Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson ajiuzulu rasmi

Uk sio Tanzania, hata ajaye lazima atafuata sera za nchi yake na za kimataifa kama kawaida.
Wajibu wa uk kwa NATO sio matakwa ya mtu mmoja wala chama bali nchi.
Amebadilishwa mtu na sio sera.

Tuhuma nyungi na mbaya zilizomgharimu ni tabia yake binafsi.
Hizo tabia ni zipi?
 
Sidhani kama ina uhusiano na mambo ya urusi hii ni shida wabongo hatufuatilii taarifa kwa kina bali tunataka taarifa ziwe tunavyotaka sisi.

Borris alikuwa na scandal ya kuhudhuria sherehe za mitaani wakati ule COVID-19 imepamba moto akavunja sheria aliyoitamka mwenyewe ya jamii za waingereza kutohudhuria sherehe yoyote yeye akaenda tena sherehe zaidi ya moja na ilishapigwa mpaka kura bungeni kabla ya hii vita wamng’oe akashinda ila wenzetu siyo sisi rangi ya mkaa kung‘ang’ana na madaraka wao wakiona sehemu hawatakiwi wanaachia wanaoonekana wanafaa na ndicho alichofanya.
Labda wewe ndio ufatilii,kwa hiyo swala LA COVID la miezi 6 liliopita ndio limafanya ajiuzulu au sio??
 
Ma nchi yanatotawaliwa kidikteta yanamshangaa sana Boris...una jeshi una kila kitu unawasikiliza wajinga wapiga kelele badala ya kunyoosha nchi..

Hata sisi tumo kwemye hizi nchi tukiamini kwambq kuipinga CCM ni kupinga dola...na kuukosoa utawala ulioko madarakani ni sawa na kuikosoa Tanzania.
 
Kuwa challenged na maoni ya mihemko ni jambo la kawaida ila kuna wakati inafika mahala ushabiki unaenda overboard. Kujiudhulu kwa viongozi wakuu inchini uingereza ni jambo la kawaida sana na imetokea mara nyingi. Issue za ukraine sio personal wenzetu hawana huo ujinga lazima bunge likae kujadili kuona kama inafaa. Nenda kupitie maoni ya wahusika wenyewe utajionea utofauti na Sisi tunaojifanya wajuaji.
Basi kama sio issue hizo za Ukraine,tupe hizo sababu unazozifahamu wewe.
 
Hilo najua lakin kumbuka Boris Johnson kuna vitu amefanya bila woga yeye ndo wakwanza kumpa Ukraine silaha n kiongoz wa nchi mkubwa kwenda Ukraine tena kukiwa na Vita so kwa NATO alikuwa mtu muhimu ukizingatia biti la Putin pia yeye alichangia kumfurusha abromivic
SSawa lakn kwa sasa na yeye yuko wapi, ulitaka waseme kutokana na kuwa busy na vita ya ukraine tunamwondoa? Ugumu wa maisha ulipelekewa na kutokuwa na mafuta na Gesi ndio jambo kubwa lililomtoa Boris ikulu kama umekwenda shule zile short terms na long terms ndio tunazungumzia hapa
 
Hilo najua lakin kumbuka Boris Johnson kuna vitu amefanya bila woga yeye ndo wakwanza kumpa Ukraine silaha n kiongoz wa nchi mkubwa kwenda Ukraine tena kukiwa na Vita so kwa NATO alikuwa mtu muhimu ukizingatia biti la Putin pia yeye alichangia kumfurusha abromivic
I can't agree more! Juzi kwenye mkutano wa Gunia7 kule Bavaria, Boris Johnson aliapa: ^We've to give Putin hard time!^ Naona, kwa maneno ya somebody humu, uchawi wake umemgeukia mwenyewe!
 
Watanzania wengi lugha ya kiingereza inawatesa sana mpaka wanafikiria sababu zilizopelekea Boris Johnson kujiuzulu ni vita vya Russia na Ukraine wakati Uingereza haipigani hivyo vita.
UTakua mpuuz wa mwisho kusema uingereza haishiriki hiyo Vita,

Unachopaswa kujua uingereza ndio mshiriki kindakindaki was hi vitabkuanzia kutoa sialaha hadi kuongoza mgomo wa nchi za ulaya kususia bidhaa za Russia ikiwemo mbolea,mafuta na gesi.

Hali Hii imesababisha kuadimika kwa bidhaa hizo muhimu kuendeshea uchumi wa nchi, matokeo yake Ni mfumuko wa Bei.

Mfumuko wa Bei unapokua mkubwa maisha ya watu hasa wa kipato Cha chini yanayumba mno. Hali Hii Lazima ilete sintofahamu kwa wananchi wa Kawaida.

Ukzingatia waingereza wanaona hii Vita hata haiwahusu sana, Ni kiherehere Cha Boris mwenyewe kujipendekeza tu kwa USA huku maisha yao yanazd kua magumu .

Hali hii lazima lawama ziende kwa chama,
Na chama kikiona hakikuelewi lazima kikulazimishe ujiuzulu.
 
Hamna kitu hapo..watakua wanaona aibu kuwa wawazi tu...maisha yamekuwa magumu, gharama za maisha zimepanda, mafuta hali ngumu, korona yenyewe..halafu yeye yuko bizy na UKRAINE.....wamemla kichwa kistaarabu hao...
Maisha ya waingereza yamekua magumu,
Badala ya kuwaza anayawekaje sawa, Yuko bize na vikao vyao Ukraine akiwazia jinsi gani anamkomoa Putin
 
kuondoka kwa PM hakuna uhusiano ma Ukraine...

misimamo mingi ya Chama hicho kuhusu Ukraine usitegemee kubadilika.
Ukweli mchungu na ambao usingependa kuusikia ni kwamba vita vya Ukraine havitapita hivihivi. Na kweli vimetia kwa Boris Johnson. Usisahahu msemo wa ^Kamba hukatikia pabovu!^ That's an immediate cause.

Hata kwenye WW2, Sarajevo Assassination, ilikuwa immediate cause. Anachofanya Putin ni divide and rule.
 
Kama huna uwezo wa kufikiria lazima useme hivyo huoni uchumi umetikisika,mfumuko wa bei,gesi imepanda bei.uingereza haipigani hiyo Vita lakini inatumia resources zake nyingi mpaka nchi inafilisika proNato mnafikiria Kwa nini?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Wafuasi wa AMERICANATO daima wanaenda kinyume na ukweli. Ukiutaka ukweli, angali wanakoelekea, wewe nenda upande mwingine.
 
Ramzan Kadyrov: "Johnson leaves with a lot of money earned in Ukraine. He managed to get the most out of what was sent to help Ukraine and provided a pension not only for himself, but also for his children. Cutting the money of British taxpayers passes through Ukraine - https://t.co/nU4EaR9mCn
Uyu jamaa anazidi kuuchochea TU Moto
 
Ramzan Kadyrov: "Johnson leaves with a lot of money earned in Ukraine. He managed to get the most out of what was sent to help Ukraine and provided a pension not only for himself, but also for his children. Cutting the money of British taxpayers passes through Ukraine - https://t.co/nU4EaR9mCn
Ulimwengu wa mtandao si kitu kizuri--mtu unashambuliwa front and back. Walichochea vita Ukraine wakidhani wao wako salama. Pathetic! Bado yule Mmarekani.
 
Ma nchi yanatotawaliwa kidikteta yanamshangaa sana Boris...una jeshi una kila kitu unawasikiliza wajinga wapiga kelele badala ya kunyoosha nchi..

Hata sisi tumo kwemye hizi nchi tukiamini kwambq kuipinga CCM ni kupinga dola...na kuukosoa utawala ulioko madarakani ni sawa na kuikosoa Tanzania.
Pro NATO hii Ni aibu Kubwa Sana kwenu,
Na bado hata winter hatujafika, tutaheshimiana TU
 
Back
Top Bottom