Ujinga ni........

Ujinga ni........

Ujinga nikutangaza kuvutiwa na Preta kama nilivyofanya mimi na kushindwa kumaliza kazi. Ha ha ha hah.
 
Ujinga nikudhani Dennis ni jina analopewa mtu mwenye madeni.
 
Ha ha ha ha hah LMAO!

Yani acha tu Ipycalypse.
Tena utawasikia
"Kuanzia wiki ijayo sitakuwa na gari,analiazima kakaangu"
kumbe Muongo mkubwa,
Mwenyewe kalichukua.

Acheni ujinga wenye tabia hzo.
 
Last edited by a moderator:
ujinga ni kwenda mlima City licha ya kuwa unajua huna hata senti tano mfukoni
 
ujinga ni kujifanya supa star jamvini wakati ata wengine kwenye ukoo wenu hawakujui
 
Ni ujinga mtu mzima kujamba mbele za watu Na ukijua wazi jana usiku ulikula miharage! Next time sogea pembeni maliza shughuli yako,inakeraaaa Kwakweli!!
 
ujinga ni kwenda salon kupaka dawa za nywele WaKati unajua KaBisa una MAPunye!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom