Uhuru haliuzi,wanafoji habari za Chama kiongozi CDM,ili walau wapate wateja hawajui wao ni sawa na mwehu.MTAANI HATULITAKI TENA LABDA WATUPE BURE TUSOKOTEE TUMBAKU.
naona sasa hata magazeti ya udaku,yanayomilikiwa na shigongo kwa udaku hayalifikii hili gazeti la magamba
Tena kama ni kweli ningeomba hata makonde wapigane,ili kumkomboa mtanzania...sio akina JK kwenye vikao vyao kuchekeanachekeana tu, linchi linzidi kuzama tu...!! Go on CDM
Hahahaaaa acha uchokozi wakoBana weeeeee! Mboni mchoyo wewe lah! Hebu nimegee mchapo full full, nani alimchukulia Wassira demu wake?
Mimi sina gazeti, ila nimelisoma kwenye mtandao na hiyo habari ipo.
Unaona uvivu gani kutembelea IPP MEDIA ujiridhishe na povu mdomoni likauke?