Uhusiano kati ya kiu ya maji na mauti

Uhusiano kati ya kiu ya maji na mauti

Kiongozi, mtenda mema hayamkuti hayo, yeye hujiwa na malaika wengi wazuri wakiwa na mavazi mazuri na wao humwandaa kabla hajaja mwenyewe malakul maut, yeye akija huitoa roho hiyo na kuwakabidhi malaika wengine nao huipeleka mahala husika.

kumbuka uchungu lazima kila mtu aupate... tunatofautiana na Matendo (AMALI) zako... ikiwa ni ya hali ya juu lazima maumivu uyapate ila kwa uchache.. tofauti na wale walio na MA'ASI ya kutisha
 
Aisee Dada Jirani yangu alifanyiwa operation Kujifungua ... Akahitaji Maji Kasema kiu Sana aisee ... Akapewa Hali ikabadilika ....R.I.P


Mtoto wake now days anatimiza 1 year [emoji31][emoji31]
Du! So sad[emoji134] [emoji134]
 
Kiongozi, mtenda mema hayamkuti hayo, yeye hujiwa na malaika wengi wazuri wakiwa na mavazi mazuri na wao humwandaa kabla hajaja mwenyewe malakul maut, yeye akija huitoa roho hiyo na kuwakabidhi malaika wengine nao huipeleka mahala husika.
Umauti una kilevi ama uchungu, uchungu huu unatofautiana baina ya watu waovu na wema, mfano ni Mtume(s.a.w) wakati yupo ktk sakaraat alisema"Subhanallah hakika ktk umauti kuna kilevi, ewe mola nifanyie wepesi sakaratil maut"

kwahy hata watu wema wanaonja uchungu wa umauti, lakini kwa watu wabaya kwao ni hali mbaya sana hupata wakati huo, Quran surat Naziat aya ya kwanzana ya pili Allah anaapa kwa malaika wanaozichuna roho za watu waovu kwa nguvu na wale malaika wanaozitoa roho za watu wema kwa upole.

Pia sikumbuki aya hii ipo ktk sura gan lakini inaeleza kuwa watu waovu wakati wa kutolewa roho hupigwa na malaika migongoni mwao na huambiwa anzeni kuonja adhabu.Na wakati huo mtu huwa ktk ukimwengu mwingine kabisa ndio mana unaweza ukamsemesha akakuangalia tu ,pale huwa anaona vitu amvavyo mm na ww hatuwezi kuviona.
 
Umauti una kilevi ama uchungu, uchungu huu unatofautiana baina ya watu waovu na wema, mfano ni Mtume(s.a.w) wakati yupo ktk sakaraat alisema"Subhanallah hakika ktk umauti kuna kilevi, ewe mola nifanyie wepesi sakaratil maut"

kwahy hata watu wema wanaonja uchungu wa umauti, lakini kwa watu wabaya kwao ni hali mbaya sana hupata wakati huo, Quran surat Naziat aya ya kwanzana ya pili Allah anaapa kwa malaika wanaozichuna roho za watu waovu kwa nguvu na wale malaika wanaozitoa roho za watu wema kwa upole.

Pia sikumbuki aya hii ipo ktk sura gan lakini inaeleza kuwa watu waovu wakati wa kutolewa roho hupigwa na malaika migongoni mwao na huambiwa anzeni kuonja adhabu.Na wakati huo mtu huwa ktk ukimwengu mwingine kabisa ndio mana unaweza ukamsemesha akakuangalia tu ,pale huwa anaona vitu amvavyo mm na ww hatuwezi kuviona.
Swadakta Hasmoir, lakini kama ulivyo ainisha mwenyewe ni kilevi, na si adhabu, na hilo silipingi kwa kuwa hayo maneno yametoka katika kinywa tahara cha mtume "rahma na amani juu yake".
 
ipo hivyo,na sura ya IZRAEL... inatisha kupita maelezo... Mtume wetu mpendwa aliomba kuiona sura ya izrael... ila hakuweza kustahimili na kuzimia.. sasa hapo alikuwa Izrael ametabasamu... na alilegeza nyuso yake kwa mtume aliyetukuka.. je kwa siye Wafanya maovu... anatuwekea sura gani??
Mambo ya kufikirika hayo
 
PoverOTE="makaveli10, post: 28348803, member: 133496"]Hapa umenilazimisha mimi nitumie sayansi kukujibu hali ya kiwa tayar mimi nimetumia dini kule imani yangu ipo. Ukimtaka mtu akujibu kwa njia unayoona wewe inafaa hali kwake si kitu basi umemlazimisha mkuu.[/QUOTE]
Poverty mentality. Maskini huwa wanajifariji sana. (Sijakuita maskini wala fukara )
 
Though hatuwezi kuwa na jibu kulingana na experience but we can think about it kufwatana na uelewa, imani n.k, kama kichwa kinavyoeleza si kitu kigeni masikioni mwako au pengine umewahi kushuhudia mwenyewe baadhi ya wagonjwa dakika za mwisho kabla ya umauti kuwafika huwatuma watu wanaowauguza kuwachukulia maji ya kunywa though wengi wao huwa hata hawafanikiwi kuyanywa yale maji, process ya mpaka mtu kutokwa na roho inaambatana na energy kubwa ambayo pengine hupelekea hadi mtu kuhisi kiu; najaribu tu kuwaza je mwenzangu unawaza nini??
Maji ni uzima, maji ni uhai spiritually yana symbolize wokovu.
 
Hivi huwa hamuoni ni kupoteza muda kwa this kind of post? Huwa nashangaa sana aisee kwa matumizi haya ya Mb....
Hapana mkuu fanani anahitaji hadhira!
Hawa jamaa kwanza wanampa moyo mleta uzi kuwa uzi wake unasomwa lakini pia wanamshajihisha mtu mwenye uelewa kuja kutiririka ujuzi hapa kwani anaona somo lina fuatiliwa.
Fanani ni bora sawa sawa na hadhira yake!
 
Write your reply...Jaman hapa ni kuomba Mungu tu atufishe hali tukiwa tunatenda mema. Kuna mama namfahamu, mtoto wake ni huyu mayunga msanii. Yule mama alikufa anaswali akiwa amesujudu. Nikawaza mzee kifo kikukute Bar unalewa au juu ya kiuno cha kahaba au mke wa mtu. Malaika akifika nazani atakupiga makofi kwanza kabla ya kukutoa roho.
 
SIE watu wa IMAAN unaambiwa process ya kutoka roho sawa sawa na umchukue MBUZI alafu ACHUNWE ngozi yake... akiwa HAI...

pia roho hutoka kwa uchungu wa hali ya juu sana
Mkuu hapa tutatofautia pakubwa.
Kutoka roho huambatana na starehe ya bandia kama mtu aipatayo anapofika kileleni kwenye tendo la ndoa.
Ndiyo maana wanaume wengine hukutwa 'wamemwaga' wakiishakukata roho.
 
KIIMANI:
Roho ya mtu inapoacha mwili huwa Mara nyingi haitaki mtu ashuhudie hivyo anapokutuma kalete hiki au kile(Mara nyingi huwa maji) ni njia/janja ya kukutoa ili uhai umtoke. Ndo maana mara nyingi unapokuwa unarud ndio utakuta anamalizikia kukata roho!.
Kama yapo hapohapo je
 
Back
Top Bottom