meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
nimekutana na magraduates kadhaa huku mtaani hawana ajira na kila wakijaribu kujiajiri vikwazo viko lukuki,wanaishia kuitwa interviews kila siku kumbe watoto wa mafisadi walishaandaliwa nafasi....iko siku nasema iko siku na siku yenyewe sio mbali.