Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

Mmmhhhh.... Jamani sumu haijaribiwi kwa kuionja! Imagine unapiga halafu wanapokea utajieleza nini??? Kwanza wanatumia lugha gani ya mawasiliano???

Je wakikwambia tueleze shida yako na wewe ukawaeleza na wakakusaidia kisha mwisho wa siku na wewe wakakuomba uwasaidie walau damu kidogo tu utafanyaje???

Je utamlaumu mtu???
 
miaka ya nyuma ulizuka uvum kuwa ni namba za she tan ila nilpozifuatilia kwa umakin nilgundua ni za polis mkuu
 
Mmmhhhh.... Jamani sumu haijaribiwi kwa kuionja! Imagine unapiga halafu wanapokea utajieleza nini??? Kwanza wanatumia lugha gani ya mawasiliano???

Je wakikwambia tueleze shida yako na wewe ukawaeleza na wakakusaidia kisha mwisho wa siku na wewe wakakuomba uwasaidie walau damu kidogo tu utafanyaje???

Je utamlaumu mtu???

practices make perfect
 
Mmmhhhh.... Jamani sumu haijaribiwi kwa kuionja! Imagine unapiga halafu wanapokea utajieleza nini??? Kwanza wanatumia lugha gani ya mawasiliano???

Je wakikwambia tueleze shida yako na wewe ukawaeleza na wakakusaidia kisha mwisho wa siku na wewe wakakuomba uwasaidie walau damu kidogo tu utafanyaje???

Je utamlaumu mtu???
mimi nimepiga najua wataona missed call yangu watapiga
 
miaka ya nyuma ulizuka uvum kuwa ni namba za she tan ila nilpozifuatilia kwa umakin nilgundua ni za polis mkuu

Hujajibu maswali niliyokuuliza ......!
 
Mmmhhhh.... Jamani sumu haijaribiwi kwa kuionja! Imagine unapiga halafu wanapokea utajieleza nini??? Kwanza wanatumia lugha gani ya mawasiliano???
Wanaongea lugha ambayo wewe unaongea na nimeshawasikia kwa masikio yangu
Je wakikwambia tueleze shida yako na wewe ukawaeleza na wakakusaidia kisha mwisho wa siku na wewe wakakuomba uwasaidie walau damu kidogo tu utafanyaje???

Je utamlaumu mtu???
Hahahahahaaaa ..

Hapa sasa ndio pagumu ....!!
 
Hapa kwanza pangepatikana mtaalamu , akatupa difference between Jini ni yupi na Shetani ni nini ?
Au Jini ndiyo Shetani ?
Note : Lucifer , Devil , Satan and Ghost are they the same ?
Tuanzie hapo

Mkuu hapa tunataka kujua kuhusu hizo namba hayo mengine hapa sio mahala pake ...!!
 
Piga utume marejesho mkuu!!

Napiga naona kitu naambiwa number unayopiga umekosea sindomajanga haya ww ilikuwaje upige upokelewe alafu mm sjapokelewa ila kaka hebu nambie huyo jamaa yako aliomba nn asaidiwe wakamwambia huwezi
 
Polisi wa nchi gani?

Umesoma hicho kisa cha jamaa yangu hapo juu?

Kama ni polisi iweje wamjibu vile?

Mkuu wale wanakujibu ovyo coz maswal mnayouliza ya kijinga ebu pigs toa taarifa ya tukio kama hawajafika
 
Wakuu,



Namba zenyewe ni 11111111111 na 999999999 nadhani zipo na zingine,hebu wakuu nisaidieni hapo ili niweze kujua

Nikwanini hakuna namba kiunganishi lakini simu inaita?
Je ni akina nani wanaopokea simu hizi?

Karibuni ....

Mkuu juve2012 hebu sogea pan de hizi tuendelee kujifunza mambo haya,karibuni na wengine pia .....!!

Hapo upo!

999-999-9999 - The Phone Call of Death! - About
yDGGLvxF30tKs p7Df9AAAAAElFTkSuQmCC
 
Mkuu wale wanakujibu ovyo coz maswal mnayouliza ya kijinga ebu pigs toa taarifa ya tukio kama hawajafika

Hivi unakijua unachoandika ndugu?
 
Back
Top Bottom