Ujinga ni biashara kubwa ambayo imetajirisha wengi

Ujinga ni biashara kubwa ambayo imetajirisha wengi

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
31,636
Reaction score
81,533
Biashara ya ujinga ndo imetajirisha watu hapa Africa

The same person anachukua madini yako at lowest price Ila anarudi na msaada wa Vyandarua na Condoms na unampigia makofi na kuamini Una deni juu yake

Watu walewale waliowatesa babu zako na kukutengeza mifumo kandamizi ndo unaamini wamebadilika watakukomboa kutoka katika umasikini , Ah!! This is old house

Na mwingine anakuuzia UJINGA ili uuliwe ili apate cha kuongea na kuandika na kupata PESA.


Kwa sasa , DON'T PLAY SOMEONE'S GAME.

kwakuwa kila MTU ana familia yake na ukoo wake , ikiwa unahisi mambo hayapo sawa , INGIA front upambane mwenyewe .

Kwakuwa kule KENYA mwaka 2007 watu waliuliwa Ila end of the day Odinga akaweka mambo sawa na Ku-shake hands na watu walewale.

Je ni nani anazifatilia zile Familia za marehemu walioliwa wakimpambania Odinga ?

Yupo ?

Kwahiyo Ikiwa wanasiasa wameanza VITA waache wao waingie Wenyewe front .

Kwakuwa end of the day wao watamaliza VITA yao na kukumbatiana Ila wewe utakuwa umeuliwa , kupewa ulemavu n.k


Calculate ur MOVE there's no one is here to secure ur life.

Usione MTU kafanikiwa KTK siasa ukaamini na wewe unaweza kufanya siasa.

Yaaani una hide the pain story na kukumbatia story ya nje

Katika siasa kuna kuuliwa , kupewa sumu, kupewa ulemavu, kufungwa , kupotezwa.

So ukiona unataka kuishi miaka mingi na kuwa salama ujue siasa sio sehemu yako .

BECAUSE YOU NEED SOME SHIT DOESN'T MEAN YOU CAND HANDLE IT

TANZAANIA KWANZA AMANI KWANZA OKOA MAISHA YAKO KATAA MAANDAMANO KATAA VURUGU FAMLIA INAKUTEGEMEA
 
Chawa wote wanatakiwa wawe hapa.

Screenshot_20250720-193211~2.jpg
 
Hapana.
Maandamano ndiyo njia pekee iliyobaki isipokuwa tu yanatakiwa yawe very strategic.
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
Hapana.
Maandamano ndiyo njia pekee iliyobaki isipokuwa tu yanatakiwa yawe very strategic.
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
Sawa Ila we don't play someone's game
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
No one is here to secure ur life
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
Biashara ya ujinga ndo imetajirisha watu hapa Africa

The same person anachukua madini yako at lowest price Ila anarudi na msaada wa Vyandarua na Condoms

Na mwingine anakuuzia UJINGA ili uuliwe ili apate cha kuongea na kuandika na kupata PESA.


Kwa sasa , DON'T PLAY SOMEONE'S GAME.

kwakuwa kila MTU ana familia yake na ukoo wake , ikiwa unahisi mambo hayapo sawa , INGIA front upambane mwenyewe .

Kwakuwa kule KENYA mwaka 2007 watu waliuliwa Ila end of the day Odinga akaweka mambo sawa na Ku-shake hands na watu walewale.

Je ni nani anazifatilia zile Familia za marehemu walioliwa wakimpambania Odinga ?

Yupo ?

Kwahiyo Ikiwa wanasiasa wameanza VITA waache wao waingie Wenyewe front .

Kwakuwa end of the day wao watamaliza VITA yao na kukumbatiana Ila wewe utakuwa umeuliwa , kupewa ulemavu n.k


Calculate ur MOVE there's no one is here to secure ur life.

Usione MTU kafanikiwa KTK siasa ukaamini na wewe unaweza kufanya siasa.

Yaaani una hide the pain story na kukumbatia story ya nje

Katika siasa kuna kuuliwa , kupewa sumu, kupewa ulemavu, kufungwa , kupotezwa.

So ukiona unataka kuishi miaka mingi na kuwa salama ujue siasa sio sehemu yako .

BECAUSE YOU NEED SOME SHIT DOESN'T MEAN YOU CAND HANDLE IT

TANZAANIA KWANZA AMANI KWANZA OKOA MAISHA YAKO KATAA MAANDAMANO KATAA VURUGU FAMLIA INAKUTEGEMEA
FB_IMG_1748360197313.jpg
 
Wanasiasa ndio wapi hao? Huo ndo ujinga wenyewe wa kudhani kuna wanasiasa zaidi yako wewe. Wewe ndo mwanasiasa namba moja wa maisha yako, usipoyapigania kwa kuhofia kufa, utakuja kufa kwa kukosa maji mtaani kwako.
 
Wanasiasa ndio wapi hao? Huo ndo ujinga wenyewe wa kudhani kuna wanasiasa zaidi yako wewe. Wewe ndo mwanasiasa namba moja wa maisha yako, usipoyapigania kwa kuhofia kufa, utakuja kufa kwa kukosa maji mtaani kwako.
we don’t want your shit. We came out of the generation of poverty who finally got the point: No one’s going to help us. Even the government or relatives ,So we went for self, for family, for block, for crew—which sounds selfish;

Kwahiyo ukinamambia mambo ya serikali naona u remind me the old shit

Sisi tushatoka kitambo huko kukaa kuisubiri serikali itubadlishie MAISHA.


Napoona the younger generation , wanalalamika naona ni Kama hawaelewi how the. faki systems works.

Yaani watu wale wale waliomfanya Babu yako akawa masikini, wakamfanya Baba yako na Leo hii wewe unategemea wakufanyie favor .


Hapa tunabadilisha mtazamo kuwa We don't play someone's game zipo njia za kubadilisha mambo bila kuandamana
 
Back
Top Bottom