Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson ajiuzulu rasmi

Unajua kuwa Boris alikuwa anapigiwa ya kura ya kutokuwa na imani naye iliyokuwa inawasilishwa na wabunge wa chama chake? unajua sababu ilikuwa ni nini?

Jana tuu alipogoma kujiuzulu, kuna barua iliwasilishwa wampigie kura tena ambayo hata kwa uchawi asingetoboa
Hayo yote na MENGINE MENGI ZAIDI tunayaelewa hata kabla barua yenyewe haijaandikwa. Lakini sababu kubwa moja ya kuondoshwa kwa mpenda-damu huyo ni uchochezi wa vita vya Ukraine.

Boris Johnson alipaswa kujiunga na mnafiki Macron ili wamshinikize Marekani amwache Zelensky afuate masharti ya mkataba wa awali. But wao walitenda kibabe wakijua Putin atawapigia magoti.

Wameumbuka!
 
Hayo yote na MENGINE MENGI ZAIDI tunayaelewa hata kabla barua yenyewe haijaandikwa. Lakini sababu kubwa moja ya kuondoshwa kwa mpenda-damu huyo ni uchochezi wa vita vya Ukraine.

Boris Johnson alipaswa kujiunga na mnafiki Macron ili wamshinikize Marekani amwache Zelensky afuate masharti ya mkataba wa awali. But wao walitenda kibabe wakijua Putin atawapigia magoti.

Wameumbuka!
Hiyo sababu kubwa unayoizungumzia, naomba unionyeshe link / chanzo cha habari kilichosema kuwa Boris kajiuzulu kwa sababu hiyo unayoisema

Hata TV za UK zilizosema sababu ni hiyo, nitajie moja wapo

Au

Asante
 
Mbona unateseka unajieleza saana kubali mwamba Putin ndo mume wenu

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
Jinsi hawa Pro-NATO wanavyojikanyaga ni sawa na mtu kauwa, then akajitetea kwa kusingizia kwamba hata hivyo marehemu alikuwa mgonjwa kabla yeye hajamuua--kwamba kilichosababisha kifo chake, siyo kipigo bali ni ugonjwa aliokuwa nao before.
 
Hivi ndio inavyotakiwa katika nchi za kidemokrasia, unaachia ngazi mara moja ikiwa presha za kisiasa zimekuzidi nguvu. Kwa Tanzania hata mwenyekiti wa kijiji huwezi muona akiwajibika kuachia ngapi ikiwa hatakiwi na wananchi wake.
Hata hivyo alichelewa sana kujiuzuru. Hadi karibu senior ministers wote wanamuacha jana bado aliendelea kung'ang'ania na kujaribu kuteua wengine. Nadhani ana roho nyingine isiyo ya Waingereza pure. Presuure aliyopata jana, alipaswa kujiuzuru jana ile ile - amekiharibu chama chake
 
UTakua mpuuz wa mwisho kusema uingereza haishiriki hiyo Vita,

Unachopaswa kujua uingereza ndio mshiriki kindakindaki was hi vitabkuanzia kutoa sialaha hadi kuongoza mgomo wa nchi za ulaya kususia bidhaa za Russia ikiwemo mbolea,mafuta na gesi.

Hali Hii imesababisha kuadimika kwa bidhaa hizo muhimu kuendeshea uchumi wa nchi, matokeo yake Ni mfumuko wa Bei.

Mfumuko wa Bei unapokua mkubwa maisha ya watu hasa wa kipato Cha chini yanayumba mno. Hali Hii Lazima ilete sintofahamu kwa wananchi wa Kawaida.

Ukzingatia waingereza wanaona hii Vita hata haiwahusu sana, Ni kiherehere Cha Boris mwenyewe kujipendekeza tu kwa USA huku maisha yao yanazd kua magumu .

Hali hii lazima lawama ziende kwa chama,
Na chama kikiona hakikuelewi lazima kikulazimishe ujiuzulu.
Umejitahidi kuelezea kwa kina sana. Lakini nakuhakikishia 100%, hawezi kukuelewa. Bila shaka fahamu zake ziko remotely controlled kutoka Washington & London.
 
Jinsi hawa Pro-NATO wanavyojikanyaga ni sawa na mtu kauwa, then akajitetea kwa kusingizia kwamba hata hivyo marehemu alikuwa mgonjwa kabla yeye hajamuua--kwamba kilichosababisha kifo chake, siyo kipigo bali ni ugonjwa aliokuwa nao before.
Kweli walitegemea Putin ndo atajiuzuru ila wao ndo wameishia kujiudhuru

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo sababu kubwa unayoizungumzia, naomba unionyeshe link / chanzo cha habari kilichosema kuwa Boris kajiuzulu kwa sababu hiyo unayoisema

Hata TV za UK zilizosema sababu ni hiyo, nitajie moja wapo

Au

Asante
FYI: Hivyo vyanzo vya habari unavyoviamini ndivyo vilikuwa mstari wa mbele kutangaza kwamba Iraki kuna silaha za maangamizi ya halaiki (WOD), na kwamba Muammar Gaddafi ni gaidi na anafadhili ugaidi.
 
Hata hivyo alichelewa sana kujiuzuru. Hadi karibu senior ministers wote wanamuacha jana bado aliendelea kung'ang'ania na kujaribu kuteua wengine. Nadhani ana roho nyingine isiyo ya Waingereza pure. Presuure aliyopata jana, alipaswa kujiuzuru jana ile ile - amekiharibu chama chake
Visingekuwepo vita Ukraine, na kwamba hiyo isingekuwa sababu, wala hata asingechukua muda kujiuzulu.

But aibu hii ya mwaka--ya kushindwa vita--ataificha wapi? Pesa za burebure za msaada wa Ukraine atazipata wapi?
 
Walieka vikwazo vikawarudia,,,wameweka vikwazo Ili warusi waandamane wamtoe Putin wanatoka wao.
Halafu yule pm mstaafu Comeroon aliyeendesha Lori kwenda Ukraine huku akiwa kabeba peremende,banzoka,poda na mkorogo kwa akina dada wa Ukraine alliishia wapi?
Alikuwa ametumika kisiasa ili kuivuta Afrika ielekee Magharibi, lakini akashindwa vibaya.
 
Urusi hii inayoongozwa na mtu mmoja kwq zaidi ya 2 decades?
Naona umeongezea sababu mojawapo positive kwa Putin. Kwa sababu asingetawala muda wote huo kama asingekuwa hodari. Think about it!

Biden wenu hata 2 years hajamaliza, wazalendo wameanza kumwashia taa nyekundu.
 
Boris Johnson aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza ametangaza rasmi kujiuzulu

Bwana Johnson amesema alijaribu kuendelea kuwa madarakani na inamuuma kuona hataweza kumalizia mipango yake aliyojiwekea

Boris Johnson amesema kuwa inamuuma kupoteza kazi bora kabisa katika Dunia

Boris Johnson ataendelea kuhudumu kwenye nafasi hiyo mpaka chama chake cha Conservative kitapochagua kiongozi mpya wa chama

====================

Boris Johnson has announced his resignation as prime minister after less than three years in Number 10, saying: "No one in politics is remotely indispensable."

Speaking from Downing Street, he thanked the millions of people who voted Conservative at the last election, and said the reason he fought so long to remain in office was because "I thought it was my job, my duty and my obligation to you".

He said he had tried to persuade his cabinet it would be "eccentric" to change prime minister now, but added "I regret not to have been successful in those arguments" and that it was "painful not to see it through".

Mr Johnson said the process to appoint a new leader would begin now, with a timetable set out next week.

Addressing the British public, he said: "I want you to know how sad I am to be giving up the best job in the world, but them's the breaks."

SOURCE: Sky News

Andika habari kama msomi.

Hakuna kujiuzu rasmi na kujiuzulu kusiko rasmi.

Boris Johnson amejiuzulu.

Period.
 
Usichokijua ni kwamba UK raia wengi sana wanavichukia vita vya Ukraine. Na msukumo mkubwa wa kuhamasisha vita hivi ulitokana na ushawishi wa Boris Johnson--bila kutaja unufaikaji mkubwa ambao amejipatia yeye binafsi...
Hawawezi kukuelewa mkuu.

Watu walishaamua aondoke kutokana na hali ngumu ya maisha ambayo kwa kiasi kikubwa vikwazo vya kiboya dhidi ya Russia ndiyo sababu.

Sasa kilichokuwa kimebaki ni lini na namna gani Kobe atatoa kichwa ili watu wapite nacho
 
Hajaondolewa na vita.
Hata waziri mkuu mpya ataendelea kuwa msaada kwa Ukraine.
Vita imemwondoa Boris Johnson.
Huku kwetu wanakomaa tu mpaka lita ya diesel itafika elfu 10 hakuna wa kuwajibika.

Je, akichaguliwa mwingine anaweza kubadilisha chochote kwenye mfumuko wa bei?
 
Back
Top Bottom