CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
wANA MMU, Saudi Arabia law makers wanasema hawawezi kuruhusu wanawake kuendesha magari sababu wakiruhusiwa wataharibu bikira. jamani hivi kuna uhusiano gani kati ya kuendesha na preservation ya bikira kwa wasichana.