A
Anonymous
Guest
Ujenzi wa kipande cha Barabara ya Kilomita 1.6 kinachopita maeneo kadhaa ndani ya Manispaa ya Bukoba ambacho ujenzi wake ulianza Oktoba 9, 2023 ilipaswa kukamilika tangu October 8, 2024 mpaka leo Feb 16 2026 hakijakamilika na kuta zinazidi poromoka.
Kinachosikitisha zaidi ni kuwa kuta za mawe za barabara hiyo zimeshaporomoka zaidi ya mara moja kwa nyakati tofauti, jambo linalotia wasiwasi juu ya uwezo wa mkandarasi husika na usalama wa barabaraba hiyo hasa itakapokamilika
Kuna nini kinaendelea kati ya mamlaka na mkandarasi huyo aliyejizolea umaarufu mkoa hapa hata anashindwa kuwajibishwa licha ya kuwa nje ya mkataba kwa miezi zaidi ya 15 sasa?
Kinachosikitisha zaidi ni kuwa kuta za mawe za barabara hiyo zimeshaporomoka zaidi ya mara moja kwa nyakati tofauti, jambo linalotia wasiwasi juu ya uwezo wa mkandarasi husika na usalama wa barabaraba hiyo hasa itakapokamilika
Kuna nini kinaendelea kati ya mamlaka na mkandarasi huyo aliyejizolea umaarufu mkoa hapa hata anashindwa kuwajibishwa licha ya kuwa nje ya mkataba kwa miezi zaidi ya 15 sasa?