Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

Sawa mkuu .....!!

Hicho kitu nilishawahi kukisikia mkuu, Sijawahi kujaribu ila najiuliza ni shetani gani au majini gani wanakuwa na simu, au hilo kundi la watu linakuwa na mission gani!? na ni nani aliyegundua hicho kitu!? halafu hao watu, wanagawaje pesa!? Mkuu hivi ile stori ya Nyisake uliiamini!? vipi mkuu haya mambo hayawezi kufanana na ile stori!? Ngojea nifanye utafiti wa hichi kitu hawa watu ni kina nani!?
 
Hicho kitu nilishawahi kukisikia mkuu, Sijawahi kujaribu ila najiuliza ni shetani gani au majini gani wanakuwa na simu, au hilo kundi la watu linakuwa na mission gani!?
Inadaiwa kuwa teknologia yote tunayotumia inaanzia huko kuzimu mkuu
na ni nani aliyegundua hicho kitu!?
Mkuu sijajua bado
halafu hao watu, wanagawaje pesa!?
Kwa wewe kufuata masharti yao
Mkuu hivi ile stori ya Nyisake uliiamini!?
Hapana mkuu ...
vipi mkuu haya mambo hayawezi kufanana na ile stori!?
Ndio maana tunafanya utafiti
Ngojea nifanye utafiti wa hichi kitu hawa watu ni kina nani!?
Sawa mkuu ...!!
 
mimi nimeshawahi kupiga wamepokea lakini nilikuwa nasikia maji tu kama ya bahari ila wenyewe hawakuongea
 
Inadaiwa kuwa teknologia yote tunayotumia inaanzia huko kuzimu mkuu
Inadaiwa na nani mkuu!? inamaana Mungu hawezi kuwapa watu wake Teknolojia!?

Mkuu sijajua bado
Okay

Kwa wewe kufuata masharti yao
Sasa masharti yao utayajuaje, kama saa nyingine ndio kama yale majibu yao, "usitusumbue"

Hapana mkuu ...
Ile stori nili reason, basi niki reason kuna wapendwa wananiambia wewe amini tu... unajua Mungu ni mkuu, nikiuliza maswali sana wanakwazika, inabidi niwe mpole tu... Ya kwamba alimng'ang'ania na malaika mpaka akapata na alama, alikuwa hataki kurudi...

Ndio maana tunafanya utafiti

Sawa mkuu ...!!
Okay sawa, tuendeleze utafiti mkuu...
 
Inadaiwa na nani mkuu!? inamaana Mungu hawezi kuwapa watu wake Teknolojia!?
Unaukumbuka unabii wa Danieli wa "maarifa yataongezeka" huu unabii ulikuwa unazungumzia kitu chema kweli mkuu?

Okay


Sasa masharti yao utayajuaje, kama saa nyingine ndio kama yale majibu yao, "usitusumbue"
Kama ni shetani anauwezo wa kujua nia yako,mara nyingi watu wanaowapigia ni wale ambao wanawakejeli au kuwahadaa na ndio maana kuna wakati hawapokei au wakipokea wanakuambia tu hivyo "usitusumbue"!
Ile stori nili reason, basi niki reason kuna wapendwa wananiambia wewe amini tu... unajua Mungu ni mkuu, nikiuliza maswali sana wanakwazika, inabidi niwe mpole tu... Ya kwamba alimng'ang'ania na malaika mpaka akapata na alama, alikuwa hataki kurudi...
Ile story ina mambo mengi ya kutilia mashaka ...

Kuna mahali anasema kuwa "Mungu angejua kuwa Jehanam binadamu wangeingia angeipunguza ukali",kauli hii inamfanya Mungu kuwa sio mjuzi wa yote na alifanya kitu asichokijua wakati moja ya sifa za Mungu ni kujua mwisho kuanzia mwanzo

Simuamini huyo dada.....
Okay sawa, tuendeleze utafiti mkuu...
Sawa mkuu ....!!
 
Leteni mada zenye kujenga, hii haikutakiwA hapa.ingepelekwa kulee.watu waonyeshe ukids
 
Nilisikiaga hizi namba ni za Wajenzi huru. Si unajua ao jamaa wapo physically kabisa na ata ukiongea lugha yoyote ile watakujibu kwa lugha hiyo hiyo utayoanza iongea
 
Nimejaribu kupiga mara nyingi lkn naambiwa namba hazitambuliki!!
Au kuna muda maalum wa kupiga no hizo? Naomba kujuzwa tafadhal.
 
hizo namba ni za emergency.. 111 na 999 lakin hata ukiziongeza namba znazofanana simu huita na hupokewa na polisi..Acheni kupiga hizo namba mnawapa usumbufu polisi wetu..Hakuna cha Freemason wala nini??

Yah nishawahi piga ile kuanza kujieleza nasikia unalichezea jeshi la polisi niliogopa sana
 
Unaukumbuka unabii wa Danieli wa "maarifa yataongezeka" huu unabii ulikuwa unazungumzia kitu chema kweli mkuu?
Yeah naukumbuka mkuu, ila unabii hauku elekeza kwamba hayo maarifa yatatoka kwa watu fulani...

Kama ni shetani anauwezo wa kujua nia yako,mara nyingi watu wanaowapigia ni wale ambao wanawakejeli au kuwahadaa na ndio maana kuna wakati hawapokei au wakipokea wanakuambia tu hivyo "usitusumbue"!
Source ya hizo namba sijui ni ipi mkuu!?

Ile story ina mambo mengi ya kutilia mashaka ...
Nia ya stori kama hizo sijui huwa ni nini mkuu!?

Kuna mahali anasema kuwa "Mungu angejua kuwa Jehanam binadamu wangeingia angeipunguza ukali",kauli hii inamfanya Mungu kuwa sio mjuzi wa yote na alifanya kitu asichokijua wakati moja ya sifa za Mungu ni kujua mwisho kuanzia mwanzo
Inawezekana huyo dada alikuwa anaongea hivyo bila ya kujua historia ya Jehanum ni ipi!?
Simuamini huyo dada....
Ana stori kama za kina Zabron Mwita aliyeenda Gamboshi... baadae akaja kutolewa kivuli Kigoma... lakini Zabron yeye anaelezea kwa ufasaha zaidi...

Sawa mkuu ....!!
Okay mkuu...
 
Hahahahahaaaa

Walikua wanavua samaki au?
Kama mkuu watu wanasema ni za polisi, mtu hapo juu amesema alipiga akasikia kama maji ya bahari, inawezekana polisi walienda nayo baharini wakawa wanavua nayo samaki, walikuwa busy wakivua samaki inawezekana ndio maana wakaiacha hewani...
 
hamna aliyepiga ?! atupe mrejesho.

hizo # ni za tiss zinatumika kiusalama.
 
Inadaiwa na nani mkuu!? inamaana Mungu hawezi kuwapa watu wake Teknolojia!?


Okay


Sasa masharti yao utayajuaje, kama saa nyingine ndio kama yale majibu yao, "usitusumbue"


Ile stori nili reason, basi niki reason kuna wapendwa wananiambia wewe amini tu... unajua Mungu ni mkuu, nikiuliza maswali sana wanakwazika, inabidi niwe mpole tu... Ya kwamba alimng'ang'ania na malaika mpaka akapata na alama, alikuwa hataki kurudi...


Okay sawa, tuendeleze utafiti mkuu...

cc: Kiranga Ishmael
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom