Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,103
- 34,063
Sanaaa Namfahamu haswa ila wewe nakujua.Ooh sawa kabisa. Anayo, hujakosea. Inaonesha unamfahamu vizuri sana.
Huna zote kikongwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaaa Namfahamu haswa ila wewe nakujua.Ooh sawa kabisa. Anayo, hujakosea. Inaonesha unamfahamu vizuri sana.
Hongera zako sana kwa kumfahamu mamako na kijuwa anayo moja tu.
Hingera - HongeraHingera zako sana kwa kumfahamu mamako na kijuwa anayo moja tu.
Sina zote, zanini sasa? Za mama'ko umesema, vipi na yako je, unayo?
Mimi nitatoa wapi na ulishanipa zamani hizo ajuza?Hingera zako sana kwa kumfahamu mamako na kijuwa anayo moja tu.
Sina zote, zanini sasa? Za mama'ko umesema, vipi na yako je, unayo?
Wewe si wa kanisa la nabii Tito. Usiruke.
Sina haja ya kuleta ligi kwa kitu nisichokimiliki.Haha sawa Mkuu....hapa tunaelimishana wewe unaleta ligi.
ila tambua nlikuwa namuuliza yule mjumbe kule juu kwa faida ya wanabodi wote sio ya kwangu tu
Kuchinja kuku au nini?
OkSina haja ya kuleta ligi kwa kitu nisichokimiliki.
Hakuna adhabu ya Mwanamke mzinifu.
Ila kuna adhabu ya mwanaume na mwanamke wazimifu
Watashinda na WAISLAM Ila Hawataweza Kushindana Na UISLAM...Ndomana wachina wanawatimua kule kwao.hawatak ujinga
Kuna baadhi ya maswali yanajibiwa kwamaswali au hujui !?...Yani wasiliamu bana...unaulizwa swali nawewe unauliza swali
Kwahiyo damu hutoka siku ya kuvunjwa hiyo bikra kama kawaida?Wanawake wa kiislamu wengi wanakuwa katika hatari ya kuuwawa inapotokea wakathibitika kuwa wameolewa bila kuwa na bikra.
Baadhi yao wamejiwekea utaratibu wa kuwafuata madaktari ili kuwarudishia bikra zao, tabaka la ngozi kwenye uke.
Kuna hatari ya kuwa kama utengenezaji wa bikra utazuiwa basi kuna hatari kubwa ya waislamu kufanya hivyo kimagendo.
Halaleh Taheri, muasisi wa Middle Eastern Women and Society Organisation amemzungumzia mwanafunzi Mmoroko anayejificha uingereza baada ya kusikia baba yake kamuajiri mtu ili amuue baada ya kugundua kwamba binti huyo hana bikra.
Kuna takribani kliniki 22 ndani ya uingereza ambazo zinafanya upasuaji wa kuweka tabaka la ngozi ili mwanamke kurudi kuwa bikra
Inagharimu hadi £3,000 sawa na Tsh milioni 9, kwa upasuaji ambao huchukua takribani lisaa kukamilika.
Wapiganiaji haki za wanawake wanasema kliniki hizo zinafaidika kutokana na uwepo wa waislamu ambao huogopa kuonekana sio wasafi siku ya ndoa.
Katibu wa afya Matt Hancock amesema wanachunguza namna ya kukomesha tukio hili bovu Lakini idara ya afya imekataa shauri hilo kutokana na ugumu wa kutekeleza zuio hilo.
Taheri amesema: "wasichana wanaweza kuishia kufa kama kutakuwa na zuio la kutengeneza bikra kwa kuwa itafanyika kimagendo
Dr Khalid Khan, aliyewahi shuhudia namna upasuaji huo iunafanyika na kusema haitakuwa sahihi kuzuia upasuaji huo
Dr Naomi Crouch, amehofu kuhusu wanawake na wasichana watakao lazimika kufanya tukio hilo ambalo halina manufaa yoyote kiafya
Ni kweli mnaweka limao au ndimu?Nimeomba link kutoka kwa mleta mada ili tusome chanzo cha habari yake. Naona ana chuki fulani tu za kijinga na Uislam.
Mimi ndiyo nimeyasoma hapa na hayaingii akilini.
Nijuavyo bikra feki zinatengenezwa hata majumbani tu, dakika tano nyingi. Si lazima uende kwa daktari.
Wajinga ndiyo waliwao.
Wewe ishatolewa unataka kutengeneza? Wewe ni wa kike au wa kiume?Ni kweli mnaweka limao au ndimu?