Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,281
- 53,247
Salaam wana JF wote. Jana nilikuwa safarini toka Kahama kuja Dar ndani ya basi,akapanda kijana na kunadi biashara zake ambazo ni sabuni yakuogea Dalin,dawa ya meno ya Alovera,sabuni ya Kaisiki maluum kwa wanawake. Hoja yangu wakuu hapa naomba kujuza kuhusu sabuni Dalin eti inaleta hamu ya kuoga maana mjasiriamali aliinadi akadai lazima usiiache bafuni bilakufunga. Pili kuhusu sabuni Kaisiki maalum kwa wanawake eti inasafisha sehemu nyeti, Sasa hapo kuna ukweli wowote au ni swaga za ujasiriamali ili mteja anunue tu?