Shida ya yote haya ni HAKI NA WAJIBU!
Tukilichambua tukio la mauaji ya HAMZA Linatupa taswira ya HAKI NA WAJIBU!
Hamza alikuwa ni mtu nzima mwenye familia yake( Huenda alikuwa level ya kutegemewa na si mtoto)
Kila mtu ana HAKI
Hamza kama kuna jambo lolote baya Aliona linamnyima HAKI yake hakutakiwa KUPANIKI! Angefikisha malalamiko yake ngazi husika ili atendewe HAKI! (Huo ndio uungwana)
Ukiporwa HAKI yako na watumishi wasio waaminifu haina maana ndiyo ufanye JINAI!
Makosa ya kunyimwa HAKI yapo kila mahali katika ofisi za Umma, Je, ni sawa kila mtu adai HAKI yake kwa nguvu ya mauaji?
Yaani mtu iwe busara mtu akifika TRA akiombwa Rushwa asipolizika basi achomoe bastola Apige afisa wa TRA
Au Mtu afike Tanesco akinyimwa umeme achomoe bastola apige!!!
Tukio la HAMZA lisitufanye tulaumiane! Lakini ni vyema likatukumbusha HAKI NA WAJIBU pande zote!
Weledi wa polisi ni kulichunguza tukio na kutoa report ya kitaalam wala hakuna haja ya kutoa vijembe na kashfa kwenye familia ya Hamza!
Mwili wa Hamza uheshimiwe kama miili mingine, wakabidhiwe familia kwa heshima ile ile ya ubinadamu!
Familia ya Hamza kwa upande wao, wanaona wamepoteza kijana shupavu, mtaftaji, Mme, baba wa watoto na mlezi wa familia iliyokuwa ina mtegemea!
Kosa la ndugu au mtoto lisiwe kashfa ya familia!
Isifikie mahali tukaaminishana kwamba Mtoto wa KAMANDA X akibaka huko mtaani basi tumulaumu baba yake KAMANDA!
Hata kama HAMZA alimtaja SIRRO Kwenye shambulio, IGP anatakiwa asipaniki!
Wachunguze kwanza kwa makini chanzo na ukweli wa tukio lile Hata kama litatia DOA baadhi ya watumishi kwa kutokutenda HAKI!
Tukilichambua tukio la mauaji ya HAMZA Linatupa taswira ya HAKI NA WAJIBU!
Hamza alikuwa ni mtu nzima mwenye familia yake( Huenda alikuwa level ya kutegemewa na si mtoto)
Kila mtu ana HAKI
Hamza kama kuna jambo lolote baya Aliona linamnyima HAKI yake hakutakiwa KUPANIKI! Angefikisha malalamiko yake ngazi husika ili atendewe HAKI! (Huo ndio uungwana)
Ukiporwa HAKI yako na watumishi wasio waaminifu haina maana ndiyo ufanye JINAI!
Makosa ya kunyimwa HAKI yapo kila mahali katika ofisi za Umma, Je, ni sawa kila mtu adai HAKI yake kwa nguvu ya mauaji?
Yaani mtu iwe busara mtu akifika TRA akiombwa Rushwa asipolizika basi achomoe bastola Apige afisa wa TRA
Au Mtu afike Tanesco akinyimwa umeme achomoe bastola apige!!!
Tukio la HAMZA lisitufanye tulaumiane! Lakini ni vyema likatukumbusha HAKI NA WAJIBU pande zote!
Weledi wa polisi ni kulichunguza tukio na kutoa report ya kitaalam wala hakuna haja ya kutoa vijembe na kashfa kwenye familia ya Hamza!
Mwili wa Hamza uheshimiwe kama miili mingine, wakabidhiwe familia kwa heshima ile ile ya ubinadamu!
Familia ya Hamza kwa upande wao, wanaona wamepoteza kijana shupavu, mtaftaji, Mme, baba wa watoto na mlezi wa familia iliyokuwa ina mtegemea!
Kosa la ndugu au mtoto lisiwe kashfa ya familia!
Isifikie mahali tukaaminishana kwamba Mtoto wa KAMANDA X akibaka huko mtaani basi tumulaumu baba yake KAMANDA!
Hata kama HAMZA alimtaja SIRRO Kwenye shambulio, IGP anatakiwa asipaniki!
Wachunguze kwanza kwa makini chanzo na ukweli wa tukio lile Hata kama litatia DOA baadhi ya watumishi kwa kutokutenda HAKI!