Kwahiyo litasaidia sana wakulima bei za mazao yao itapanda....!!!! Uchumi bila vipaumbele ni shida sanaaaUjenzi wa daraja linalopita baharini kutoka ufukwe wa Agha khan hadi coco beach jijini Dar es salaam umeanza, mambo kama haya ingekuwa vodacom ungesikia yajayo yanafurahisha mko tayar?
Alafu naskia ni kwa hela zetu za ndani. Hahahaha kuna watu wanapenda sifa hatari
Kwahiyo litasaidia sana wakulima bei za mazao yao itapanda....!!!! Uchumi bila vipaumbele ni shida sanaaa
Hata marehemu watanufaika kiongoziKwahiyo litasaidia sana wakulima bei za mazao yao itapanda....!!!! Uchumi bila vipaumbele ni shida sanaaa
Kwa akili hizi ukarabati wa makao yetu makuu pale ufipa utasubiri sana.Kwahiyo litasaidia sana wakulima bei za mazao yao itapanda....!!!! Uchumi bila vipaumbele ni shida sanaaa
Mkuu sawa ni muhimu, ila kwa hali ya nchi yetu sio priority kwasasa ni sawa na baba, ana mtoto mwenye homa kali, na kipato chake akimwezeshi kushugulikia vyote kwa wakati mmoja, anaamwa kulipia mchango waharusi na kuacha mtoto nyumbani bila matibabu......vyote ni mhimu lakini priority yako ni muhimu zaidi.Hata babu yako litamsaidia kiuchumi, au huamini hadi liamishiwe kwenu kama kuna bahari?
South Korea.Kwani za wapi?
Utakua wa mkoani tu hujui adha tunayo ipata watu wa datMatumizi mabaya ya pesa
Ujenzi wa daraja linalopita baharini kutoka ufukwe wa Agha khan hadi coco beach jijini Dar es salaam umeanza, mambo kama haya ingekuwa vodacom ungesikia yajayo yanafurahisha mko tayar?
View attachment 936172
Magu hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeBango linaonyesha mbona apo au kusoma hujui?.....Ni kwa msaada wa wakorea )
Kama hutaki hamia kenyaMagu hoyeeeeeeeeeeeeeeeee
Lazima zitakuwa USD hahahha bisha sasaKwani za wapi?