Colgate3
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 800
- 1,424
Habari waungwana na wadau wa ujenzi.
Nawajaribisha tushirikiane kujadiliana aina hii ya ujenzi kwa wataalam na wadau wa ujenzi wa aina hii....karibuni
1.Je una changamoto katika ujenzi wa nyumba tajwa hapo juu?
2. Umejengewa nyumba ukakutana na changamoto ya kuvuja?
3. Wewe ni mjenzi na hujui namna ya kujenga kwa usahihi nyumba za kuficha paa?
4. Una ndoto ya kujenga nyumba za aina hii lkn hujui gharama zake?
Niko hapa kutoa ushauri bure kabisa.
......................................................................................
Chukua haya yafuatayo;
1. Msingi uinuke
2. Boma liwe na tofali laini 11
3. Baada ya lenta hakikisha unatengeneza sehemu ya kupokelea maji
4. Pawepo na ducts za kupitishia maji na sio bomba
5. Upake bitumen pamoja na mebrane cloth maeneo ya wazi ya kupokelea maji.
6. Epuka slop ndefu za paa bali livunje vunje vipande vipande ili maji yashukie sehemu tofauti
Ukizingatia haya nyumba hii hsivuji na utaifurahia na haina gharama kubwa
Nawajaribisha tushirikiane kujadiliana aina hii ya ujenzi kwa wataalam na wadau wa ujenzi wa aina hii....karibuni
1.Je una changamoto katika ujenzi wa nyumba tajwa hapo juu?
2. Umejengewa nyumba ukakutana na changamoto ya kuvuja?
3. Wewe ni mjenzi na hujui namna ya kujenga kwa usahihi nyumba za kuficha paa?
4. Una ndoto ya kujenga nyumba za aina hii lkn hujui gharama zake?
Niko hapa kutoa ushauri bure kabisa.
......................................................................................
Chukua haya yafuatayo;
1. Msingi uinuke
2. Boma liwe na tofali laini 11
3. Baada ya lenta hakikisha unatengeneza sehemu ya kupokelea maji
4. Pawepo na ducts za kupitishia maji na sio bomba
5. Upake bitumen pamoja na mebrane cloth maeneo ya wazi ya kupokelea maji.
6. Epuka slop ndefu za paa bali livunje vunje vipande vipande ili maji yashukie sehemu tofauti
Ukizingatia haya nyumba hii hsivuji na utaifurahia na haina gharama kubwa