Uhuru wa simu...!

Uhuru wa simu...!

Lady doctor

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
8,756
Reaction score
7,005
Habari zenu wakuu!

Mwenzenu nina mpenzi ambae tunapendana sana ila kuna jambo moja ambalo silielewi kwa huyu my swt love, tunapokutana huwa anatabia ya kupekua cm yangu sana na wakati mwingine anafuta namba za cm za watu nilio wa save, nikimuuliza jibu analonipa ni moja tu akisema, ''kwani kuna mwingine muhimu wakuasiliana nae zaidi yangu, mama yako na baba yako?''

kwakweli hiyo tabia huwa inanikera sana kwani inanikosesha nisiwe na marafiki na mawasiliano na baadhi ya ndugu pia.

Hebu nisaidieni jamani, nimuambie nini au nimfanyie nini ili anipe uhuru wa cm yangu?
 
Kuwa na uhuru kwa simu ya mwenzi wako si kosa.Ila hicho anachokifanya mwenzi wako amepitiliza uhuru anaotakiwa kuwa nao, kitendo cha kufuta namba za watu wengine bila ridhaa yako si cha kiungwana.Kaa nae muelimishe asipobadilika achana naye huyo anaweza kuwa moja ya wanaume wanaowakagua wanawake kwenye K.
 
Kwani kuna nini kibaya ambacho hutaki mwenzako akione? Kama hakuna basi hiyo sio ishu.
 
Siku moja ukiwa unajua kuwa anakuja tafuta namba ambayo haifahamu na jitumie msg kwenye simu yako hivi "kaka shikamoo,nasikia shemeji yetu anatoa tigo"then mwache asome hiyo msg na hutaona akishika shika simu na kupekua tene.
 
Kwani kuna nini kibaya ambacho hutaki mwenzako akione? Kama hakuna basi hiyo sio ishu.

Samahani mkuu Nyani Ngabu
Mtoa.mada anauliza kwanini mpenziwe afute namba za watu aliowasave kwenye simu yake bila ridhaa ya mwenye simu.

Sijui.kama nimekuelewa vyema dada Lady doctor ...
 
Last edited by a moderator:
Kwani kuna nini kibaya ambacho hutaki mwenzako akione? Kama hakuna basi hiyo sio ishu.


Hapana, mnaweza mkawa mnapendana kweliii, lakini huyo kijana amepitiliza, This is too much. Umepewa uhuru wa kupekua simu sasa mpaka kufuta namba za simu. Hao ndio aina ya wanaume ambao baadaye atakwambia acha kazi kwa sababu ya wivu wa kijinga. Ebu na wewe siku moja chukua simu yake alafu futa baadhi ya namba zake uone reaction yake. Akikasirika mueleze kuwa hata wewe haupendi namba zako zifutwe kwenye simu yako.
 
Samahani kama nitakuboa, ila kwa style hiyo hiyo relationship itavunjika muda si mrefu. Hapo ninachoona ni kuwindana (kama simu anashika daily so hata kosa litapatikana tu). Kama unaipenda rship yako fanya mkae muongee asiwe anashika au hata kufuta namba za simu otherwise mtajikuta hamfikii mnakotaka kufika
 
Siku moja ukiwa unajua kuwa anakuja tafuta namba ambayo haifahamu na jitumie msg kwenye simu yako hivi "kaka shikamoo,nasikia shemeji yetu anatoa tigo"then mwache asome hiyo msg na hutaona akishika shika simu na kupekua tene.

ushauri wa giza
 
Mapenzi ya watoto lazima yaendeshwe kitoto....
 
Siku moja ukiwa unajua kuwa anakuja tafuta namba ambayo haifahamu na jitumie msg kwenye simu yako hivi "kaka shikamoo,nasikia shemeji yetu anatoa tigo"then mwache asome hiyo msg na hutaona akishika shika simu na kupekua tene.

ha ha ha! Joseph hunitakii mema
 
Kwako ni wa giza ila kwa wengine ulisaidia,ukishauriwa watakiwa kuchanganya na akili zako ndio ufanye maamuzi KIDUDU

kama kukuta jina tu anafuta akikuta msg ya kuliwa 0713... si ngumi na talaka juu?
 
apa unataka sababisha vita
Siku moja ukiwa unajua kuwa anakuja tafuta namba ambayo haifahamu na jitumie msg kwenye simu yako hivi "kaka shikamoo,nasikia shemeji yetu anatoa tigo"then mwache asome hiyo msg na hutaona akishika shika simu na kupekua tene.
 
Aache utoto mambo ya kukunyima uhuru wa mawasiliano/habari ni ya kijijini, kama haitoshi mpelekee katiba ya nchi asome ibara ya kumi na nane
 
kama kukuta jina tu anafuta akikuta msg ya kuliwa 0713... si ngumi na talaka juu?
Kwanza mtu kuliwa 0713 sio suala dogo na kweli nakwambia akikuta hiyo msg wala hatouliza maana atakuwa hana majibu ya swali hilo.
 
Back
Top Bottom