Wenyewe huwa mna kauli zenu Mapenzi hayachagui. Huwa nawatazama sana.Ndo hivyo yameshakuwa.....SHAME ON ME
Ndo hivyo sasa...... Hakuna naloweza fanyaUngekuwa karibu yangu ningekupiga bonge la kofi sababu unauliza swali la hovyo.
ULITAKIWA UFANYE KINYUME CHAKE. hivi kuna mtu ushawahi kusikia kafa kisa hayupo kwenye Mahusiano ?
Pili, waoaji tunajulikana, haya mahusiano ya kipuuzi huwa yanaondoa baraka na mwisho wa siku mnapotezeana muda.
Ni confidentialShare TU hapahapa...
Nitakupa pole siku nyingine.Sikujua kama mtu anaweza danganya kwa kiasi kile....Alifanya kila afanyalo kuaniaminisha kuwa alikua na NIA YA KWELI...
Ngoja nikuulize swali, unamjuaje muoaji ?Mapenzi hayachagui Vipi..... We jua TU moyo wa mtu Ni KICHAKA..
Huwezi jua kilichoko moyoni. Ama akwambie au akuoneshe kwa vitendo
Yaani I don't understand....Iv tried my level best to live the best life I could... I've done everything... I have prayed, I am a devoted Muslim.... I try my level best to live a God pleasing life..You thank God and move on.
Sio makosa kwako kumuamini bcoz aliweka mazingira ya wewe kumwamini.La msingi ni kwamba sasahivi umeshamjua ni mtu wa namna gani.
Hili swali nimeshakujibu.Sasa ULITAKA NIFANYAJE.... Mi naona unanilaumu bure Tu....
Umeona pm yng? MkuuNdo hivyo...baana
So wewe umeamuaje? Au ni privacyKwa aloyafanya ...ujumbe Ni hanipendi... Coz huwezi mpenda mtu Ukasema maneno Kama aloyasema..Doooh
Noted...So wewe umeamuaje? Au ni privacy
Vyovyote itakavyokua ndugu yetu katika jf fanya maamuzi magumu.. Huyo mtu ana take advantage of you, mimi as a man najua jinsi men wote tulivyo mimi pia nimewahi mtreat mwanamke mmoja hivyo hivyo cz sikua na interest nae lakini kutokana na mazingira niliyokulia nafsi ilikua inanihukumu sana mpaka nikaamua kumueleza ukweli.
Kama ilivyo kwa wanawake na kwa wanaume ni the same thing "mtu akishajua kua unampenda sana na kwake haujiwezi basi cha moto utakiona.
Kama wengine walivyokushauri chukua maamuzi magumu maumivu yatakupiga lakini at the end utapona na utakua free zaidi. Inaonekana hujawahi kuachwa ndio maana may be unajionea sana huruma
Once you care your fucked! Hi ndio nature yetu waswahili hasa katika mahusiano sikufahamu wala hunifahamu ila note my words usipochukua hatua now utateseka sana.. Mbali na kuteseka pia utapoteza muda wako mwingi sana na pengine ukaja kukumbuka shuka angali kushakucha tayari
Well said bi dada,, kuna sehemu humu nilishawahi kuandika kua watu waki master issue ya ku balance shobo basi wataishi kwa amani na furaha kubwa sana.. Anyway habari ya mwaka mpya.Mtu akishajua unampenda umekwisha wallahi yaani atakupasua hilo bichwa
Kisha atakuzungusha kama mpiga picha na hakuna kitu utamfanya zaidi sana utajichatisha
Aiseeee...sio Unaanza mpenda bali anakufanya umpende kwa maneno na vitendo...wallahi I was gullible.Mtu akishajua unampenda umekwisha wallahi yaani atakupasua hilo bichwa
Kisha atakuzungusha kama mpiga picha na hakuna kitu utamfanya zaidi sana utajichatisha
Kubalance shobo...dooh yaani ndo ile akikaa kimya na wewe kimya..akikutafuta sawa...asipokutafuta sawa...Well said bi dada,, kuna sehemu humu nilishawahi kuandika kua watu waki master issue ya ku balance shobo basi wataishi kwa amani na furaha kubwa sana.. Anyway habari ya mwaka mpya.
Huenda hio nayo ni aina mojawapo ya kubalance shobo, utafanya hivyo lakini bado itakuumiza kwa sababu solution pekee kwenye scenario kama yako ni ku move on basi yani kama kwenye jino dawa yake ni kung'oa tu zingine zote ni mbwembwe .Kubalance shobo...dooh yaani ndo ile akikaa kimya na wewe kimya..akikutafuta sawa...asipokutafuta sawa...
Mnaishi mnaviziana..sijakuwa kwenye Mahusiano Tangu 2014 Labda nlikua mshamba