Miss Bantu
Senior Member
- Apr 30, 2012
- 153
- 141
ujinga ni kwenda salon kupaka dawa za nywele WaKati unajua KaBisa una MAPunye!!!!!!!!
tehtehtehtehteh hii kali
ujinga ni kwenda salon kupaka dawa za nywele WaKati unajua KaBisa una MAPunye!!!!!!!!
Ujinga ni kuacha karikiti zako ziote,
then ukiwa na promise na mpenzi wako ndo unaenda na Gillete ili akushave.
Nisingekuita angeku-shave nani?
Ujinga huo.
Mh taratibu dada! Lol
Ujinga ni kuacha karikiti zako ziote,
then ukiwa na promise na mpenzi wako ndo unaenda na Gillete ili akushave.
Nisingekuita angeku-shave nani?
Ujinga huo.
unafkiri utani Ipycalypse?
Utakuta Mtu kayarundika utafikri anaenda mashindano.
ujinga ni kujifanya supa star jamvini wakati ata wengine kwenye ukoo wenu hawakujui
ujinga ni kwenda kumtunza shost dressing table wakat ww vipodozi unaweka dirishani
kwikwikwikwikwikwi mbona hivyo jamani..