Uhusiano kati ya kiu ya maji na mauti

Uhusiano kati ya kiu ya maji na mauti

For Catholics this is the moment if you have been reciting your rosary your mother Mary will be there to welcome you to heaven

If you have been reciting our Lady of Sorrows rosary she may be able to console her son on your judgement

If you have been reciting the chaplain of St Michael all the nine angelic singing Sherubin,Serafin ect be there to escort you
Hujajibu swali, mahusiano ya kiu na mauti siyo rosali
 
Roho inatolewa kwenye dole gumba?? Dahh hizi Imani zingine bhana taabu kweli.
Napenda nikuweka sawa,roho haitokei ktk dole gumba kuwa muelewa na kinachoandikwa.usahihi kwa mafundisho ya usilam roho inatokea ilipopuliziwa au ipoingiziwa napo ni utosini,ndio maana unaona fuvu lamtoto yeyote sehem hiyo inachelewa kufunga.vipi inatoka?nihivi imetolewa mfano wa vazi la kuvua kutokea chini kwenda juu,kwahiyo inatoka kwa kuvutwa kutokea miguuni itapofika maeneo ya kati au kifuani ndio inaanza kuwa shina zaidi kwa anaeyetolewa,kama umeshakaa na mtu anayetokwa roho ndio maana sehem ya kwanza kupooza ni miguu. ila kama huna imani na mafundisho ya uislam,basi wewe na mimi ngoja tusubili sio muda mrefu jibu tutalipata.allah atusamehe makosa yetu kwa wale wanaostahili kusamehewa
 
Nakumbuka nilichezewa rafu mbaya sana kwenye mechi wakati nikiwa nalia nimelala chini nilipatwa na kiu ya maji so niliomba maji kabla hawajanipakia kwenye gari kwenda hospital mshikaji wa karibu alihamaki akisisitiza nisipewe

Baada ya hili tukio nikikutana naye huwa ananiambia bila yeye ningekuwa nishakufa [emoji22]
Asikudanganye na kukutia hofu kwamba bila yeye ungekufa, kwa kuwa uhai na umauti ni vitu viko mikononi mwa aliye kuumba.
 
kifo chochote kina KASHESHE lake... ndio maana wapo wanaokufa wanatoa macho na wapo wanaokufa wamefumba macho.. hizo ni style tu... kwa wanaokufa wakiwa wamelala huwez kuona kwa macho yako hayo bali ni kazi ya IZRAEL... ndio anaifanya na roho hutoka katika kidole gumba cha mguuni.. na kuvutwa taratibu/harakahaka kulingana na matendo yako
Kiongozi anaitwa "MALAKUL MAUT" na si ISRAEL.
 
Aisee Dada Jirani yangu alifanyiwa operation Kujifungua ... Akahitaji Maji Kasema kiu Sana aisee ... Akapewa Hali ikabadilika ....R.I.P


Mtoto wake now days anatimiza 1 year [emoji31][emoji31]
Pole sana mkuu, ile kiu ni kali sana ndiyo maana wauguzi wanakuwa makini sana unaweza kunywa hata dumu la lita tano
 
yaan huyo ndie mtenda mema.. sas hao watenda madhambi.. sijui inakuwaje.. TUOMBE mwisho mwema INSHAALLAH...
Kiongozi, mtenda mema hayamkuti hayo, yeye hujiwa na malaika wengi wazuri wakiwa na mavazi mazuri na wao humwandaa kabla hajaja mwenyewe malakul maut, yeye akija huitoa roho hiyo na kuwakabidhi malaika wengine nao huipeleka mahala husika.
 
Uzi huu bila picha wakuu? Sasa mnadai kuwa mtu akitaka kufa anakutuma maji,hivi mpo wengi huyo mtarajiwa atawatuma maji wote [emoji847]?[emoji125] ,Je wanao liwa na Simba wanaomba maji nao, au na mamba wanaamua kunywa Moja kwa Moja [emoji23], nilishuhudia kifo Cha jamaa yangu hospital tukiwa wanne , tuliongea nae vizuri,gafla akadai suruali zake zipunguzwe kwani alikua amepungua Kisha aletewe, gafla akavuta pumzi Mara tatu ,akatuacha ndugu zake,sikusikia kutumwa maji ,harafu maji ka yapo hapo ,atakutuma Nini Sasa Vocha?[emoji56][emoji56]
 
K
KIIMANI:
Roho ya mtu inapoacha mwili huwa Mara nyingi haitaki mtu ashuhudie hivyo anapokutuma kalete hiki au kile(Mara nyingi huwa maji) ni njia/janja ya kukutoa ili uhai umtoke. Ndo maana mara nyingi unapokuwa unarud ndio utakuta anamalizikia kukata roho!.
Kuna kaukweli fulani,mm nilikua namuuguza kaka yangu,siku dk chache kabla ya kufa tulikuwa tunapiga stori lkn ghafla akanambia kaniletee chai mbona inachelewa,nikaenda baada ya dakika kumi kurudi namwamsha nimpe chai nilishangaa alishafariki. Hivyo ni km alinifukuza ili nisione namna roho inamtoka. Nimewaza tu.
 
Uzi huu bila picha wakuu? Sasa mnadai kuwa mtu akitaka kufa anakutuma maji,hivi mpo wengi huyo mtarajiwa atawatuma maji wote <img src="//emoji.tapatalk-cdn.com/emoji847.png" />?<img src="//emoji.tapatalk-cdn.com/emoji125.png" /> ,Je wanao liwa na Simba wanaomba maji nao, au na mamba wanaamua kunywa Moja kwa Moja <img src="//emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png" />, nilishuhudia kifo Cha jamaa yangu hospital tukiwa wanne , tuliongea nae vizuri,gafla akadai suruali zake zipunguzwe kwani alikua amepungua Kisha aletewe, gafla akavuta pumzi Mara tatu ,akatuacha ndugu zake,sikusikia kutumwa maji ,harafu maji ka yapo hapo ,atakutuma Nini Sasa Vocha?<img src="//emoji.tapatalk-cdn.com/emoji56.png" /><img src="//emoji.tapatalk-cdn.com/emoji56.png" />
Mleta post hajasema ni lazima aombe maji, bali kuna hyo experience ya baadhi ya watu wanaokata roho kufanya hivyo . Na swala la mtu kuliwa na simba porini ni hoja ya kitoto.
 
tunge pata mjuzi japo kwa uchache kuhusu elimu ya roho...nadhani pia tungejua hata kujtoka kwake lakini pia hata uwepo wake na tofauti ya roho na mwili uliokufa au uliolala
 
C
Kama hujawahi kufa huruhusiwi kuchangia Uzi huu!!
Otherwise itakuwa ni chai isiyo na sukari
Chai isiyo na sukari nayo ni tiba mkuu.kuna watu wanaitumia sana tu au ww hujaona.kitu kinakuwa hakina maana kwako lkn si kwa mwingine.
 
Uzi huu bila picha wakuu? Sasa mnadai kuwa mtu akitaka kufa anakutuma maji,hivi mpo wengi huyo mtarajiwa atawatuma maji wote [emoji847]?[emoji125] ,Je wanao liwa na Simba wanaomba maji nao, au na mamba wanaamua kunywa Moja kwa Moja [emoji23], nilishuhudia kifo Cha jamaa yangu hospital tukiwa wanne , tuliongea nae vizuri,gafla akadai suruali zake zipunguzwe kwani alikua amepungua Kisha aletewe, gafla akavuta pumzi Mara tatu ,akatuacha ndugu zake,sikusikia kutumwa maji ,harafu maji ka yapo hapo ,atakutuma Nini Sasa Vocha?[emoji56][emoji56]
Umeelewa hoja ya mleta hoja?
 
Kwa elimu ndogo niliyonayo wacha nishare nanyi.

Tuanze na umauti, mtu alimuuliza mtume muhammad(s.a.w) kuhusu uchungu wa umauti unakoje ama unafananaje.. Jibu alisema ni sawa na mtu uchunwe ngozi kuanzia unyayo mpaka utosini, na machungu haya aliyafananisha kwa mbali hakusema ni sawa sawa ila kwa mbali, yanausogelea uchungu wa umauti kwa mbali, kwahyo maana yake ni zaidi ya hapo.
Sasa kama ukijikwaa ukachunika ngozi ikabaki kidogo wakati unaimalizia ukakosea ukaichuna mpaka ile ambayo haijafa ganzi, au kuna vile vigozi viotavyo katika kidole ukikosea kuvichuna nadhani sote tunajua balaa lake, sasa maumivu hayo ndio uyapate kuanzia unyayoni mpaka utosini na hapo ni maumivu ya mbali sio halisi..

Katika umauti imeelezwa mtu anapata kiu isiyoelezeka, hata akapewa maji ya ulimwengu mzima hayawezi kukata kiu hiyo.
Tunataka ushahidi wa kusayansi.achana na mambo ya dini, ni mambo ya kudumaza ubongo kupokea bila kuhoji wala kuthibitisha ukweli wa jambo.
 
Ulishaona Baghresa au Mengi kwa kuwa tuu ni matajiri wanatapanya utajiri wao hovyo? Nakushauri tena make efficient use of your resources (time , Mb za chuo etc)
Una tatizo kwa namna yako ya kufikiri.nini kimekuleta humu?????
 
Back
Top Bottom