Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,459
na wale WANAOJINYEA??Mkuu hapa tutatofautia pakubwa.
Kutoka roho huambatana na starehe ya bandia kama mtu aipatayo anapofika kileleni kwenye tendo la ndoa.
Ndiyo maana wanaume wengine hukutwa 'wamemwaga' wakiishakukata roho.