Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

Hapa kwanza pangepatikana mtaalamu , akatupa difference between Jini ni yupi na Shetani ni nini ?
Au Jini ndiyo Shetani ?
Note : Lucifer , Devil , Satan and Ghost are they the same ?
Tuanzie hapo

Ebooo ww ukiambiwa mtu na jitu hujui kutofautisha Jini ni kiumbe km ww ila akiwa korofi,mshenzi na akiwa anaenda kinyume na sharia zao ndo huwa anaitwa Shetani yaani ameasi
 
Napiga naona kitu naambiwa number unayopiga umekosea sindomajanga haya ww ilikuwaje upige upokelewe alafu mm sjapokelewa ila kaka hebu nambie huyo jamaa yako aliomba nn asaidiwe wakamwambia huwezi

Alitaka pesa na akaambiwa "huwezi wewe"!
 
Hao labda watakua matapeli tu.Shetani hatafutwi hivyo,yeye ana mambo yake kibao yamewazunguka watu na anawaluzuku kulingana na anavyowaelekeza kama kutoa makafara,kundesha ibada za kumtukuza yeye,na uchafu wa kila namna ambao ni chukizo kwa MUNGU.mtu mwenye akili anajua tu shetani hutumia njia zipi kuraghai watu na wala huwezi kumpigia simu kama mtu wa kawaida ni uongo huo,ni kujifikirisha tu au aliongea na matapeli
 
Mkuu hapa tunataka kujua kuhusu hizo namba hayo mengine hapa sio mahala pake ...!!

Mmh! Mkubwa kumbe masharti ni kujua nambari tu! Na tusi discus chochote kuhusu uliodai wanamiliki namba hizo!
Hiyo itanibidi niwe mpita njia !
Kuna ugumu kujadili matunda , then usijadili mti wenye matunda husika .
 
Kama inavyofikiriwa kuwa Binadamu wa mwanzo alikuwa Nyani mwisho akabadilika akaja kuwa Binadamu kwanini wasiendele kubadilika ?
Kwa nini tusifikiri kuwa wapo?

Hujakatazwa kufikiri kuwa wapo ila kufikiri kwako hakuwafanyi wawepo!
 
Hao labda watakua matapeli tu.Shetani hatafutwi hivyo,yeye ana mambo yake kibao yamewazunguka watu na anawaluzuku kulingana na anavyowaelekeza kama kutoa makafara,kundesha ibada za kumtukuza yeye,na uchafu wa kila namna ambao ni chukizo kwa MUNGU.mtu mwenye akili anajua tu shetani hutumia njia zipi kuraghai watu na wala huwezi kumpigia simu kama mtu wa kawaida ni uongo huo,ni kujifikirisha tu au aliongea na matapeli
Umesoma nilichoandika?
 
Mmh! Mkubwa kumbe masharti ni kujua nambari tu! Na tusi discus chochote kuhusu uliodai wanamiliki namba hizo!
Hiyo itanibidi niwe mpita njia !
Kuna ugumu kujadili matunda , then usijadili mti wenye matunda husika .
Mkuu huwezi ktafuna halafu ukawa unameza hapo hapo,ni lazima utafune kwanza halafu ukimaliza ndio umeze!
 
Tuunde TUME yakuchunguza hili swala lako kijana ikiongozwa na tundu lissu,kabwe,mbatia,mbowe,
 
"The number you have dialed is not recognized...",,,zote ni hivyohivyo!!
 
hizo namba ni za emergency.. 111 na 999 lakin hata ukiziongeza namba znazofanana simu huita na hupokewa na polisi..Acheni kupiga hizo namba mnawapa usumbufu polisi wetu..Hakuna cha Freemason wala nini??
 
111 ni namba ya polisi hiyo hata ukiandika hizo mojamoja ushirini au hamsini na ukapiga bado simu itaenda tu na itapokelewa. acheni kudanganyana mimi nilishapiga hizo namba si zaidi ya mara tatu nikitoa taarifa za matukio na polisi wakafika eneo la tukio
 
111 ni namba ya polisi hiyo hata ukiandika hizo mojamoja ushirini au hamsini na ukapiga bado simu itaenda tu na itapokelewa. acheni kudanganyana mimi nilishapiga hizo namba si zaidi ya mara tatu nikitoa taarifa za matukio na polisi wakafika eneo la tukio

Umesoma nilichoandika?
 
hizo namba ni za emergency.. 111 na 999 lakin hata ukiziongeza namba znazofanana simu huita na hupokewa na polisi..Acheni kupiga hizo namba mnawapa usumbufu polisi wetu..Hakuna cha Freemason wala nini??
Asante sana mkuu JB Muna......Eiyer bado una swali?
 
111 ni namba ya polisi hiyo hata ukiandika hizo mojamoja ushirini au hamsini na ukapiga bado simu itaenda tu na itapokelewa. acheni kudanganyana mimi nilishapiga hizo namba si zaidi ya mara tatu nikitoa taarifa za matukio na polisi wakafika eneo la tukio

The discussion now closed, thanks kiongozi
 
Ipo ya Tigo ila namba zinakuwa kumi nilipewa nikiwa Advance na nikawa naiogopa. Kuna mwl alibisha nikampa akapiga na alipokea mdada! Loh, akaambiwa "utakanyagwa na gari...."

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom