Uhuru wa vyombo vya habari Tanzania, naomba wanahabari mtujubu

Uhuru wa vyombo vya habari Tanzania, naomba wanahabari mtujubu

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,990
Reaction score
17,049
Juzi nimesikia kelele na ngonjera za kusifia uhuru wa vyombo vya habari hapa nchni. Jana bunge la ulaya lilijadili hali ya haki za binadamu mchini. Hii ni habari kubwa sana kwa viwango vyovyote.

Nimepitia karibu magazeti yote ya leo hakuna hata mojo lililothubutu kuandika habari hiyo. Hivi mtu anayetoka hadharani na kumsifia samia kwa kuimarisha uhuru wa kupata habari anakuwa na akili timamu kweli?
Cc Paskali
 
Juzi nimesikia kelele na ngonjera za kusifia uhuru wa vyombo vya habari hapa nchni. Jana bunge la ulaya lilijadili hali ya haki za binadamu mchini. Hii ni habari kubwa sana kwa viwango vyovyote.

Nimepitia karibu magazeti yote ya leo hakuna hata mojo lililothubutu kuandika habari hiyo. Hivi mtu anayetoka hadharani na kumsifia samia kwa kuimarisha uhuru wa kupata habari anakuwa na akili timamu kweli?
Cc Paskali
Wale wanaomsifia Samia si kwa hiyari yao, wanahongwa kufanya vile.
 
Juzi nimesikia kelele na ngonjera za kusifia uhuru wa vyombo vya habari hapa nchni. Jana bunge la ulaya lilijadili hali ya haki za binadamu mchini. Hii ni habari kubwa sana kwa viwango vyovyote.

Nimepitia karibu magazeti yote ya leo hakuna hata mojo lililothubutu kuandika habari hiyo. Hivi mtu anayetoka hadharani na kumsifia samia kwa kuimarisha uhuru wa kupata habari anakuwa na akili timamu kweli?
Cc Paskali
kwao habari ni ya akina Mrema ruzuku kwenda CHAUMMA
 
Juzi nimesikia kelele na ngonjera za kusifia uhuru wa vyombo vya habari hapa nchni. Jana bunge la ulaya lilijadili hali ya haki za binadamu mchini. Hii ni habari kubwa sana kwa viwango vyovyote.

Nimepitia karibu magazeti yote ya leo hakuna hata mojo lililothubutu kuandika habari hiyo. Hivi mtu anayetoka hadharani na kumsifia samia kwa kuimarisha uhuru wa kupata habari anakuwa na akili timamu kweli?
Cc Paskali
Pascal Mayalla njoo ujibu huku
 
Back
Top Bottom