kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
ndugu zangu mim naomba ku-share na ninyi story hii.
watoto wangu (wana miaka 6 na 4) wamefunga shule . walienda kwa grandparents wakakaa kama wikil mbili. wamerudi Jumamosi. kesho yake jumapili baada ya juice ya Rosella kutengenezwa wakashinikiza watengeneze "Ice creams" kutokana na hiyo juice. waliona jirani wa grandparents wakitengeneza wakadevelop interest na walikuja na vifuko vya kuwekea hizo "ice cream".
baada ya kutenegeneza na kugandisha kwenye fridge, next step wakaanza kudemand wanataka kwenda kuuza nje ya nyumba. kumbuka ni watoto wa age ya 6 na 4. sisi hatuna hili wana lile kumbe wameweka hizo ice creams kwenye ki-container na wametoka nje kuziuza (ila msichana wa kazi alikuwa anawa-monitor). baada ya muda walikuja wakaniambia kuwa wameuza mbili na nyingine zimeyeyuka. sisi wazazi tulijiuliza maswali na baadae tukagundua mambo yafuatayo:
incidence hii imenikumbusha Robert Kiyosaki anavyosimulia katika kitabu chake cha Rich Dad , poor Dad jinsi walivyoanza kutengeneza vitu at very very early age
watoto wangu (wana miaka 6 na 4) wamefunga shule . walienda kwa grandparents wakakaa kama wikil mbili. wamerudi Jumamosi. kesho yake jumapili baada ya juice ya Rosella kutengenezwa wakashinikiza watengeneze "Ice creams" kutokana na hiyo juice. waliona jirani wa grandparents wakitengeneza wakadevelop interest na walikuja na vifuko vya kuwekea hizo "ice cream".
baada ya kutenegeneza na kugandisha kwenye fridge, next step wakaanza kudemand wanataka kwenda kuuza nje ya nyumba. kumbuka ni watoto wa age ya 6 na 4. sisi hatuna hili wana lile kumbe wameweka hizo ice creams kwenye ki-container na wametoka nje kuziuza (ila msichana wa kazi alikuwa anawa-monitor). baada ya muda walikuja wakaniambia kuwa wameuza mbili na nyingine zimeyeyuka. sisi wazazi tulijiuliza maswali na baadae tukagundua mambo yafuatayo:
- mazingira yana-shape watoto. utegenezaji wa ice cream waliuona kwa bibi yao.
- upande mmoja tuliona watoto kama wana makosa, lakini baadae tuka-conclude kwamba hawa watoto wakiendelezwa wanaweza kuwa wajasiriamali. hebu imagine kuwa unawekea utaratibu na mfumo mzuri wa biashara ndogo ya ice cream baada ya miaka 10 si wanaweza kuwa mbali (in fact hapa unazingatia kuwa isilete negative impact katika shule). mfano mzuri ni wenzetu wahindi wanavyofundisha watoto wao biashara wakiwa wadogo
- Zile ice cream ambazo ziliyeyuka hawakuziuza - hii ikatufundisha kuwa wanaweza kutofautisha kitu chenye ubora na kitu kilichoharibika. na haikuishia hapo wali-demand tuwanunulie kifaa cha kuwekea ice-cream zisiyeyuke
- fedha waliyopata (Tsh 200) walisema wanaitunza.. hii ikatuonyesha kuwa the little amount you get can be saved withought being used rampantly (maana wangeamua kununulia pipi
incidence hii imenikumbusha Robert Kiyosaki anavyosimulia katika kitabu chake cha Rich Dad , poor Dad jinsi walivyoanza kutengeneza vitu at very very early age