MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,990
- 34,838
Mh Zitto ,
The constitution have all along provided for independence of the CAG that when performing his function, he should not be subject to any order or direction from any Government Department or any person on any issue concerning such audit.Hivyo nadhani tuanze kuzitumia vyema mahakama zetu pindi inapotokea upotoshaji wenye ushahidi kama CAG akitoa msimamo unaotengua ripoti yake bila sababu zenye mantiki hivyo kudhihirisha possibility of breach of our constitution.Pamoja na mahakama kuwa impaired pia lakini daima njia za kisheria zina namna ya kulazimisha haki.
Hata CAG anaweza kuchukuliwa hatua akiruhusu independence yake kuwa compromised kama ulivyosema hapa chini;
"Nimesikia CAG kaitwa na Katibu Mkuu Kiongozi na kumtaka awasafishe. Ukweli ni kwamba PAC ilitumia taarifa ya CAG na ni yeye CAG aliyeita matumizi haya kuwa ni matumizi hewa na mradi wenyewe kuwa ni mradi kivuli. Taarifa ya Kambi ya Upinzani Bungeni imenukuu kauli za Mawaziri wakati wa mjadala wa Bajeti za Serikali na Taarifa ya CAG kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni, 2012. Sehemu ya Hotuba ya Kambi ya Upinzani Bungeni hii hapa"
The constitution have all along provided for independence of the CAG that when performing his function, he should not be subject to any order or direction from any Government Department or any person on any issue concerning such audit.Hivyo nadhani tuanze kuzitumia vyema mahakama zetu pindi inapotokea upotoshaji wenye ushahidi kama CAG akitoa msimamo unaotengua ripoti yake bila sababu zenye mantiki hivyo kudhihirisha possibility of breach of our constitution.Pamoja na mahakama kuwa impaired pia lakini daima njia za kisheria zina namna ya kulazimisha haki.
Hata CAG anaweza kuchukuliwa hatua akiruhusu independence yake kuwa compromised kama ulivyosema hapa chini;
"Nimesikia CAG kaitwa na Katibu Mkuu Kiongozi na kumtaka awasafishe. Ukweli ni kwamba PAC ilitumia taarifa ya CAG na ni yeye CAG aliyeita matumizi haya kuwa ni matumizi hewa na mradi wenyewe kuwa ni mradi kivuli. Taarifa ya Kambi ya Upinzani Bungeni imenukuu kauli za Mawaziri wakati wa mjadala wa Bajeti za Serikali na Taarifa ya CAG kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni, 2012. Sehemu ya Hotuba ya Kambi ya Upinzani Bungeni hii hapa"
Last edited by a moderator: