nchi yenu ina mahusiano maalum na UAE “ … akasema wana Ukoo wa ufalme walimuambia Tanzania ni kama moja ya mataifa yanayounda UAE … sasa nikajiuliza ni kwa ajili ya uwepo wao Loliondo au ni sehemu ya mkakati wa muda mrefu …?!?!??
 
Hakika mikafiri ina chuki kali aisee, hili nilikuwa sijalifikiria kamwe. Yaani ina hila za kila namna ili mradi tu wamchafue wasiyempenda. Ni miongo kupitiliza!!!
Hao ndugu zenu mnaosoma wote ile minyoo ndo wanaongoza kuwatesa sana hata kuwachinja wenzenu huko arabuni!! Hujiulizi kwanini huwa mnakimbilia kwa makafiri Ulaya na si Arabuni mkasome hiyo minyoo?
 
Kuna siri kubwa kwenye huo mkataba. Ila kwa sababu Tanganyika wajinga ni wengi, tumeshindwa kushikamana dhidi ya umafya uliopangwa kwa umakini mkubwal na Wazanzibari.

Mkakati wa muda mrefu ni kwamba Wazanzibari wanasema pwani yote toka Mtwara hadi Pangani, kilometer 20 toka baharini kwenda bara, pamoja na kisiwa cha Kilwa, ni mali ya Zanzibar, kwa vile eneo hilo kabla ya utawala wa Wajerumani, lilitawaliwa na sultani.

Kwa hiyo kinachofanyika sasa, ni taratibu kulikabidhi eneo hilo kupitia uwekezaji uchwara wa Waarabu, (ndiyo maana IGA inasema kuwa eneo lolote ambalo DPW itataka, serikali itatakiwa kuwalipa fidia wahusika na kuwakabidhi DPW). Mkakati huo wa kuchukua ardhi kupitia IGA utaenda sambamba na ununuzi wa ardhi wa hao wageni kwenye maeneo mengine ya pwani. Hilo likikamilika, Zanzibar itajitenga na Muungano, na kudai eneo lote la pwani. Lakini pia sultani wa Oman alitamka wazi kuwa ndoto yake ni siku moja lazima makao yake yarudi kwenye eneo lake la kale, yaani Zanzibar.
Na ndio vurugu mechi za Morogoro na migogoro ya ardhi.

Kitaeleweka.
 
Prof.Anna Tibaijuka katika kupinga Hoja ya Kuuzwa kwa Bandari kwa kampuni ya DPW aliwahi kusema kwamba:

"Tunapinga suala la kuuzwa kwa bandari kwa DPW siyo kwa sababu ya dini za Viongozi, Bali ni kutokana na KASORO ZILIZOPO KWENYE MKATABA."

Nafikiri sasa umeelewa point iliyopo kwenye hoja hii.
Tunajadili hoja ya mleta mada na si hoja ya tibaijuka. Muelewe mtoa mada.
 
Prof.Anna Tibaijuka katika kupinga Hoja ya Kuuzwa kwa Bandari kwa kampuni ya DPW aliwahi kusema kwamba:

"Tunapinga suala la kuuzwa kwa bandari kwa DPW siyo kwa sababu ya dini za Viongozi, Bali ni kutokana na KASORO ZILIZOPO KWENYE MKATABA."

Nafikiri sasa umeelewa point iliyopo kwenye hoja hii.
mtu kama huyo aliyevaa miwani ya udini unategemea ataona kasoro zilizipo kwenye mkataba?
 
Back
Top Bottom