Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Hii nchi hata huwa nashangaa iliwezaje kututawala na baadhi ya nchi nyingine Duniani, kwa maana mimi nawaona kama choka mbaya tu nimeangalia orodha ya forbes mabilionea mpaka namba 100 sijaona wa ktk Uingereza hata mmoja, sasa hizo Mali walizokuwa wanaiba kwetu wamepeleka wapi? Au Malikia kachukuwa zote halafu akaunti yake haimo kwenye orodha za forbes!
Kwa maana nchi zote tajiri na zenye uchumi wa uhakika zimo kwenye orodha ya mabilionea lkn Uingereza haimo, halafu ndiyo huko tunaiga kila kitu, kweli sisi tutabakia kuwa masikini miaka yote badala ya kuiga manchi ya ukweli na yenye Uchumi ulikomaa kama USA, Ujapani, Ujerumani, Kanada, Korea, Ufaransa tumekazana kuiga London, ndiyo maana hatutoki!
Imefikia wakati sasa tulidump hili linchi na kuangalia nchi nyingine ambazo ziko vizuri na zenye uchumi uliokomaa na kuwaiga haya mambo ya sijui commonwealth mara sijui madola upuuuzi gani hayatatufikisha kokote, kuna nchi kibao hazina huu upuuzi wa na ziko juu!
Kwa maana nchi zote tajiri na zenye uchumi wa uhakika zimo kwenye orodha ya mabilionea lkn Uingereza haimo, halafu ndiyo huko tunaiga kila kitu, kweli sisi tutabakia kuwa masikini miaka yote badala ya kuiga manchi ya ukweli na yenye Uchumi ulikomaa kama USA, Ujapani, Ujerumani, Kanada, Korea, Ufaransa tumekazana kuiga London, ndiyo maana hatutoki!
Imefikia wakati sasa tulidump hili linchi na kuangalia nchi nyingine ambazo ziko vizuri na zenye uchumi uliokomaa na kuwaiga haya mambo ya sijui commonwealth mara sijui madola upuuuzi gani hayatatufikisha kokote, kuna nchi kibao hazina huu upuuzi wa na ziko juu!