Ujaji mgumu!

Ujaji mgumu!

akajasembamba

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
1,193
Reaction score
1,810
JAJI_(JUDGE)_ENGELA_KILEO-JAJI_DAN_MAPIGANO-MAJAJI-TANZANIA-ISSA_MICHUZI-NYALALI-HAKINGOWI.JPGUjaji mgumu jamani ukimtazama Mheshmiwa Jaji Mama Angela Kileo hapo hajajiremba kitu chichote hakuna cha kusuka hata twende kilioni, hakuna wanja wala lipshine wala mkufu wala make up ya aina yeyote wala nini sijui perfume! Nadhani hana muda ni kupitia vifungu vya sheria tu. Nenda kwa Wanasihasa sasa!urembo kama wapo ktk kitchen party!
 
wewe jamaa uliyeweka hiyo picha humuuuuuuuu, amekupa ridhaa yakeeee lakiniiiiiiiiiii, angalia bwana ooohoooo uta:A S-key: uombe :help:
 
Siku hizi hata ukienda polisi post utashangaa kuona mamiss wazuuuri wamevaa gwanda za njagu. Utatamani uwe unarudi rudi kituoni japo kuosha macho!

Sidhani kama huwa wanamaliza depo kihalali!
 
kujiremba ni issue ya matter over mind! Km anaweza kujikubali then it doesn't matter!
 
wewe jamaa uliyeweka hiyo picha humuuuuuuuu, amekupa ridhaa yakeeee lakiniiiiiiiiiii, angalia bwana ooohoooo uta:A S-key: uombe :help:

Hakuna wa kufungwa hapo na yeye ni Jaji mwanasheria anajua kuna FREEDOM OF EXPRESSION na zilizowekwa ni Fair Comment tupu! Picha yake haijachukuliwa from a private place, nyumbani etc, imechukuliwa ktk public ndiyo maana akiwa ktk mavazi ya kazi! Kazi ngumu hii ona urembo wa wanasiasa Waziri na Mkuu wa Wilaya, urembo tele Sophia Simba and Sophia MjemaView attachment 26858sophia mjema.jpg
 
Watu wengine wana choose profession zao kwa kuangalia watu wengine.Kama umesomea kitu ambacho unakipenda kutakuwa hakuna ugumu wowote.
 
View attachment 26845Ujaji mgumu jamani ukimtazama Mheshmiwa Jaji Mama Angela Kileo hapo hajajiremba kitu chichote hakuna cha kusuka hata twende kilioni, hakuna wanja wala lipshine wala mkufu wala make up ya aina yeyote wala nini sijui perfume! Nadhani hana muda ni kupitia vifungu vya sheria tu. Nenda kwa Wanasihasa sasa!urembo kama wapo ktk kitchen party!

Hiyo kwenye nyekundu ndio nini? tunaomba tafsiri.
 
ni uamuzi tu, kama tatizo ni muda mbona kanyoa?

lakini sio siri, kapendeza sana.
 
Siku hizi hata ukienda polisi post utashangaa kuona mamiss wazuuuri wamevaa gwanda za njagu. Utatamani uwe unarudi rudi kituoni japo kuosha macho!

Sidhani kama huwa wanamaliza depo kihalali!


pamoja sana mkuuu....nenda oysterbay aluuuu wako busy na bb kwenye facebook utadhani tuko club mwanangu kumbe ni mungande
 
Daaaaaamn,
Mie nilifikiri ni Jaji Joseph.............
Hiyo si sura ya kike, no offense intended.
 
Hakuna wa kufungwa hapo na yeye ni Jaji mwanasheria anajua kuna FREEDOM OF EXPRESSION na zilizowekwa ni Fair Comment tupu! Picha yake haijachukuliwa from a private place, nyumbani etc, imechukuliwa ktk public ndiyo maana akiwa ktk mavazi ya kazi! Kazi ngumu hii ona urembo wa wanasiasa Waziri na Mkuu wa Wilaya, urembo tele Sophia Simba and Sophia MjemaView attachment 26858View attachment 26859

Ndio unaweza kutofautisha waliopata kazi kwa "Technics" na waliopata kazi kwa "Profession"

Si unajuwa siku hizi mdada kama analiweza gwaride mguuu pande, mguuu sawa kwa waheshimiwa makamanda tayari cheo anacho, sasa mguu pande kama havutii kamanda gani atamuona ili amuamrishe? Ndio maana wale ambao hawana taaluma utaona wanapoteza muda mwingi saloon na kwenye Boutique, ili hali wale wataalamu wanapoteza muda mwingi kwenye kusoma na kufanya utafiti.
 
attachment.php


Kama ma-biwakubwa kutoka S. Sudan vile. Afadhali yeye kuliko wal wenye kupendelea urembo bandia na nywele fake.
 
Back
Top Bottom