Wakinyafa hivyo sasa utofauti wake na ukristo utakua ni upi?Tunazungumzia kuhusu ukamilifu wake na dosari yake, ITABIDI WANAZUONI WAINGILIE KATI WAINDOSHE VIFUNGU KATILI NDANI YA KURAAN. ILI IWE DINI BORA ZAIDI.
Dini hizi zote ni Abrahamic,Hata wasingekuwa na hiyo mentality ya kueneza dini kikatoli au kulipa kisasi Ina makorokocho mengi ya ajabu kwenye sheria zake taratibu na matendo mbalimbali ya kiibada ,kitamaduni na inatia mashaka kama ni kweli Mungu wanayemwabudu na sifa sawa na yule wanayemwabudu wakristu au Kuna mtu aliwapiga chenga na kuwapeleka kwa mkuu mwingine?
Kutokuvijua kwako haimaanishi Kuwa havipo shika hilo mkuu.Acha mwembwe wee . Dini ibafanyiwa marketing na promotion za kuhonga watu kama bidhaa zisizo na UBORA sokoni? Uliwahi kuona wakristu wakishawishi watu maarufu kujiunga nao kwa kuwalipa kiasi kikubwa Cha fedha na baadaye kutangaza dunia nzima ili followers wake labda wamfuate? Uliwahi kuona wakristu wakitumia wanawake kuwarubunj wanaume wabadili dini ili wawaoe? Uliwahi kuona wakristu Wana vikundi vya wanamgambo karibia Kila nchi eti ni wapigania dini kwa waliokataa wauawe?
Umeongea ukweli kabisa,waislamu wengi wame experience ubaguzi kwenye nchi za kiislamu kuliko nchi za ulaya. Kuna wabangladesh na walakistania wanaona bora wabaki uingereza kuliko kWenda Dubai au SaudiaUzuri ukimwekea muislam SAUD ARABIA na UJERUMAN atataka kwenda Ujerumani
Iran na Poland atachagua Poland
Italy na Maka atachagua Italy
Umeandika porojo tupu hapo, vp makundi yanayoua watu Kongo yanatofautiana vp na al shabab
Mimi ni mkristo ila nauteyea uislam. Uislam kama dini haifundishi ukatili hata siku moja, ila katika imani zote huwa kuna watu unaowaita wakatili, wapo tayari kuua, kutesa kwa sababu ya dini zao, ukristo ukiufuatilia kuna kanisa moja kubwa kuliko yote walikuwa wanachemsha watu kwenye mapipa ya mafuta, walirusha watu kwenye simba wenye njaa, walirusha watu kwenye matanuru,
Uislam ni dini ya haki. Ukiangalia ni watu wangapi hueaendea wakristo kuwaomba msaada na ni watu wangapi huwaendea waislam kuwaomba msaada utakugua jambo.
Sisi wakristo hatuna tunachojivunia
vita ya kidini huanza hivi hivi kidogo kidogo, kwamba uhuru ni wa kutoa maoni au haki ya kutoa maoni ,kumbe unaumiza imani za watu.......
ALLAAH HUMUACHA APOTEE AMTAKAYE NA HUMUONGOA ANAYEELEKEA KWAKE.Bora niabudu mavi,kuliko huu upuuzi.
Anti baraka, p8a wakristo hawa ni wabaya kuliko alcaeda, wanaishi kwa kula nyama ya binandam waliowaua
Sio ya kidini...Umeandika porojo tupu hapo, vp makundi yanayoua watu Kongo yanatofautiana vp na al shabab
This is the truth the whole truth nothing but the truthUislamu ingekuwa Dini nzuri sana endapo baadhi ya Tabia zinazohusushwa na Dini zingeachwa. Siongelei huu uislamu wa gongo la mboto, waislamu jina. Naongelea wakulungwa wenyewe.
Mfano: Tabia ya kufinya haki za wanawake, kwenye dini ya uislamu mwanamke ni kiumbe kinachopewa daraja la chini sana kwenye karibia baadhi ya mambo kwenye familia hadi jamii, kuanzia kwenye maamuzi na utendaji wa kazi, ambapo mwanaume amejisimika ufalme kwenye kila mambo.
Nchi nyingi zinazoongozwa na Uislamu zinapinga uongozi wa wanawake, kuendesha magari japo juzi kati ndipo walianza kuruhusu, mtindo wa maisha na mambo kadha wa kadha yanayowahusu wanawake.
Kuchukua sheria mkononi: hapa siongelei puchu au mgalala, la ashah, hapa nazungumzia sheria nyingi za Uislamu zinaamuru kujichukulia sheria mkononi endapo mtu ataenda kinyume na matakwa ya uislamu mfano; mtu akitaka kuhama Dini ya kiislamu anaweza kuuliwa, mtu akidhini au kuchepuka apigwe mawe mpaka kufa, ukimkubatia mwanamke si wako uchapwe viboko 99.
Juzi tu umeona mchezaji mpira Cristiano Ronaldo akimkumbatia msichana mlemavu baada ya kumletea zawadi ya picha hiko Iran, lakini serikali ya Iran inayoendeshwa chini ya uislamu ikaamuru Ronaldo akirudi tena Iran atandikwe viboko 99 kwa kosa la kumkumbatia yule dada mlemavu kama shukurani. Yapo mambo mengi ya kujichukulia sheria mkononi ya kuua au kumdhuru mtu endapo hatafata sheria za Uislamu.
Wazee wa Suicide mission: Hapa sizungumzii ile Movie ya Suicide Squad ya Will Smith, hapa nazungumzia wale wakulungwa wa Imani kali wanaoanzisha vikundi vinavyojulikana kama vikundi vya Jihad kama Islamic State (IS), Balochistan Liberation Army (BLA), Al-Qaida, Al-shabab, Jumaat Nusrat Al-Islam wal Muslimeen (JNIM), Islamic State Khorasan (ISK), Islamic State Sinai (ISS) na vikundi vya namna hiyo huko Africa magharibi (Islamic State West Africa) kama Boko Haram na vinginevyo vya imani kali ambavyo lengo lao ni kusambaza Uislamu kwa nguvu na kupambana na serikali zisizo za kidini.
Hawa wazee wanajulikana kwa mashambulizi yao dhidi ya raia na serikali ikiwemo majeshi, na kuua watu bila sababu zenye mashiko, wengine wamejizolea umaarufu kwa kujitoa muhanga na kuua watu wengi bila kujali kwamba wanafamilia au hawana. Na pia Al-Qaida walikuwa wanafahamika kwa kuchinja raia wa Kimarekani na wa nchi za Ulaya, kupelekea nchi za Mashariki ya Kati kuogopwa kutembelewa na wageni kutoka nchi nyingine.
Ukijaribu kuwagusia hawa waislam wa Bonyokwa wanakwambia Uislamu unakataza mambo hayo, lakini ukifuatilia kwenye vitabu vyao ukatili wa aina hiyo umeandikwa kwenye kitabu chao kama kuchampa mtu viboko, kuua kama aendani na itikadi za kiislamu na mambo kadha wa kadha.
Hata hawa waislam wa Bonyokwa washukuru tu kwa sababu wanaishi Tanzania na sio nchi ya kidini ila wangekuwa wanaishi huko Iran au Afaghanstan, wangeelewa shoo.
Juzi kati tu ndege ya Marekani ya kijeshi ilivyokuwa inaondoka Afaghanstan, Waafaghan wengi walitaka kuondoka nayo kuonesha hawataki kubaki nchini kwao kupelekea watu wengine kuanguka na kufa, inaonesha hata nchi nyingi za Uarabuni haziruhusu wananchi wao kuondoka hovyo hovyo bila sababu, wanabanwa na kunyimwa passport.
Endapo waislamu wangeacha hayo mambo ya ukatili wangekuwa Dini moja safi sana ulimwenguni.
Wakristo hasa wa tanzania ndio wana roho mbaya kama wakaanga sumu tukio la juzi la hamas ni moja tu wao wamekuwa eakiuliwa kea miaka zaidi ya 60 na israel na hakuna mtu yoyote anayewatetea acha watetee ardhi yao, hata baadhi ya wazungu huko matekani na uingereza wamekataa kuwaita magaidi bali ni wanatetea ardhi yao akiwemo muandishi wa bbc , jeremy corbyn na wengi walioshiriki maandamano london , wewe umeshiba magimbi yako huko ileje unapanua domo lako eti magaidi , hata ukiuluzwa maana ya neno gaidi hujui unafuata mkumbo tu
Cha ajabu tz kuna watu wanajiaminisha wakristo wengi kuliko waislam wakati waislam wanazaana sana, au waislam wanakufa sana na wakristo hawafi?Sema waislam wanazaa sana kuliko wakristo. mtu una wake 4 alafu kila mmoja watoto 7 na kuendekea.
Hoja ya mtu kusema mapungufu ya uislamu na wafia dini kama wewe kukimbilia kusema kwamba mtu anaesema hivyo haujui uislamu ni hoja ya hovyo na ya kipumbavu. Watu tunaujua uislamu nje ndani, hiyo sio hoja. Leta majibu yenye hoja.Kitu kibaya ni kwamba hujui kuhusu uislamu na huo ndio mtazamo wako ,sikulaumu na ulichoongea hakina ukweli kwa asilimia zote .
Mbaya wengi wanaosma uislamu ndio wanasilimu ,uliloongea hapo halina ukweli kabisa zote ni nadharia za kimagharibi.
Uislamu umempa mwanamke cheo hata tunaamini pepo ipo chini ya nyayo ya mama(mwanamke) na sio baba ,kuna sehemu inafundisha katikq daraja nne basi tatu anabeba mwanamke katika wazazi(mama na baba) kwamba mama ana daraja 3 na baba ana moja.
Ukienda kweny kusoma hata utume alimpendelea binti ,sasa njoo kweny mirathi ndio utajua yaani mwanamke anapewa mirathi yake ila bado kaka yake anahusika kumlea kwa nguvu zake mpaka atakapoelewa huku akiwa hatumii hata thumni ya mirathi yake (Mwanamke).....Mwanamke huyo ndie ambaye hata mahari anataja yeye na sio mzazi na maamuzi ya kuolewa ni yeye....Mwanamke katika uislamu ukiangalia majukumu ya ndoa hata akizaa akinyonyesha mtoto wako wewe mwanaume unatakiwa kumlipa na hakuna sehemu imeonyesha kwamba mwanamke ni mama wa kufanya kazi za nyumbani....Ni mengi nikikutajia hapa hata nikuambia mwanamke anapewa stare ili kumpa thamni nyie mnasema haki za binadamu ila akitembea uchi ndio uhuru🙄.
Hakuna ugaidi na kama hukumu zipo kisheria mbona hata bible imetoa hukumu nyingi ,bible ilisema mwanamke hawezi kuwa kiongozi wala hatakiwi kuuliza swali kanisani ila anaenda kumuuliza mmewe nyumbani 😅😅haya hamyaon?...Sababu uislamu upo practical tukichambua hapa utajua sheria nyingi zinafana ila ukristo umathirika na wazungu ndio maana kwa sababu hata vipedo kanisani havikuhusu na utashangaa sanamu la maria na masister wamevaa hijabu ila waumini hawavai..😅
Hakuna hukumu uislamu kama dhambi tunasema haijalishi nan kafanya ..
hujaelewa vizuri tofautisha uislamu na matendo ya watu hata kama ni uislamu,hakuna maelekezo ya kiislamu yanayosema wafanye ukatili
Umejazwa ujinga ukakujaa. Uislam hauna ukatili na wala haufundishi ukatili.
Mnajazwa ujinga na mashetani ili msiusome Uislam.