Ujasusi ndani ya Boeing

Ujasusi ndani ya Boeing

Mkuu kuna mahali hujaelewa vizuri topic yangu ,nimeongelea gross profit ya Boeing na Airbus na siyo net profit, Kama unajua mambo ya uhasibu utakuwa unajua maana ya Gross profit na net profit.
Kuhusu mengine uliyoongea nitayafafanua part 2

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafahamu kidogo mambo ya uhasibu bado sijakubaliana, jaribu kuingia INVESTING.COM huko utaona taarifa hizo zote, maana hiyo tovuti inahusika na maswala hayo ya uchumi na uwekezaji wengu huutumia katika kujua maendeleo ya kampuni na hisa zake pamoja na kilichozalishwa, hata ukienda kwenye tovuti zao bado data zako haziko sawa - ngoja tusubirie hiyo part 2 labda utakuwa umepitia na kuliona hilo,
 
Aisee, sijui data umezitoa wap ila ukisearch vizuri utaona kuwa Boeing na Airbus hazipishani sana mapato yake ambapo Boeing inaingiza $14 Billion na Airbus inaingiza $10 Billion sasa hizo data zako haziko sawa, cha pili Boeing na Airbus hawatengenezi Engine za ndege, kuna makampuni yanayotengeneza engine na kuwauzia mfano Rolls Royce na GE Aviation, nadhani hukuelewa kwenye muundo wa Boeing 737 Max engine wameziweka mbele kdg kulingana na design yake hivyo hiyo hali ya kuweka engine mbele inasababia center of gravity ya ndege kuhama (kusogea nyuma) hivyo kusababisha ndege kupitch upward kitu kinachoweza kusababisha angle of attack ya ndege kuwa kubwa sana na kuweza kuleta/kusababisha ndege ku stall na kuanguka hivyo ili kutatua hilo wakatengeneza system ambayo itakuwa inadeal na pitch ya ndege automatically ila shida ambayo inaleta ukakasi ni Boeing kutowaambia marubani wala kuandika popote kuhusu system hiyo ambayo ndo imeleta shida, kwa taarifa za awali marubani wote hawakuwa na ufahamu juu ya uwepo wa system hiyo na kama wangekuwa wanafahamu inamaana wangeweza kutatua tatizo hilo kwa kuondoa autopilot na kuendelea nayo manually, na tunajua Boeing ni ndege ambazo ni madhubuti sana na zimetengenezwa kwa mfumo ambao rubani anafanya anachotaka bila kuwa intervened na system (rubani ndo master wa ndege) tofauti na Airbus ambapo ndege inamonitor kila kitu (mfano mdogo left-right bang angle iko monitored) na system zake nyingi ni automatic ! Airbus iko very luxury while Boeing imekaa kiume zaidi, hilo la ujasusi siwezi kuliongelea maana huenda kuna hongo sehemu ili kuwe na bureacracy yenye matokeo mabaya kwa Boeing (angalia miaka ile IBM ikitafuta OS ya computer zake mpka kumpata Bill gates walikuwa wanajaribu kuepuka bureaucracy) ndo maana utaona products za Apple zimekuwa mbovu kulinganisha na devices zingine ila wanauzia Jina tu, huko nako kuna harufu hiyo, huko kwenye ujasusi hiyo ni consipiracy ingine ambayo ukiichunguza utaona kuna nguvu kubwa ya kutaka kuishusha marekani, tukianza na lile grupu linaitwa la globalism (humo yumo hillary clinton na kina George soros na wengineo), Russia kutoa fedha zake marekani, Rothschild kuacha kutumia dola na kutafuta mbadala mwingine wa fedha hizo zote zinasukumia huko kwenye ujasusi na kuzishusha kampuni za magharibi! Anyway kwa kumalizia nazipenda Boeing!
Mchango maridhawa kabisaa tena maridadi.
Very informative post.Ahsante sana
 
Mkuu usiwe biased Sana Ktk kuamini jambo, usiidharau Airbus na kuiona ni dhaifu eti hadi Russia ndo anaweza ku sabotage,siyo hivyo ndugu, hata taifa dogo usiloweza kulidhania Linaweza kufanya ujasusi dhidi ya taifa kubwa na likafanikiwa.
Rwanda imefanikiwa sana kuihujumu Tanzania yetu Najua wengi mtapinga lakini ndo ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujuma za Rwanda ni kama zipi kiongozi.Heb nisaidie kwenye hil maana mm huwa naona hiz ni speculations and accusations kwa kiasi kikubwa when it comes to tz vs rwanda.
Wengi huwa tunaongelea hisia na mihemko zaid kuliko uhalisia
 
Mkuu tatizo la kuanguka kwa ndege tajwa siyo engine......
Ni kufeli kwa mfumo komputa (computer system)wa kuongozea ndege kwenye ndege husika......
Kingine mshindani mkubwa wa boeng Ni Airbus Kama ulivyo eleza.... Ila wote Airbus na Boeng(wao huwa wananunua engine) wanatumia engine za Rolls Royce ambazo zinatengenezwa UK.....
KWA HIYO KULINGANA NA NADHARIA YAKO KUWA SHIDA BOENG MAX 737 Ni engine basi Hata Airbus haziko safe............

Sent using Jamii Forums mobile app
ilikua nimwambie hivi pia, boeng hawatengenezu engine, kwa afanye uchambuzi wake vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafahamu kidogo mambo ya uhasibu bado sijakubaliana, jaribu kuingia INVESTING.COM huko utaona taarifa hizo zote, maana hiyo tovuti inahusika na maswala hayo ya uchumi na uwekezaji wengu huutumia katika kujua maendeleo ya kampuni na hisa zake pamoja na kilichozalishwa, hata ukienda kwenye tovuti zao bado data zako haziko sawa - ngoja tusubirie hiyo part 2 labda utakuwa umepitia na kuliona hilo,
Mkuu Bil 10 na Bil 14 ni faida tupu baada ya kulipa wafanyakazi wote, kodi na gharama zote za kuendesha kampuni, hizo $Bil 25 ni kabla ya kutoa gharama zote nilizotaja hiyo ndo huitwa gross profit nadhani umenipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujuma za Rwanda ni kama zipi kiongozi.Heb nisaidie kwenye hil maana mm huwa naona hiz ni speculations and accusations kwa kiasi kikubwa when it comes to tz vs rwanda.
Wengi huwa tunaongelea hisia na mihemko zaid kuliko uhalisia
Mkuu Kagame ni nyoka mwenye vichwa viwili, hajawahi kuwa rafiki mwema Kwa jirani yake yoyote yule, kabla sijakueleza lolote, jipatie home work hii.
1.Kwanini aligombana na kikwete? (kushauriwa haikuwa sababu)
2.Kwanini kagombana na Nkurunzinza?
3.Kwanini kagombana tena na Museveni?
N. B Magufuli ana uzuri gani hadi Kagame amwone rafiki bora kuliko wote?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Bil 10 na Bil 14 ni faida tupu baada ya kulipa wafanyakazi wote, kodi na gharama zote za kuendesha kampuni, hizo $Bil 25 ni kabla ya kutoa gharama zote nilizotaja hiyo ndo huitwa gross profit nadhani umenipata

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepitia tena bado siko sawa sana na data zako mkuu, jaribu kuangalia hizo attachment then tuendelee japo siyo issue sana endelea na part two tuone nako kama kuna chochote cha kujifunza nako
 

Attachments

  • airbus.png
    airbus.png
    25.2 KB · Views: 37
  • boeing.png
    boeing.png
    26.1 KB · Views: 43
katika kazi za engineering hitilafu ni ishu ya kawaida hasa system inapokuwa mpya, nashindwa kuelewa tz tumetoa wapi majasusi wa hali ya juu kama hii kiasi kwamba ukapata solution bila research
pia naamini hata kinachozungumzwa hapa hakuna aliewahi kukigusa.
 
katika kazi za engineering hitilafu ni ishu ya kawaida hasa system inapokuwa mpya, nashindwa kuelewa tz tumetoa wapi majasusi wa hali ya juu kama hii kiasi kwamba ukapata solution bila research
pia naamini hata kinachozungumzwa hapa hakuna aliewahi kukigusa.
Hapa namzungumzia uchambuzi wangu binafsi juu ya uwezekano mkubwa wa kampuni ya Boeing kuhujumiwa na mahasimu wao kibiashara, excuse kwamba eti kupata hitilafu engine ni kitu cha kawaida, haikubaliki Kwa sababu zifuatazo.
1.Engine ya ndege ni lazima ifanyiwe regular check up kabla ya kui verify sokoni
2.Boeing wametengeneza zaidi ya ndege 200 aina ya 737 MAX 8 na kuzipeleka sokoni na zote zilizoruka zimeanguka Kwa tatizo hilo hilo
3.Ni nani aliruhusu na ku verify hizo ndege ziruke na kisha kuuzwa? Hakuona tatizo?
4.Kwanini tatizo la ajali linafanana?
Maswali ni mengi ,Boeing imehuhujumiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamii intelligence itabakikuwa juu, Nimepata mwanga mpya wa hizi ajali
 
Hapa namzungumzia uchambuzi wangu binafsi juu ya uwezekano mkubwa wa kampuni ya Boeing kuhujumiwa na mahasimu wao kibiashara, excuse kwamba eti kupata hitilafu engine ni kitu cha kawaida, haikubaliki Kwa sababu zifuatazo.
1.Engine ya ndege ni lazima ifanyiwe regular check up kabla ya kui verify sokoni
2.Boeing wametengeneza zaidi ya ndege 200 aina ya 737 MAX 8 na kuzipeleka sokoni na zote zilizoruka zimeanguka Kwa tatizo hilo hilo
3.Ni nani aliruhusu na ku verify hizo ndege ziruke na kisha kuuzwa? Hakuona tatizo?
4.Kwanini tatizo la ajali linafanana?
Maswali ni mengi ,Boeing imehuhujumiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Brother, naomba twende step kwa step kuna vitu nimenote hapa haviko sawa ama vimekuzwa ama vimewekwa kwa namna ya ushabiki wa kitaarifa/habari (sensationalized), tuanzie hapa
1. Engine ya ndege lazima ifanyiwe check up kabla ya kuwa verified sokoni ila kama ni mfuatiliaji wa maswala ya aviation asilimia kubwa ya vifaa unavyoviona ni baada ya ajali kisha wataalamu wanaamua kudesign solution, mfano tu sababu ya madirisha ya ndege kuwa oval ni baada ya ajali ya ndege huko miaka ya 60-70 na kugundua square windows zinagerate pressure jaribu kumsiliza huyu rubani kwenye link nimeiweka chini kbs ya post hii, kwenye engine hapa bado nakukatalia Boeing hawatengenezi engine na malfuction za ndege hizo sio engine kufeli ni system ya kucontrol pitch ya ndege inayoitwa Maneuvering Characteristics Augmentation System (MCAS), ingia hapa usome kinachoendelea https://interestingengineering.com/...-update-other-changes-for-embattled-737-max-8 na link ingine iko chini kbs inayoeleza kinachoendelea.

2. hapa unaposema ndege ZOTE zilizoruka zimeanguka kwa tatizo hilo hilo naomba tujikumbushe kwamba mpaka sasa aina ya ndege hizo zilizo kwenye order ni ndege 4987 na zilizotengenezwa na kukabidhiwa na kuanza kuruka ni ndege 381 na zilizopata ajali ni ndege 2 sasa unaposema ndege zote zilizoruka naona umekuza mno taarifa, angalia hapa idadi ya ndege za aina hiyo zilizokuwa delivered https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_Boeing_737_MAX_orders_and_deliveries na pia ajali za ndege za aina hiyo angalia link hii hapa inalist ya ajali zoote za boeing mwishoni kabisa utaona ndege ya Lion na Ethiopian Air, link hii hapa isome https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_accidents_and_incidents_involving_the_Boeing_737 .

3. FAA wanahoja za kujibu maana walipaswa kuangalia system zote na kujihakikisha kuwa ziko sawa, kilichogundulika ni kuwa sensor inayocontrol MCAS system haikuwa inasoma sawasawa sababu ya bugs za software iliyotumika, jana wametoa update ya hiyo software, hii ndiyo iliyosababisha ndege zote za aina hiyo kuw agrounded mpaka solution inayoeleweka itakapopatikana na kikubwa walichokosea Boeing ni kutoitolea taarifa hiyo system mpya kwenye manual book yao haipo kabisa

4. Tatizo la ajali linafanana sababu ni system ile ile moja
Mkuu ukiwa unajipanga kuendelea na part two au three au four jaribu kuchuja kwanza taarifa zako na data zako ili twende sambamba, hizo zingine za kijasusi tunajua ni theory na maoni yako binafsi kwa mtazamo wako kama watu wataona kuna ukweli ni sawa au ni story tu kama zingine pia ni sahihi maana kuna dalili za kutaka kuongelea ujasusi zaidi kuliko tatizo la awali lililogundulika (sikatai kuwa ujasusi 'unaweza' kuwepo pia)
* Link hapo chini kabisa ni ya mfano niliouelezea hapo juu wa oval window hiyo ya juu yake ni kinachoendelea sasa hivi, najaribu kuweka links ili tuwe na ushahidi na hoja zetu sio kwamba naspeculate tu from no where mtoa mada



 
Kampuni zingine zinazofuatia kwa ushindani na Boeing ni ya Antonov ya Ukraine na ya Beriev ya Urusi.



Huo ni uongo wa kufa mtu


Antonov ya Ukrain


Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee ulipita japo wikipedia kuangalia? Antonov ilikuwa chini ya USSR ya kipindi hicho ndani ya Ukraine ila baada ya kumeguka wao wameendeleza hiyo kampuni , kipande kdg nilichokiona kinasema "Antonov StC is a state-owned commercial company. Its headquarters and main industrial grounds were originally located in Novosibirsk, and were later transferred to Kiev.[3] On 12 May 2015 it was transferred from the Ministry of Economic Development and Trade to the Ukroboronprom (Ukrainian Defense Industry)." ila kwa ujuvi zaidi soma kwenye link ya wikipedia ujisomee mwenyewe huenda wewe ndo ukawa gizani mkuu https://en.wikipedia.org/wiki/Antonov
 
Back
Top Bottom