Msemahaki kapata Rungu
JF-Expert Member
- Dec 2, 2025
- 270
- 137
Ikafanye uchunguzi Iran, kufuatilia raia zaidi ya 200 waliouawawa na Serikali ya Amerika ikishirikiana na Israel. Hivi wewe mtoa hoja huoni aibu!Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa kushtua" uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, ikiwemo tuhuma za mauaji ya kinyume cha sheria na miili ya wahanga kufichwa