Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

kuacha kuwaza ntakula nini we unawaza mashetani.nimedelete post.
 
Mkuu nimewahi kupiga lakini sijafanikiwa kuhojiana nao kwani wanaonekana ni "watu" wanajua wanachokifanya!
kama hujawahi kuhojiana nao umejuaje kuwa ni "watu" wanaojua wanachokifanya?
 
Mi siku yenyewe nliyopiga nlikuwa natetemeka nashukuru hawakupokea maana nlikuwa naogopa kujiingiza kwenye maagano ambayo ntashindwa kutoka
tetettette hapa mkuu umenifanya nicheke sanaaaa
 
Hapa kwanza pangepatikana mtaalamu , akatupa difference between Jini ni yupi na Shetani ni nini ?
Au Jini ndiyo Shetani ?
Note : Lucifer , Devil , Satan and Ghost are they the same ?
Tuanzie hapo
naunga mkono hoja
na watueleze kinaga ubaga kila mmoja na sifa zake na namna anavyofanya kazi mission zao duniani ni nini ili tujue je hao nao wanatumia technolojia hii yetu bila athari yoyote?
maana nasikia wengine wapo facebook na twitter !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu hapa tunataka kujua kuhusu hizo namba hayo mengine hapa sio mahala pake ...!!
hapana mkuu kuna uhusiano kati ya aliyoyataja na mada yenyewe usimfunge mwache pengine safari yetu ya kujua itaanzia katika maelezo hayo.
do not limit urself when it comes to knowledge. halafu wewe utachuja from his explanation.

remember:
We are drowning in information but starved for knowledge.
John Naisbitt

We have a hunger of the mind which asks for knowledge of all around us, and the more we gain, the more is our desire; the more we see, the more we are capable of seeing.
Maria Mitchell
 
Ebooo ww ukiambiwa mtu na jitu hujui kutofautisha Jini ni kiumbe km ww ila akiwa korofi,mshenzi na akiwa anaenda kinyume na sharia zao ndo huwa anaitwa Shetani yaani ameasi
una maana gani kuwa jini ni kiumbe kama mtu uliyemtaja?
tuene tofauti ya mtu na jini
mtu- anazaliwa
jini?

mtu anonekana hana nguvu za ziada ya ubinadamu wake
jini- anapotea anajibadili umbo n.k (tumekuwa tukiambiwa hivyo?

mtu - kiumbe cha kuoza/udongo/mwili
jini- kiumbe cha moto/roho tumekuwa tukiambiwa hivyo)

mtu- hufa
jini?

mtu- hula/hunya/ana damu nk
jini?

nijuze kiongozi usawa wa binadamu na jini upo wapi?

unataka kusema jini na shetani ni sawa?
 
una maana gani kuwa jini ni kiumbe kama mtu uliyemtaja?
tuene tofauti ya mtu na jini
mtu- anazaliwa
jini?

mtu anonekana hana nguvu za ziada ya ubinadamu wake
jini- anapotea anajibadili umbo n.k (tumekuwa tukiambiwa hivyo?

mtu - kiumbe cha kuoza/udongo/mwili
jini- kiumbe cha moto/roho tumekuwa tukiambiwa hivyo)

mtu- hufa
jini?

mtu- hula/hunya/ana damu nk
jini?

nijuze kiongozi usawa wa binadamu na jini upo wapi?

unataka kusema jini na shetani ni sawa?

Ww uelewa wako umeenda mbali sana nimesema Jini ni kiumbe km ww. That means hata wanyama ni kiumbe km walivo wanaadabu Ndege ni kiumbe yamaanisha Hiyo ni sifa ya kwamba chochote kilichopo ktk uso wa dunia na kina roho bas nikiumbe cha Mungu sijui umeelewa hapo.

Jini na mwanaadam ni viumbe viwili tofauti havifanani ila wote ni viumbe wa Mwenyezi Mungu.

Labda nikusaidie tuu maswali yako

Jini anazaliwa na anakufa bado anabeba sifa yakiumbe.

Anakula na anakunywa na anakunya.

Ameumbwa na cheche za moto na haimanishi yakwamba yy moto ameumbwa tu kwa cheche za moto.

Jini anajigeuza hujakosea ndivo walivojaaliwa.

Mwisho usawa wa binaadamu na majini wote ni viumbe wa Mungu na watahukumiwa kwa kile walichokitenda siku ya mwisho km unaamini kuna Siku ya mwisho.

Shetani ni jina Najua unataka kuzua mada ktk hii sehemu na kwataarifa yako hata binaadamu anaweza kuitwa shetani. Isipokuwa tuu lahaja hii inatumika sana kwa hao majini. Note: haitwi Jini jina shetani mpaka awe ameasi,anaenda kinyume na matakwa ya Mungu.

Maana ya shetani ni kiumbe kilicholaaniwa na mwenyezi Mungu. Ambae ameasi, anaenda kinyume na Mungu.

Usipoelewa hapa tena mtafute mzizimkavu akufahamishe.
 
Ww uelewa wako umeenda mbali sana nimesema Jini ni kiumbe km ww. That means hata wanyama ni kiumbe km walivo wanaadabu Ndege ni kiumbe yamaanisha Hiyo ni sifa ya kwamba chochote kilichopo ktk uso wa dunia na kina roho bas nikiumbe cha Mungu sijui umeelewa hapo.

Jini na mwanaadam ni viumbe viwili tofauti havifanani ila wote ni viumbe wa Mwenyezi Mungu.

Labda nikusaidie tuu maswali yako

Jini anazaliwa na anakufa bado anabeba sifa yakiumbe.

Anakula na anakunywa na anakunya.

Ameumbwa na cheche za moto na haimanishi yakwamba yy moto ameumbwa tu kwa cheche za moto.

Jini anajigeuza hujakosea ndivo walivojaaliwa.

Mwisho usawa wa binaadamu na majini wote ni viumbe wa Mungu na watahukumiwa kwa kile walichokitenda siku ya mwisho km unaamini kuna Siku ya mwisho.

Shetani ni jina Najua unataka kuzua mada ktk hii sehemu na kwataarifa yako hata binaadamu anaweza kuitwa shetani. Isipokuwa tuu lahaja hii inatumika sana kwa hao majini. Note: haitwi Jini jina shetani mpaka awe ameasi,anaenda kinyume na matakwa ya Mungu.

Maana ya shetani ni kiumbe kilicholaaniwa na mwenyezi Mungu. Ambae ameasi, anaenda kinyume na Mungu.

Usipoelewa hapa tena mtafute mzizimkavu akufahamishe.
ulinielewa vibaya tu kiongozi sikutaka kuzua mada yoyote nilitaka kuelewa ni hilo tu. maana kauli yako ya wali ndio iliyonitatiza kusema jini ni kiumbe kama wewe. hii ilikuwa tungo tata kidogo sasa umeeleza vyema kumbe usawa ulikuwa tu kuwa hawa wote ni viumbe walioumbwa na waishio ila kila mmoja ni tofauti na mwenzake ktk mambo fulani na wanafanana ktk baadhi ya mambo.
si kila aulizaye anataka ligi mimi huuliza ili kuelewa
 
By: Rakims

Hizi Namba

1: 11111111111, (majini jamii nyingine)

2: 0000000000, (majini jamii nyingine)

3: 999999999 (majini jamii ingine)

4: 88888888 (social services america)

5: 222222222222 (secrete societies)

6: 112 (emergence calls swahili Tz)

7: 911 (emergence calls U.S.A)

8: 113 (emergence calls tanzania english)

9: +123 (Customer Cares U.S)

10: 100 (Customer cares swahili tz)

na nyingine nyingi hizi sio namba za simu bali ni code number kumfikia mtu husika.. Mamlaka Husika Hudeal na Mambo Yao Husika Nitatolea Mfano Namba Mbili

1: 911

2: 11111111111

ya kwanza ni namba ya emergence calls barani ulaya ambapo pindi unapotaka kupiga simu pale (network trying to connect) inakuwa imeshafika na inafanyiwa trace kwamba inatoka wapi?
mtaa gani? mkoa gani?
details zote zinajijaza pale na ndani ya sekunde 10 zinakuwa zimekamilika hata kama wewe unapoulizwa unaitwa nani nyumba gani wanafanya kama kuconfime tu lakini zote wanakuwa wamejua satellites security cams zote zinachunguza kabla hawajafika pale hivyo wakuona mpuuzi hawahangaiki chochote ndio utaona imepokelewa halafu no one is speaking..


2:

11111111111..
ni namba ya majini haijulikani ni wa aina ipi? yule aliopo pale ni kama customer care ikiingia namba kutoka nairobi,dubai,u.s.a

kabla haijaanza kuita kwako mtandao unafanya kujiunga ile code na kukuunganisha agent mnaeweza kuelewana nae kwa namba uliopiga mfano +254 wanakuunga kenya +255 Watakuunga TZ, +1 Watakuunga U.S.A Inategemea na namba yako ukipiga mme utaongea na mke.. ukipiga mke unaongea na mme...

Lakini pia wanajua maana wao ni kama upepo ukikapua macho tu umeonekana hadi sidiria uliovaa..

Tulifanya Jaribio Kwa ZERO namba ikasema hazitambuliki tulipotumia code inavyotaka ilipatikana na ikaita na akaongea nae agent akamwambia nakuunga na wenyewe baada ya kuungwa akaambia anatakiwa atambue haihitajiki michezo kwenye hiyo namba unashida sema shida yako upewe masharti na mambo yaanze akawaambia Binafsi Ninashida Lakini Nithibitishieni kwamba mnaweza kunisaidia na kama nyie mnajua?

wakampa jina la rangi ya nguo yake ya ndani kile anachowaza wakamwambia wakamwambia idadi ya watu aliotembea nao, wakamwambia Alipokaa Anachofanya Majina Ya Watu Aliokaa Nao Majina Ya Watu wao jumla ya zinaa waliofanya.... Akaogopa Akakata simu haikatiki akatoa betri haizimiki na wakamwambia hata ukitupa hiyo simu tunaweza kukusemesha masikioni mwako...

akaomba samahani kwa provement alioitaka watu waliokuwepo hapo walikataa zinaa lakini pembeni waliskika wakisema ni kweli....

Ushauri Wangu Wa Bure USichokonoe Mavitu Usiojua Mwanzo Wala Mwisho Wake Usipende Maneno ya kuambiwa ambiwa kitu kikiwa hakieleweki eleweki achana nacho....

code ya zero,moja na sita zinajitegemea nyingine saa sita usiku saba hadi tisa mchana ur wasting ur time...



NB:
Jambo lolote lenye sharti hata kama mtu akikupa sharti usinye saa nane usiku SHARTI Jua Utalivunja Tu...

Sharti Siku Zote Lazima Itokee Likiukwe Tu Jichungeni Sana Na Chochote Kilicho Na Sharti... Heri Mtu Akupe Adhabu Kuliko Sharti... usikubali wala usijalibu kutumikia sharti zaidi ya binaadamu wenzio na mwenyezi Mungu.. Sio Hayo Madudu
mara ngapi tunavunja masharti yetu tunasameheana na mungu anatusamehe.. hayo the deal is deal no excuse...


"Rakims"
 
naunga mkono hoja
na watueleze kinaga ubaga kila mmoja na sifa zake na namna anavyofanya kazi mission zao duniani ni nini ili tujue je hao nao wanatumia technolojia hii yetu bila athari yoyote?
maana nasikia wengine wapo facebook na twitter !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Efeso:6 Maana kupambana kwetu ni juu ya FALME NA MAMLAKA, juu ya WAKUU WA GIZA katika ulimwengu wa roho.
Maana yake hapa duniani yupo SHETANI, chini yake kuna FALME yaani wafalme na mamalkia mfano wafalme wa anga, wa mapangoni, makaburini, baharini, wa kwenye mito, wa kuzimu, nk.

Chini ya wafalme kuna WAKUU WA GIZA, hawa ndio majemadari wanaosimamia uharibifu, majanga, uasi dhidi ya Mungu, kusimamia mikakati na kutoa maagizo kwa wachawi, wafuga majini na waganga wa kienyeji juu ya mbinu za kuharibu ukristo wa kweli na kuhakikisha watu wote wanamuogopa na kumtetemekea (abudu) Shetani badala ya Mungu, ili watu waone kuwa aidha Mungu hayupo au kama yupo hana msaada wowote kwao

Chini ya wakuu wa giza kuna MAJESHI YA PEPO WABAYA, haya ni mamilioni ya majini, mizimu, vibwengo, popo bawa nk. Hawa ndio watekelezaji wa mikakati yote kwa kuwatumia watumishi wao wanadamu, kuleta maradhi, mikosi, ajali, kuchochea vita, kufanya dhambi iwe kitu cha kawaida kama matusi ya aibu hadharani au kwenye mitandao.
 
Ivi jamani, mmeshasema ni namba ya shetani! Unaitaji nini kutoka kwa shetani???
 
nimepiga mpaka bas holai ! nilikuwa nataka jini jike nigegede!
 
Back
Top Bottom