PostGE2025 Uingereza yataka uchunguzi huru Matukio ya vifo Oktoba 29 nchini Tanzania

PostGE2025 Uingereza yataka uchunguzi huru Matukio ya vifo Oktoba 29 nchini Tanzania

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,359
Reaction score
4,814
Screenshot 2026-03-04 at 10-42-59 Instagram.png

Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa kushtua" uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, ikiwemo tuhuma za mauaji ya kinyume cha sheria na miili ya wahanga kufichwa.

Hoja hiyo imewasilishwa na Balozi wa Haki za Binadamu wa Uingereza, Eleanor Sanders, wakati wa mdahalo mkuu wa 61 wa Baraza hilo jijini Geneva, Uswizi Machi 2, 2026. Uingereza imetumia jukwaa hilo la kidiplomasia kuishinikiza Tanzania kutoa majibu juu ya mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu yaliyoripotiwa nchini humo.

Katika tamko hilo, Balozi Sanders ameweka wazi kuwa Uingereza ina taarifa na ushahidi wa matukio ya kusikitisha yaliyojiri kufuatia mchakato wa uchaguzi, jambo ambalo limeutia doa utawala wa sheria na demokrasia nchini.

Pia soma PostGE2025 - Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi 2025

"Lazima kuwepo na uchunguzi huru, wa wazi na jumuishi wa matukio haya ili kuhakikisha uwajibikaji na kwamba uhuru wa msingi na haki za kikatiba za Watanzania wote zinalindwa," amesisitiza Balozi Sanders.

Hatua hii ya Uingereza ‘kuishitaki’ Tanzania mbele ya Baraza la Haki za Binadamu wakati ambao Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, iliyoundwa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ikiendelea kukutana na kufanya mahojiano na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa sasa, wastaafu, na wadau mbalimbali ili kukusanya taarifa na ushauri wa kitaalamu juu ya kile kilichotokea.

Mbali na kuisaka haki nchini Tanzania, Uingereza imetumia fursa hiyo kukemea ukiukwaji wa haki maeneo mengine ikiwemo Gaza na Ukingo wa Magharibi ikiitaka Israel kuruhusu misaada na kusitisha ujenzi wa makazi; China, ikitaka kuachiliwa kwa watu waliowekwa kizuizini kiholela Xinjiang na kukomeshwa kwa kazi za suluba; na Ukraine, ikiendelea kuunga mkono mamlaka ya nchi hiyo dhidi ya uvamizi wa Urusi.

1772652338053.png

 

Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa kushtua" uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, ikiwemo tuhuma za mauaji ya kinyume cha sheria na miili ya wahanga kufichwa.

Hoja hiyo imewasilishwa na Balozi wa Haki za Binadamu wa Uingereza, Eleanor Sanders, wakati wa mdahalo mkuu wa 61 wa Baraza hilo jijini Geneva, Uswizi Machi 2, 2026. Uingereza imetumia jukwaa hilo la kidiplomasia kuishinikiza Tanzania kutoa majibu juu ya mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu yaliyoripotiwa nchini humo.

Katika tamko hilo, Balozi Sanders ameweka wazi kuwa Uingereza ina taarifa na ushahidi wa matukio ya kusikitisha yaliyojiri kufuatia mchakato wa uchaguzi, jambo ambalo limeutia doa utawala wa sheria na demokrasia nchini.

"Lazima kuwepo na uchunguzi huru, wa wazi na jumuishi wa matukio haya ili kuhakikisha uwajibikaji na kwamba uhuru wa msingi na haki za kikatiba za Watanzania wote zinalindwa," amesisitiza Balozi Sanders.

Hatua hii ya Uingereza ‘kuishitaki’ Tanzania mbele ya Baraza la Haki za Binadamu wakati ambao Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, iliyoundwa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ikiendelea kukutana na kufanya mahojiano na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa sasa, wastaafu, na wadau mbalimbali ili kukusanya taarifa na ushauri wa kitaalamu juu ya kile kilichotokea.

Mbali na kuisaka haki nchini Tanzania, Uingereza imetumia fursa hiyo kukemea ukiukwaji wa haki maeneo mengine ikiwemo Gaza na Ukingo wa Magharibi ikiitaka Israel kuruhusu misaada na kusitisha ujenzi wa makazi; China, ikitaka kuachiliwa kwa watu waliowekwa kizuizini kiholela Xinjiang na kukomeshwa kwa kazi za suluba; na Ukraine, ikiendelea kuunga mkono mamlaka ya nchi hiyo dhidi ya uvamizi wa Urusi.
Mtasubiri sana. Tahamaki 2030 hiyo Mama anastaafu
 

Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa kushtua" uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, ikiwemo tuhuma za mauaji ya kinyume cha sheria na miili ya wahanga kufichwa.

Hoja hiyo imewasilishwa na Balozi wa Haki za Binadamu wa Uingereza, Eleanor Sanders, wakati wa mdahalo mkuu wa 61 wa Baraza hilo jijini Geneva, Uswizi Machi 2, 2026. Uingereza imetumia jukwaa hilo la kidiplomasia kuishinikiza Tanzania kutoa majibu juu ya mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu yaliyoripotiwa nchini humo.

Katika tamko hilo, Balozi Sanders ameweka wazi kuwa Uingereza ina taarifa na ushahidi wa matukio ya kusikitisha yaliyojiri kufuatia mchakato wa uchaguzi, jambo ambalo limeutia doa utawala wa sheria na demokrasia nchini.

Pia soma PostGE2025 - Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi 2025

"Lazima kuwepo na uchunguzi huru, wa wazi na jumuishi wa matukio haya ili kuhakikisha uwajibikaji na kwamba uhuru wa msingi na haki za kikatiba za Watanzania wote zinalindwa," amesisitiza Balozi Sanders.

Hatua hii ya Uingereza ‘kuishitaki’ Tanzania mbele ya Baraza la Haki za Binadamu wakati ambao Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, iliyoundwa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ikiendelea kukutana na kufanya mahojiano na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa sasa, wastaafu, na wadau mbalimbali ili kukusanya taarifa na ushauri wa kitaalamu juu ya kile kilichotokea.

Mbali na kuisaka haki nchini Tanzania, Uingereza imetumia fursa hiyo kukemea ukiukwaji wa haki maeneo mengine ikiwemo Gaza na Ukingo wa Magharibi ikiitaka Israel kuruhusu misaada na kusitisha ujenzi wa makazi; China, ikitaka kuachiliwa kwa watu waliowekwa kizuizini kiholela Xinjiang na kukomeshwa kwa kazi za suluba; na Ukraine, ikiendelea kuunga mkono mamlaka ya nchi hiyo dhidi ya uvamizi wa Urusi.
Ni maoni yake yaliyowafurahisha, lakini Tz ni taifa huru kama ilivyo uingereza. kama sisi hatuwezi kuwaagiza wafanye jambo kwaajili ya watu wao hata wao hawawezi kutuagiza jambo kwaajili ya watu wetu. Tumeshavuka huko.
 
Jinai haifi Tena tuweke muda kila baada ya miezi mitatu tunaweka picha za wapendwa wetu waliouwa kikatili. Tunajua hatuna ubavu wa kumtoa lakini atakonda hadi abaki mifupa. Ile anamaliza tu anadakwa.😮‍💨😮‍💨
 

Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa kushtua" uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, ikiwemo tuhuma za mauaji ya kinyume cha sheria na miili ya wahanga kufichwa.

Hoja hiyo imewasilishwa na Balozi wa Haki za Binadamu wa Uingereza, Eleanor Sanders, wakati wa mdahalo mkuu wa 61 wa Baraza hilo jijini Geneva, Uswizi Machi 2, 2026. Uingereza imetumia jukwaa hilo la kidiplomasia kuishinikiza Tanzania kutoa majibu juu ya mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu yaliyoripotiwa nchini humo.

Katika tamko hilo, Balozi Sanders ameweka wazi kuwa Uingereza ina taarifa na ushahidi wa matukio ya kusikitisha yaliyojiri kufuatia mchakato wa uchaguzi, jambo ambalo limeutia doa utawala wa sheria na demokrasia nchini.

Pia soma PostGE2025 - Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi 2025

"Lazima kuwepo na uchunguzi huru, wa wazi na jumuishi wa matukio haya ili kuhakikisha uwajibikaji na kwamba uhuru wa msingi na haki za kikatiba za Watanzania wote zinalindwa," amesisitiza Balozi Sanders.

Hatua hii ya Uingereza ‘kuishitaki’ Tanzania mbele ya Baraza la Haki za Binadamu wakati ambao Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, iliyoundwa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ikiendelea kukutana na kufanya mahojiano na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa sasa, wastaafu, na wadau mbalimbali ili kukusanya taarifa na ushauri wa kitaalamu juu ya kile kilichotokea.

Mbali na kuisaka haki nchini Tanzania, Uingereza imetumia fursa hiyo kukemea ukiukwaji wa haki maeneo mengine ikiwemo Gaza na Ukingo wa Magharibi ikiitaka Israel kuruhusu misaada na kusitisha ujenzi wa makazi; China, ikitaka kuachiliwa kwa watu waliowekwa kizuizini kiholela Xinjiang na kukomeshwa kwa kazi za suluba; na Ukraine, ikiendelea kuunga mkono mamlaka ya nchi hiyo dhidi ya uvamizi wa Urusi.
Hivi kumbe umoja wa mataifa UN bado wapo?
Mbona wapo kimya kuhusu mauaji ya
Gaza
Sudani
Irani
Venezuela
 

Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa kushtua" uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, ikiwemo tuhuma za mauaji ya kinyume cha sheria na miili ya wahanga kufichwa.

Hoja hiyo imewasilishwa na Balozi wa Haki za Binadamu wa Uingereza, Eleanor Sanders, wakati wa mdahalo mkuu wa 61 wa Baraza hilo jijini Geneva, Uswizi Machi 2, 2026. Uingereza imetumia jukwaa hilo la kidiplomasia kuishinikiza Tanzania kutoa majibu juu ya mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu yaliyoripotiwa nchini humo.

Katika tamko hilo, Balozi Sanders ameweka wazi kuwa Uingereza ina taarifa na ushahidi wa matukio ya kusikitisha yaliyojiri kufuatia mchakato wa uchaguzi, jambo ambalo limeutia doa utawala wa sheria na demokrasia nchini.

Pia soma PostGE2025 - Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi 2025

"Lazima kuwepo na uchunguzi huru, wa wazi na jumuishi wa matukio haya ili kuhakikisha uwajibikaji na kwamba uhuru wa msingi na haki za kikatiba za Watanzania wote zinalindwa," amesisitiza Balozi Sanders.

Hatua hii ya Uingereza ‘kuishitaki’ Tanzania mbele ya Baraza la Haki za Binadamu wakati ambao Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, iliyoundwa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ikiendelea kukutana na kufanya mahojiano na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa sasa, wastaafu, na wadau mbalimbali ili kukusanya taarifa na ushauri wa kitaalamu juu ya kile kilichotokea.

Mbali na kuisaka haki nchini Tanzania, Uingereza imetumia fursa hiyo kukemea ukiukwaji wa haki maeneo mengine ikiwemo Gaza na Ukingo wa Magharibi ikiitaka Israel kuruhusu misaada na kusitisha ujenzi wa makazi; China, ikitaka kuachiliwa kwa watu waliowekwa kizuizini kiholela Xinjiang na kukomeshwa kwa kazi za suluba; na Ukraine, ikiendelea kuunga mkono mamlaka ya nchi hiyo dhidi ya uvamizi wa Urusi.
Geneva, UN HRC

Mawasilisho wa Uingereza mjini Geneva yalikuwa haya hapa chini kuhusu Tanzania :

UK Human Rights Council 61 : UK Statement for the Item 2 General Debate​

UK Statement for the Item 2 General Debate. Delivered by the UK's Human Rights Ambassador, Eleanor Sanders.
Published2 March 2026

Location:GenevaDelivered on:2 March 2026 (Transcript of the speech, exactly as it was delivered)
Eleanor Sanders

Mr President,

We are grateful for the High Commissioner’s update.

The humanitarian situation in Gaza remains of serious concern. We urge Israel to allow and facilitate rapid and unimpeded passage of humanitarian aid in line with international law. We call on all parties to implement the 20-point peace plan and respect the ceasefire. In the West Bank, rising violence and settlement activity risk instability and undermines prospects for peace.

Tanzania saw shocking violence following its elections in October, including evidence of extra-judicial killings and concealment of dead bodies. There must be an independent, transparent and inclusive investigation of these events to ensure accountability and that the fundamental freedoms and constitutional rights of all Tanzanians are protected.

We appreciate your efforts to engage China, including on the findings of his Office’s Xinjiang Assessment from 2022. But we are concerned by continued evidence of China’s transition from using re-education camps to using prisons and labour transfer schemes. We call on China to address reports of forced labour, and restrictions on religious and cultural freedoms; China must release all arbitrarily detained individuals.

Finally, we support unequivocally Ukraine’s sovereignty, independence and territorial integrity. We continue to support the work of UN mechanisms and their reporting - those responsible for violations and abuses of human rights must be held accountable.

Thank you.
Published 2 March 2026
 
Hata akistaafu, hili litamfuata hadi siku anaingia kaburini! uliza akina DURTETE kwani walikuwa madarakani walipokamatwa?
TENA itakuwa powa, maana baada ye yeye kuondoka anakuja msiyempenda mheshimiwa sana TAL Rais wa JMT
Kuna mtu kashauriwa hapo juu kumeza dawa
Mm nakukumbusha utakapokuwa unameza dawa usisahau za malaria
 
Back
Top Bottom