Namini nashangaa Huyu anamuuliza mbona mbinafsi..Anakujibu ndo nilivyo...Tena anakuuliza unaweza ishi na mtu mbinafsi?...yaani anataka Mahusiano yaende atakavyo yeye...yaani Simu apige yeye akiamua..text atume yeye akiamua..Uhuru anaotaka nje ya wewe ni uhuru gani?
relationship is about kujitoa, kutokuwa mbinafsi etc,
ukishaona mtu anajijali yeye na mambo yake, muda wake hapo kuna walakini. probably hapo mmepangwa.
shituka!!!
Namuanzishia Uzi kabisa sikubali[emoji27][emoji27]Sam usimtese mrembo bana [emoji23][emoji23][emoji23] pokea simu zake alooh!
Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa jamaa ana mapenzi na huyu dada hadi ana mjibu majibu ya kero hivyo?!Ndugu yangu soma ujumbe huu japo mfupi
Huyo mpenz wako anakupenda sana tena sana tu, ila ana wivu uliopitiliza sana tena sana ndio unaopelekea hali hiyo.
Pili misimamo yake sio ya ajab ajab ila tu ni ww kucheza nae kwa akili sana, mtu kama huyo huwa anahitaj kunyenyekewa zaid ukihis hayuko sawa unapaswa kumwomba msamaha hat kama hujafanya jambo lolote
Amini kwamba jamaa anakupenda sana na wala sio kwamba ni dalili za kukuacha au kukuchukia.
NB; tambua kwamba wanaume wengi weny misimamo mikali huwa hawako romantic sana uromantic huja na kupotea ndan ya dk 1
Point yangu ni ANAKUPENDA
Hawa wanahitaji kunyenyekewa mnooo, na wanaamini HAWAKOSEI, kuwakosoa ni kosa kubwa mno, ili mwende Sana inabidi uwe na maneno machache NDIO, SAWA, NISAMEHELabda Ni watu ambao wao wanadhani wanawake wanawahitaji Sana kuliko wao wanavyowahitaji hao wanawake...
Na wewe acha kiherehere cha kupenda. Deal na wanaokutongoza na wanavigezo vya mapenzi ya kweli. Achana na kuvutiwa, mwanaume ndie anaependa mwanamke anakubali kupendwa kisha nae ndio anapenda. Sasa wewe unaleta kiherehere chako hapa.... Msyuuuuuu.....Yaaani...NIMEUMIA SANA ROHONI...
I FEEL HURT TO THE CORE.
Nimekumbuka ile story ya kusema "Anataka nimfulie nguo zake ila hajanioa" huyu mwanamama alikuja kwa mbwembwe sana humu jukwaani mwishowe akadai kuwa yeye sio type hio ya kumfulia mtu akidai kwamba yupo tayari kujiengua katika mahusiano hayo, inaonesha jamaa alikuwa na nia njema nae ila bibie akamuona koroMkuu mbona kama umefurahia Sana
Nimecheka sana
Mmmmmmhmn, natazama unavyolalamika ila huwa najiuliza inakuwaje unamkosa mtu wa vigezo hivi mbona kama wapo wengi sana....?!Nisikilize Nini?....yaaani Mapenzi hayafosiwagi..yeye mwenyewe angeanza kujielelezea bila ya kuulizwa...Sasa Kama mtu Simu zako zinamyima Uhuru wakufanya afanyayo. Ambayo yangekuwa ya kawaida yangesemeka.
Mtu Kama yupo busy anapokea anakwambia nipo busy ubusy ukiisha anakipigia kukuelezea huo ubusy wake..
Sio kukwambia unamyima Uhuru...Na hawezi katisha ratiba zake kwa ajili yako..nahizo ratiba huzijui.. LOOOH
Akufukuzae ..
Ndugu yangu...hayo Sio Mapenzi...mtu anakwambia NIPE Uhuru wangu Acha kunipigia pigia..unasema Nisamehe?..Hawa wanahitaji kunyenyekewa mnooo, na wanaamini HAWAKOSEI, kuwakosoa ni kosa kubwa mno, ili mwende Sana inabidi uwe na maneno machache NDIO, SAWA, NISAMEHE
Mkuuu...Huyu TU ndo anashida.. wanaume wengi Ni wazuri...wazuri wapo na Wenye kujali Sana...Mmmmmmhmn, natazama unavyolalamika ila huwa najiuliza inakuwaje unamkosa mtu wa vigezo hivi mbona kama wapo wengi sana....?!
Kabisa yaaniNisikilize Nini?....yaaani Mapenzi hayafosiwagi..yeye mwenyewe angeanza kujielelezea bila ya kuulizwa...Sasa Kama mtu Simu zako zinamyima Uhuru wakufanya afanyayo. Ambayo yangekuwa ya kawaida yangesemeka.
Mtu Kama yupo busy anapokea anakwambia nipo busy ubusy ukiisha anakipigia kukuelezea huo ubusy wake..
Sio kukwambia unamyima Uhuru...Na hawezi katisha ratiba zake kwa ajili yako..nahizo ratiba huzijui.. LOOOH
Akufukuzae ..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Ungejua nyuma za pazia...Wala usingeongea Sana...Nimekumbuka ile story ya kusema "Anataka nimfulie nguo zake ila hajanioa" huyu mwanamama alikuja kwa mbwembwe sana humu jukwaani mwishowe akadai kuwa yeye sio type hio ya kumfulia mtu akidai kwamba yupo tayari kujiengua katika mahusiano hayo, inaonesha jamaa alikuwa na nia njema nae ila bibie akamuona koro
Yaani hata sikukumbuki mkuuu.....anyway hata Wewe isingekuwa mwema
Nimekumbuka ile story ya kusema "Anataka nimfulie nguo zake ila hajanioa" huyu mwanamama alikuja kwa mbwembwe sana humu jukwaani mwishowe akadai kuwa yeye sio type hio ya kumfulia mtu akidai kwamba yupo tayari kujiengua katika mahusiano hayo, inaonesha jamaa alikuwa na nia njema nae ila bibie akamuona koro
Aiseee.... Noma sanaBinafsi mi pia napendaga kuwa huru,huwa nataman npate mke ambaye ataishi kwenye nyumba nyingne na Mimi nyingine,na sm sipendeleag sana kuchat au kuongea muda mrefu,Mara nying nikiwa free napenda kutumia sm kwenye maswala ya kutembelea jamiiforum,mkekabet,Facebook,na vingne ila sio kuchat.
Sipendi kuzuiliwa kwenda mahali Fulani,yaan kfupi spendag kuingiliwa kwenye ratiba.
Kuna wakati moyo unawiwa kumsaidia mtu Fulani kipesa lakin mwanamke ananizuia,sipendag Haya mambo lakini wanawake n wagumu wa kuelewa(Kuna watu tupo hvyo kama umenipenda nivumilie hivyo hivyo)