Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
itakuwa mwisho wa duniaHivi ndio inavyotakiwa katika nchi za kidemokrasia, unaachia ngazi mara moja ikiwa presha za kisiasa zimekuzidi nguvu. Kwa Tanzania hata mwenyekiti wa kijiji huwezi muona akiwajibika kuachia ngapi ikiwa hatakiwi na wananchi wake.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app